My 2 cents on the global scramble for Critical Minerals & Rare Earth Elements in Africa:
"The demand for critical minerals and REEs that power the world’s renewable energy technologies, consumer electronics, and defense applications is skyrocketing..."
https://t.co/nMH62hz4MB
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo Nandi-Ndaitwah wakati wakishuhudia utiaji saini wa Hati nne za Makubaliano ya Ushirikiano katika Sekta za biashara, maendeleo ya biashara ndogo na za kati; Ulinzi, pamoja na Ushirikiano wa miji kati ya Manispaa ya Mji wa Zanzibar na Manispaa ya Swakopmund kabla ya kuzungumza na Waandishi wa Habari, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 20 Juni, 2026.
NAMIBIAN PRESIDENT VISITS HER FORMER NEIGHBOURS IN MAGOMENI
The President of the Republic of Namibia, H.E. Dr. Netumbo Nandi-Ndaitwah, visited Magomeni in Dar es Salaam, including the house where she once lived during Namibia’s liberation struggle under the auspices of SWAPO.
The visit was marked by a sense of nostalgia and served as a powerful reminder of the historic solidarity between Tanzania and Namibia.
President Nandi-Ndaitwah was warmly welcomed by her former neighbours, including Mama Salehe and Mama Salama, who had known her during her years in the area as a representative of Namibia’s liberation movement.
Speaking to them President Nandi-Ndaitwah expressed her heartfelt gratitude to the Government and people of Tanzania for their invaluable support during Namibia’s struggle for independence.
She emphasized that the shared history between the two nations has laid the foundation for a strong and enduring friendship.
“Magomeni is an important part of my life and the history of my country. Tanzania provided us with shelter, love, and the opportunity to fight for our freedom. This is a testament to true friendship and African solidarity,” she said.
Following the meeting, President Nandi-Ndaitwah toured the house where she once lived, reflecting on the years of struggle and sacrifice that shaped Namibia’s path to independence. Her former neighbours also shared memories of that period and expressed their joy at reuniting with her, this time as the President of the Republic of Namibia.
The visit highlighted the deep historical ties between Tanzania and Namibia, forged during the liberation struggles of Southern Africa and strengthened over decades of friendship, cooperation, and mutual respect.
SGR IMESAFIRISHA ZAIDI YA ABIRIA MILIONI 6, TAKRIBANI ABIRIA 11,000 KWA SIKU - PROF. MBARAWA
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mnyaa Mbarawa amesema Serikali ya Tanzania inaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ya miundombinu ya usafiri inayolenga kuimarisha huduma za usafirishaji katika Ushoroba wa Kati (Central Corridor), huku mafanikio makubwa yakionekana katika reli ya kisasa ya SGR, Bandari ya Dar es Salaam na usafiri wa majini.
Akizungumza katika Mkutano wa 15 wa Kawaida wa Baraza la Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Ushoroba wa Kati (ICM) unaofanyika Dar es Salaam leo Juni 18, 2026, Prof. Mbarawa amesema ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR katika sehemu mbalimbali za Dar es Salaam, Mwanza, Tabora, Kigoma pamoja na Uvinza hadi Musongati nchini Burundi utaongeza kwa kiasi kikubwa muunganiko wa kikanda, biashara na ushirikiano wa kiuchumi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Amesema tangu kuanza kwa huduma za usafiri wa abiria wa SGR kati ya Dar es Salaam na Dodoma mwezi Juni 2024, Shirika la Reli Tanzania (TRC) limefanikiwa kusafirisha zaidi ya abiria milioni sita.
Kwa sasa, safari nane hufanyika kila siku kati ya Dar es Salaam na Dodoma, huku safari tatu zikifanyika kati ya Dar es Salaam na Morogoro, zikisafirisha wastani wa abiria kati ya 8,000 na 11,000 kwa siku.
Prof. Mbarawa ameeleza kuwa mafanikio hayo yanaonesha wazi kuwa SGR imekuwa chachu ya mageuzi katika sekta ya usafiri nchini Tanzania kwa kuwavutia wananchi wengi kutumia reli badala ya usafiri wa barabara na anga.
Aidha, amesema TRC ilianza rasmi huduma za usafirishaji mizigo kupitia SGR mwezi Juni 2025 kutoka Dar es Salaam hadi Ihumwa mkoani Dodoma.
Pia, shirika hilo liko katika hatua za mwisho za ujenzi wa kituo cha kubadilishia mizigo cha Bahi, ambacho kitaiwezesha mizigo kuhamishwa kwa urahisi kutoka reli ya kisasa kwenda reli ya zamani kwa usafirishaji kuelekea Isaka na maeneo mengine.
Kuhusu Reli ya TAZARA, Prof. Mbarawa amesema Tanzania na Zambia zilitia saini makubaliano mwezi Septemba 2025 ya kuikabidhi reli hiyo kwa mwekezaji kutoka China kwa mfumo wa ubia, hatua inayotarajiwa kuifufua reli hiyo kupitia ukarabati mkubwa wa miundombinu na ununuzi wa vichwa na mabehewa mapya.
Katika sekta ya bandari, Waziri huyo amesema ushirikishwaji wa kampuni za DP World na Tanzania East Africa Gateway Limited katika usimamizi wa shughuli za makontena umeongeza ufanisi mkubwa wa Bandari ya Dar es Salaam.
Amebainisha kuwa hadi Machi 2026, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imehudumia tani milioni 29.66 za mizigo ikilinganishwa na tani milioni 23.18 katika kipindi kama hicho mwaka uliopita, sawa na ongezeko la asilimia 27.96.
Amesema Serikali inaendelea kuboresha mfumo wa uhamishaji mizigo kutoka bandarini kwa kuendeleza bandari kavu katika maeneo ya Kwala, Morogoro, Ihumwa, Isaka, Fela na Katosho ili kupunguza msongamano na kuongeza ufanisi wa usafirishaji wa mizigo.
Katika usafiri wa majini, Prof. Mbarawa amesema Serikali inaendelea na ukarabati wa meli za MV Mwongozo na MV Liemba katika Ziwa Tanganyika pamoja na ujenzi wa karakana ya kisasa ya meli na meli mpya ya mizigo aina ya Roll-on/Roll-off (Ro-Ro).
Kwa upande wa Ziwa Victoria, amesema Serikali inaendelea na ukarabati wa meli za MV Nyangumi na MV Clarias pamoja na ujenzi wa meli mpya ya MV New Mwanza na meli nyingine ya Ro-Ro kwa lengo la kuimarisha huduma za usafiri na kuchochea shughuli za kiuchumi katika ukanda huo.
Prof. Mbarawa amesisitiza kuwa Serikali ya Tanzania itaendelea kuimarisha ufanisi wa usafiri na kupunguza gharama za usafirishaji katika Ushoroba wa Kati ili kuongeza biashara, kuimarisha ushirikiano wa kikanda na kuboresha maisha ya wananchi wa nchi wanachama.
The @UN is central to our foreign policy and among the six principles of Tanzania's foreign policy. This week, our Minister for @mfa_tanzania, His Excellency Mahmoud Thabit Kombo delivered a special message from our President, Her Excellency @SuluhuSamia to UN Secretary-General @antonioguterres. Minister Kombo also met Deputy Secretary-General @AminaJMohammed and held consultations regarding the ongoing UN 80 Reforms.
The government has launched a Sh2 billion upgrade of the aircraft maintenance and repair hangar at Kilimanjaro International Airport (KIA), a move aimed at reducing reliance on costly overseas servicing and strengthening Tanzania’s aviation industry.
https://t.co/5XufsnfBCO
Hotuba yangu leo niliposhiriki maadhimisho ya Miaka 60 ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), jijini Dar es Salaam. Maeneo muhimu niliyosisitiza Benki Kuu kufanyia kazi tunapoelekea kuanza utekelezaji wa Dira ya Taifa 2050 ni pamoja na:
1. Kuimarisha uwezo wa kung’amua mwelekeo wa taifa kiuchumi.
2. Kuhakikisha wananchi wanapata taarifa sahihi za kifedha kwa lugha inayoeleweka.
3. Kuhakikisha taasisi za kifedha zinaacha kutegemea dhamana za mikopo ambazo wananchi wengi hawana.
4. Kuhakikisha mafanikio ya mfumo wa fedha yanaenda sambamba na ustawi wa wananchi.
5. Kuimarisha akiba ya fedha za kigeni.
Sehemu ya Hotuba ya Waziri wa @Ofisiya_Rais_MU, Mheshimiwa @kitilam (Mb.), Akiwasilisha Bungeni Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2025 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka
🔹MISINGI NANE YA UFANISI WA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2026/27
🔹MAENEO MATANO YA KIPAUMBELE KATIKA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2026/27
Mwaka huu Tanzania na Singapore tunaadhimisha miaka 45 ya uhusiano wetu ambapo kwa upekee leo tumempokea Rais wa Singapore, Mheshimiwa Tharman Shanmugaratnam, Ikulu jijini Dar es Salaam. Hii ni historia na heshima kwa nchi yetu kwani ni mara ya kwanza Rais wa nchi hiyo kutembelea Tanzania, hatua inayodhihirisha dhamira yetu ya kukuza ushirikiano kwa manufaa ya nchi zetu na watu wake.
Baada ya mazungumzo yetu, tumeshuhudia utiaji saini mkataba na hati nne za makubaliano zinazolenga kufungua fursa mpya katika biashara, uwekezaji, kuwezesha vijana kupitia elimu ya ujasiriamali, ujuzi na ubunifu hasa katika uchumi wa kidijitali. Aidha, tumekubaliana kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo sambamba na kuanzisha mfumo wa pamoja wa mashauriano utakaosaidia kuratibu utekelezaji wa makubaliano yetu na kushughulikia changamoto kwa ufanisi na kwa wakati.
Katika hatua nyingine, nimeikaribisha Singapore kufungua ubalozi wake nchini ili kurahisisha utekelezaji wa makubaliano haya na kuimarisha zaidi uhusiano wetu.
I’m honoured and proud to announce that I’ve been appointed as Director of Private Investment at the @Ofisiya_Rais_MU. I look forward to working with my team and the entire office leadership to grow and strengthen Tanzania’s private investment for sustainable economic growth and development. #WekezaTanzania.
PRESIDENT SAMIA OFFICIALLY WELCOMES THE PRESIDENT OF SINGAPORE
The President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan, today officially welcomed the President of the Republic of Singapore, H.E. Tharman Shanmugaratnam, at a historic ceremony held at the State House in Dar es Salaam on 9 June 2026.
During the official reception, President Shanmugaratnam was accorded full State honours, including the inspection of a Guard of Honour and a 21-gun salute in recognition of his State Visit to Tanzania.
President Shanmugaratnam and his host, President Dr. Samia Suluhu Hassan, are scheduled to hold a tete-a-tete which will be followed by official bilateral talks between the Government Delegations of Tanzania and Singapore.
The two Heads of State will also jointly address a press conference and witness the signing of one Agreement and four Memoranda of Understanding aimed at strengthening cooperation between Tanzania and Singapore.
While at the State House, H.E. President Shanmugaratnam will attend a State Banquet hosted in his honour by President Dr. Samia Suluhu Hassan.
Thereafter, he will proceed with his official programme, including participation in the Tanzania–Singapore Business Roundtable at the Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC), followed by the delivery of a public lecture at the University of Dar es Salaam (UDSM).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama wakati akipokea heshima ya wimbo wa Taifa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Vnukovo, Jijini Moscow kwa ajili ya Ziara ya Kitaifa nchini Urusi tarehe 02 Juni, 2026.
Shukrani kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa neema na baraka zake, katika kazi ya kuendelea kuitumikia nchi yetu na watu wake.
Nimewasili jijini Moscow, Shirikisho la Urusi ambapo nimeanza ziara ya kitaifa kwa mwaliko wa Mheshimiwa Rais Vladimir Putin.