Kutoka Washington, DC, Marekani: Tupo na maGen—Z, mtoto wa Tundu Lissu, Tino, na mtoto wa dada @tausilikokola tukipigania Uhuru wa baba yake Tino na Watanzania kwa ujumla. Nipo na begi langu la maamuzi magumu. #HakiHuinuaTaifa
Kuporwa kwa uwanja wa michezo wa Sahara uliopo kata ya Mabibo, Ubungo—ambalo ni eneo la wazi la umma—ni uthibitisho tosha la jinsi wananchi wanavyokosa watetezi wa haki zao pale CHADEMA wanapokuwa nje ya vyombo vya maamuzi. Wananchi wa eneo hili sasa wapo hatarini kupoteza kabisa ardhi hii ya wazi ambayo wameitumia kwa miaka mingi kwa ajili ya michezo na shughuli za kijamii.
Shida ya Putin kinaponuka huwa hana msaada kwa wanaomtegemea…Maduro wa Venezuela alinyakuliwa na Trump kama kifaranga, Asad wa Syria zilimuokoa mbio kule Damascus!
#FREELISSU
Naambiwa huyu dada MAGAIDI @tanpol Polisi CHINJA CHINJA WALIMFICHA Na KUKAA nae siku mbili wakimfanyia kila Aina ya UKATILI💔
KOSA LAKE NI KUUZA SALE ZA CHADEMA. #SaveTanzania#SamiaMustGo
It was an honor to meet with Senator @tedcruz alongside members of the Tanzanian community in Texas. During our brief meeting, we thanked and expressed our appreciation to Senator Cruz for standing up for and championing religious freedom and human rights for all Tanzanians. Religious freedom knows no borders.
We also commended him for the bipartisan bill in the Senate aimed at holding the samia suluhu hassan regime accountable for its human rights abuses and atrocities.
#TanzaniaMassacre #FreeTunduLissu #ReligiousFreedom #SamiaMustGo
Watanzania ndugu zenu wanapambana huku kwa ajili yenu.
Msaada wa Marekani tutaupata. Acha huyo muuaji akimbilie kwa Putin ila msaada tutaupata.
@Liberatus80@tausilikokola aiseee nyie viumbe wawili siku mkirudi TZ itabidi mbebwe juu juu.
Unfortunately I couldn’t make it Ila next time na mie nitatinga huko Bungeni. Tatizo langu moja tu, I’m still too emotional juu ya October 29, nikianza kuwahadithia kilichotokea sichelewi kujitupa chini huku napiga ukunga wa kiswahili. Nikifika sehemu Naweza kuongelea October 29 bila kulia mpaka kwikwi nitakuja. Ila ahsante sana kwa mwaliko @tausilikokola , next time nita accept.
Watanzania these are our national heroes @tausilikokola@Liberatus80
Sasa tutaona Samia na Putin kama wataweza kushindana na Watanzania na Marekani…..
Gen Z 🇹🇿 gearing up for mass protest on 7th July
Sabasaba maandamano - maandalizi yanaendelea!
Mnafikiri mtaweza kuwanyamazisha na kuwachapa mikwaju? Mmewatia hasira tu!
#SamiaMustGo#FreeTunduLissu
#FreeTunduLissu
Tamko la Jukwaa la wanasheria na majaji la Afrika kuhusu dhulma dhidi ya Tundu Lissu
@judiciarytz mpoooo?
“AJJF expects the judiciary of Tanzania like all other judiciaries in Africa when faced with similar cases to discharge its constitutional mandate with independence, professionalism, and fidelity to the rule of law.”
Tafsiri:
AJJF inatarajia mahakama ya Tanzania kama mahakama nyingine zote barani Afrika inapokabiliwa na kesi kama hizi kutekeleza mamlaka yake ya kikatiba kwa uhuru, weledi, na uaminifu kwa utawala wa sheria.
https://t.co/EQfXfc3tLZ
senne lammens has conceded 39 goals in 32 premier league appearances yet still won premier league signing of the season, manchester united PR is actually insane.