Hip-hop loyalist (Fid Q & Dizasta Vina).
Football mind — Yanga, Man United & Real Madrid.
IPM & crop-care specialist.
Independent thinker. Proudly Tanzanian.
Huyu mzee amenifanya nimetokwa na machozi!
Sometimes the voice of courage comes from a frail old man who has the heart of a lion!
Huyu mzee anatuhimiza SOTE si @HecheJohn - tupiganie nchi!
Alafu kuna midume yenye vitambi na matako makubwa kuliko sisi wanawake wanawaza kuua na kuteka ndo wanaona ushujaa! Tukishajikomboa hii mianaume tutashughulika nao na watawajibika! Na huyo kijana anayebwia unga na kutoa amri kama vile nchi ya mamaake ndo kabisaaa!
Mzee huyu Mungu amtunze aje kuona Ukombozi wa Pili wa Taifa 🙏🏽
Sisi tupambane jamani hakuna kurudi nyuma - tumeshashinda sema mafedhuli wamekaza fuvu
#TutaelewanaTu
ARUSHA: Joseph Mrindoko ambaye ni mmoja wa 'memba' wa Kundi la Wachokonozi ameyasema hayo katika mahojiano na Mtangazaji Khalifa Said wa The Chanzo, Julai 30, 2026.
Zaidi https://t.co/M0f2lXswbC
#JamiiForums#Uwajibikaji#HakiZaBinadamu
VIDEO:
Wazee wa ambao ni wanachama na wafuasi Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mkoa wa Simiyu wameeleza kuridhishwa na kiongozi wao Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Bara John Heche huku wakimtaka aendelee kukipigania chama hicho ili kuleta mabadiliko.
Akizungumza kwa niaba ya wazee hao Mjumbe wa Baraza la Wazee CHADEMA(BAZECHA) Mkoa wa Simiyu, Kenedy Onyangi kwenye Mkutano Mkuu Maalumu wa CHADEMA mkoa huo uliohudhuriwa na Heche @HecheJohn amesema pamoja na kusikia shutma mbalimbali ambazo zinaelekezwa kwa kiongozi huyo bado wana imani naye na wapo tayari kuchangia chama.
"Tunayaona yote wanayoyaongea kuhusu kwamba umekula hela sijui umefanya nini yote tunayaona sio kwamba hatuyaoni lakini sisi tunaimani na wewe lakini ukipata nafasi ya kumuona Mandela wa Tanzania, Tundu Lissu mwambie sisi wazee wa Simiyu tupo na yeye," amesema
Mbali na kutoa pongezi hizo, wazee hao pia walimpatia Heche zawadi ya fedha na mbuzi ikiwa ni ishara ya kumtia moyo katika mapambano ya uongozi ndani ya chama hicho.
🚨🔵 OFFICIAL: Danny Welbeck joins Chelsea from Brighton on a two year deal.
“I’m really honoured to come to a club of this stature at what feels like a really exciting time. I’ve had fantastic conversations with the manager and already feel that connection”.
Maisha Bhana kuna mtu anahitaji 50000 tu atatue changamoto zake, kuna mwingine Laki, Mwingine 1M, mwingine 5M, mwingine 10-100M, Hatafunani shida 😂Mtu akikwambia anapitia wakati Mgumu Financially usichukulie poa.
Kuelekea Baraza kuu la kihistoria..
Nimesikia sauti yenu, Asanteni sana Watanzania kwa upendo mkubwa.
Ushindi wetu uko karibu sana..
Msiogope, tutashinda.
Good Job Watanzania, wow wow wow.
Hongereni Watanzania maana zamani hata kuwazomea hivi CCM tulikuwa tunaogopa ila sasa hivi hatuwaogopi tena hawa wauwaji na machawa wao.
Watanzania, video kama hizi zinatutia moyo wanaharakati wenu tuendelee kupambana kwa niaba yenu. Yani mimi personally nimeangalia video hii nikajiambia, it’s worth it kupigania nchi yangu, Acha ma cartel waje kuniua ila napigania watu ambao wako tayari kujipigania…..,
Mmejua kunipa raha mchana huu.
@tedcruz@SenatorShaheen@Europarl_EN This is the reality in Tanzania: the people have rejected Samia Suluhu and her regime. The moment her government was mentioned, the crowd erupted in boos. The minister wasn’t even given the chance to finish his sentence.
The only reason CCM remains in power is through killings, fear and force. Tanzanians are being held hostage at gunpoint, not governed with the consent of the people.
Mkiambiwa wananchi wamechoka upumbavu hamtaki, angalia sasa mpaka “MHESHIMIWA WAZIRI” anazomewa wazi wazi mbele ya kadamnasi😂😂.
Kukimbia hawezi, kuzuia vyombo vya habari hawezi😂😂😂😂😂😂😂!!
Kazi nzuri WANANCHI, tutafika tu.
Watu wanaona kama tunamuonea huyo dogo wa Ureno, Sasa twende taratibu tujadili kauli zake.. 😂
Baada ya Kushinda Ballon d'or yake ya 5 mwaka 2017 na kulingana na Messi, akatoa statement kwamba
"I don't see anyone better than me. No player has done things that I cannot do. There is no more complete player than me"
Baada ya Messi Kushinda Ballon D'or ya 6 na kumzidi huyo janja wa Uren, akaja kusema kwamba 😂
“I have more Golden Boots than any other player. I think that says a lot.”
Miaka 2 mbele Messi akaja Kushinda Golden Boot na kumpita huyo dogo 😂, alafu akaja kuhamia kwenye vikombe vya Timu ya Taifa wakati huo Messi akiwa hana
Alisema kwamba "always said that I wanted to win something with Portugal. I have won trophies with my clubs, but winning something with my country is special.”
Miaka michache mbele Messi akaja kuwin Copa America & World cup, Janja wa Ureno Jana akasema yeye Kushinda Euro kwake inatosha 🤣🤣.
Janja janja nyingi huyu jamaa
🚨🇩🇪 Manuel Neuer: “This will be my LAST tournament for Germany, I don't plan to participate in the Euros in two years”.
“I want to look forward to every match and not think about the farewell or the potential last game”.
Uzuri wa maisha kuna kipengele kinaitwa muda, wakati wako ukifika, kuna vitu wengine walitumia miaka 4 kuvifikia, ila wewe utatumia mwaka mmoja.
Never count yourself late.