Unavyozidi ku consume chakula,ndivyo utanenepa,unavyozidi kutumia vilevi ndivyo unavyokua Mlevi,unavyozidi kufanya mazoezi ndivyo unavyozidi kuimarika kimwili na kiakili,unavyozidi kulinda amani yako ndivyo unapata utulivu wa nafsi.
Imagine unavyozidi kusoma neno la Mungu.๐๐ผ