Shughuli ya TIP kuaga na kukabidhi mradi kwa halmashauri na viongozi wa dini imeendelea tena ambapo halmashauri ya wilaya ya mwisho ilikuwa ni Kwimba.
Pichani ni matukio tofauti wakati wa makabidhiano hayo
Shughuli za kukabidhi mradi wa BORESHA FCI katika wilaya ya Buchosa.
Ya kwanza na ya pili ni picha ya pamoja. Ya tatu ni mratibu wa UKIMWI wa halmashauri ya wilaya Chacha na ya nne ni makabidhiano ya ripoti ya miaka miwili kwa wawakilishi wa serikali na kwa viongozi wa dini.