I’m 30 today
In my 20s, I spent 3 years studying, 3 years climbing the corporate ladder, and 3 years building a startup from the ground up.
Here are 20 lessons from my 20s to help you make the best of life's most pivotal decade
👇
Muhimbili wanazidi kujipanga kimataifa, leo wamepokea hii mashine ya kisasa.
Inaitwa Hyperbaric chamber, hii machine Afrika mashariki na kati ipo moja tu, ndio hii tumenunua sisi pale Muhimbili, ukizunguka kusini mwa janga la Sahara hizi machine zipo mbili tu, kama sikosei nyingine ipo Afrika Kusini.
Gharama yake ni milioni 250, inatibu magonjwa zaidi ya 10 kama mnavyojua binadamu tunapata asilimia 21 tu ya oxygen kwenye hewa tunayovuta ila ukiwekwa ndani ya hii mashine, inatengeneza mgandamizo wa hewa ya oxygen kwa asilimia 100 na kutumia hewa hiyo kukutibu magonjwa zaidi ya 10.
Matibabu haya yanaitwa Hyperbaric Medicine Treatment, sasa yatakua yakipatikana Muhimbili, ni matibabu maalumu kwa wagonjwa:
1. Wenye vidonda vya tumbo sugu
2. Wenye changamoto za upungufu wa oxygen mwilini,
3. Wagonjwa waliopata mionzi na kusababisha sehemu zilizopata tiba mionzi kuathitika ikiwemo wenye saratani za koo, njia ya chakula na wale wenye tezi dume
4. Waliofanyiwa upasuaji na kuwekewa/kupandikiziwa sehemu ya miili yao
5. Wenye changamoto ya kusikia
6. Wenye tatizo la usaha kwenye ubongo
7. Wenye changamoto ya oksijeni
kwenye mishipa ya damu (arterial insufficiencies)
8. Watoto wenye usonji.
9. Walioathirika na moshi baada ya kuungua na moto
📸 Muhimbili National Hospital
Have goals. Focus on your goals. Work hard. And, have patience. Good things take time. There are no shortcuts to lasting success. Don't quit. Your best days are still to come.
A woman gets respect for being pretty.
A man gets respect for being successful.
But a woman is born with her beauty.
And a man needs to work for his whole life.
It's not fair, but that's life.
WARNING: GRAPHIC CONTENT
The ambush and brutal killing of four American civilian security contractors in the city of Falluja in 2004 was a defining moment in the U.S.-led invasion of Iraq. @Reuters journalist Michael Georgy recalls the incident https://t.co/OCfiLCYcZY