During the Chernobyl disaster, three men volunteered to enter radioactive water beneath the reactor to release a critical valve. Without their actions, a massive steam explosion might have rendered much of Europe uninhabitable for generations. Against all expectations, they survivedโand their bravery helped avert an even greater catastrophe.
They Tell You -
Everything Is Moving At Insane Speeds. ๐๏ธโก๏ธ
Earth Spinning.
Moon Orbiting.
Sun Racing.
Galaxy Moving.
Yet You Feel Nothing.
No Acceleration.
No Deceleration.
Just Still Ground Beneath Your Feet.
Question Everything.
Tukiwaambia Kiswahili kitumike kama lugha ya kufundishia huku kiingereza kikifundishwa kikamilifu kama lugha ya ziada mnakataa๐๐๐!!
Hapo amejibu kwa kibantu, angejibu kiingereza ingekuwaje???๐ค๐ค๐ค
Kama Mungu yupo, basi atuepushe na hii aibu ya taifa!!๐๐ฟ๐๐ฟ
Nakuelewa sana baba mchungaji. Najua mazingira yalivyo changamoto na wala siwezi kuidogosha hoja hiyo.
Hata hivyo, ninachokuambia ni uzoefu wangu na walimu walio kwenye mazingira bora. Uzuri huwa ninashirikiana kwa karibu na Mura Weito @MayengoDr na anaweza kuchangia kwenye hili. Ukweli wa mambo ni kwamba wengi wanapata shida na basicsโhasa baada ya mtaala uliorekebishwa kuanza kutekelezwaโlakini hili nimeliona tangu miaka ya nyuma.
Nenda shule leo angalia wangapi wanaelewa mahiri za mtaala wanazopaswa kuzikuza kwenye mazingira ya darasani na uelewa wao wa maana ya mahiri hizo kwa kazi yao darasani. Uliza unafanya nini kukuza critical thinking, kwa mfano. Unafanya nini ili mtoto ajenge problem solving etc. Chunguza walimu wangapi wanajua namna ya kuandaa shughuli za ujifunzaji zinazotafsiri malengo ya mtalaa kwenye kipindi cha dakika 40. Chunguza ni walimu wangapi wanaelewa namna ya kutengeneza vigezo vya upimaji ili shughuli za ujifunzaji zipimike pale pale darasani kama mtaala unavyotaka.
Haya ni mambo very basic lakini ninakuhakikishia walimu wengi hawawezi. Sizungumzii walimu wa shule duniโnazungumzia shule zenye the best working environment. Sasa tatizo ni nini hapo? Utasema mazingira? Ndio maana mimi ninafikiri tatizo la msingi ni maandalizi ya walimu. Tatizo liko kwenye taaluma kisha suala la mazingira linafuata.
Unazungumzia TP. Ideally ingesaidia. Lakini tujiulize ni wanafunzi wangapi wanapata mentorship ya uhakika huko field wanakopaswa kujifunza kwa vitendo? Wanakutana na walimu wenyeji wanaouishi ualimu kipedagogia au wanafikiri nidhamu na utii wa wanafunzi ndio ualimu? Vipi mfumo wa assessment za vyuo vyetu? Ni kweli zinamsaidia mwnaafunzi kuwa bora kipedagogia au ni sehemu ya kukamilisha ratiba za mihula?
Brother tuna tatizo kubwa. Kuna wakati nafikiri huu mtaala ungesubiri kidogo walimu wa-unlearn maana hasa ya ufundishaji, ujifunzaji na kuelewa vizuri sayansi ya ujifunzaji. Nafikiri mind-set za walimu wengi bado zinawaza teaching as transmission of knowledge. Naona changamoto kubwa ya kipedagogia kabla hatujazungumzia mazingiraโna huu ni uzoefu ninaoupata kwenye shule zenye mazingira bora sana.
BARUA YA WAZI KWA VIONGOZI WA CHADEMA.
Ndugu,
Naomba kuwakumbusha maneno ya Aldous Huxley kwenye kitabu cha Brave New World.
Katika kitabu mwandishi anaeleza kuhusu taifa fulani la kusadikika ambalo serikali yake iliamua kutengeneza watu wanaofanana, wenye fikra na mawazo yanayofanana, na wanaoishi kama vile serikali inavyotaka.
Watu hawa walijua tu kile ambacho serikali yao ilitaka wajue, wakaona tu kile ambacho serikali yao alitaka waone, na wakaongea yale tu ambayo serikali yao ilitaka waongee.
Watu hawa waliwekewa kipimo sawa cha hasira, kipimo sawa cha huzuni, kipimo sawa cha furaha, na muda wote walitakiwa kubaki katika hali hiyo.
ย
Serikali inayoelezewa katika hiki kitabu iliamini kuwa ili iweze โkulinda amani, utulivu, na kuleta maendeleo,โ ni lazima kuwe na kile walichokiita social stability.
Hatua ya kwanza ilikuwa kuzalisha watu wanaofanana kama nilivyowaelezea hapo juu, na hatua ya pili ilikuwa kutumia kidonge cha SOMA kuhakikisha watu hawa wanabaki katika hali hii wakati wote.
Kazi ya kidonge cha SOMA ilikuwa ndogo tu. Watu walipojisikia hasira zaidi ya kipimo walichowekewa, haraka walimezeshwa kidonge cha SOMA; walipojisikia huzuni zaidi ya kipimo, fasta walinyweshwa SOMA; walipotaka kuongea au kuhoji, haraka sana walibugizwa SOMA; waliposikia maumivu zaidi, SOMA ilitumika kuwatia ganzi.
Walipewa SOMA mchana, wakapewa SOMA usiku; walipewa SOMA walipotembea, walikunywa SOMA walipolala. Maisha yao kwa ujumla wake yalitegemea KIDONGE CHA SOMA.
Walikunywa SOMA kwa muda mrefu mpaka wakawa waraibu wa SOMA; huku aliyewapa SOMA wakimwona kama Mungu.
Kila mara kiongozi wao alisikika akisema kwa sauti kubwa na ujasiri, โTHERE IS ALWAYS SOMA TO GIVE YOU HOLIDAY FROM FACTS,โ yani maana yake DAWA YA SOMA IPO WAKATI WOTE KUKUSAHAULISHA HALI HALISI NA KUKUPA PUMZIKO.
Ni matumaini yangu kuwa kabla viongozi wa CHADEMA hawajaandika mitandaoni na kuongea mbele ya hadhara watakumbuka maneno ya Aldous Huxley na kuhakikisha hawatumiki kama KIDONGE CHA SOMA kwa namna yoyote ile.
Ahsante sana!
Onesmo Mushi
Highest rates of prostitution in the World :
1.Thailand (Buddhist)
2.Denmark (Christian)
3.Italy (Christian)
4.Germany (Christian)
5.France (Christian)
6.Norway (Christian)
7.Belgium (Christian)
8.Spain (Christian)
9.United Kingdom (Christian)
10.Finland (Christian)
Highest rates of theft in the world:
1.Denmark and Finland (Christian)
2.Zimbabwe (Christian)
3.Australia (Christian)
4.Canada (Christian)
5. New Zealand (Christian)
6.India (Hindu)
7.England and Wales (Christian)
8.United States (Christian)
9.Sweden (Christian)
10.South Africa (Christian)
Highest rates of alcohol addiction in the world:
1.Moldova (Christian)
2.Belarus (Christian)
3.Lithuania (Christian)
4.Russia (Christian)
5.Czech Republic (Christian)
6.Ukraine (Christian)
7.Andorra (Christian)
8.Romania (Christian)
9.Serbia (Christian)
10.Australia (Christian)
Highest homicide rates in the world:
1.Honduras (Christian)
2.Venezuela (Christian)
3.Belize (Christian)
4.El Salvador (Christian)
5.Guatemala (Christian)
6.South Africa (Christian)
7.Saint Kitts and Nevis (Christian)
8.The Bahamas (Christian)
9.Lesotho (Christian)
10.Jamaica (Christian)
Most dangerous gangs in the world:
1.Yakuza (non-religious)
2.Agberos (Christian)
3.Wah Sing (Christian)
4.Jamaica Posse (Christian)
5.Primeiro (Christian)
6.Aryan Brotherhood (Christian)
Largest drug cartels in the world:
1.Pablo Escobar โ Colombia (Christian)
2.Amado Carrillo โ Colombia (Christian)
3.Carlos Lehder โ Germany (Christian)
4.Griselda Blanco โ Colombia (Christian)
5.Joaquรญn Guzmรกn โ Mexico (Christian)
6.Rafael Caro โ Mexico (Christian)
And then they say that #Islam is the cause of violence and terrorism in the world and want us to believe that.
Who started World War I?
Not Muslims.
Who started World War II?
Not Muslims.
Who killed about 20 million of Australiaโs indigenous people?
Not Muslims.
Who dropped the nuclear bombs on Nagasaki and Hiroshima in Japan?
Not Muslims.
Who killed more than 100 million Native Americans in South America?
Not Muslims.
Who killed about 50 million Native Americans in North America?
Not Muslims.
Who kidnapped more than 180 million Africans as slaves from Africa, of whom about 88% died and were thrown into the oceans?
Not Muslims.
First, we must define terrorism or understand how terrorism is viewed by non-Muslims.
If a non-Muslim commits a terrorist act, it is called a crime; but if a Muslim commits it, it is called terrorism.
We must stop dealing with double standards.
The aid industry raises money by showing the world images of African children with flies in their eyes and swollen bellies.ย
That money is supposed to help us.
But those images do something else too. They plant a belief.ย
One of my employees, Yahara, told me she grew up thinking Africans were inferior because every magazine showed people like her looking pathetic while the world "saved" them.
Aid didn't just fail to fix poverty. It taught an entire generation of Africans to feel small.
Iโm happy to share that the Central Bank of Tanzania (BOT) @BankOfTanzania has granted @SwahiliesPay our own Payment Service Provider (PSP) License.
Over the past few years, we have worked with more than 15,000 SMEs through bookkeeping and embedded finance solutions. This license now allows us to build and launch our own financial products directly with licensed partners, while also serving businesses with higher transaction volumes.
We are getting back to work, focused on building bigger things for businesses across Tanzania and Africa!