@_falsi1ke If you borrow something, return it right away. If it's dirty clean it. If it takes fuel, fill it. If it has a sharp edge sharpen it. Always return it better than you got it
#TajiriLaKihaya
Naogopa kutumia namba yake ya Simu…
Nimewapa Ushauri wa Kufungua Account ya MSIKITI…
Wakishafungua nitashare ACCOUNT namba hapa…
wote Tuchangie IN SHA Allah🙏🏽
Wakubwa msaada tutani 🙏🏼
Tumshike mkono huyu dada yetu anatafuta kazi yoyote aweze kumudu gharama za maisha. Anapatikana Dar, Ni muaminifu, I can vouch for her.
Rt inawezekana mtoa kazi akawa kwenye TL yako 🙏🏼
إذا قصرت يداك عن مكافأة صاحب معروفٍ، فليطل لسانك بالشكر والدعاء له
Kama mikono yako ni mifupi haiwezi kumlipa aliyekutendea wema, basi refusha ulimi wako kwa kumshukuru na kumwombea dua.
Gen Z si adui; Ni wateja wa siasa na uchumi wa kesho.
Making Africa Work: A Handbook (waandishi ni Greg Mills, Jeffrey Herbst, Olusegun Obasanjo, na Dickie Davis). Kitabu kinasisitiza kuwa Afrika inapitia ongezeko kubwa la watu kuliko bara lingine lolote.
Mmoja wa waandishi, Olusegun Obasanjo (Rais wa zamani wa Nigeria), ameandika kwamba “Making Africa Work” kunahitaji uongozi wenye maono ya mbali sana, siyo uongozi wa kuzima moto wa maandamano.
Idadi ya watu itaongezeka mara mbili hadi kufikia bilioni 2 ifikapo mwaka 2045. Zaidi ya nusu ya Waafrika wataishi mijini. Kundi hili litakuwa na vijana ambao wanaunganishwa kupitia simu na mitandao ya kijamii.
Hadi kufikia 2050, robo ya idadi ya watu duniani itakuwa Afrika. Ongezeko linaweza kuwa baraka ikiwa vijana watapata kazi na elimu, au likawa janga ikiwa serikali zitashindwa kuweka mifumo ya kiuchumi
Kitabu kinaeleza; Ikiwa (Gen Z) watapewa fursa za kiuchumi, watakuwa nguvu ya mabadiliko na ukuaji (demographic dividend). Lakini ikiwa hakuna ajira, uchumi na fursa, itakuwa janga la kisiasa na kijamii.
Waandishi wa “Making Africa Work” wanaeleza kuwa (Gen Z) wanaishi mijini zaidi na wameunganishwa na mtandao (digital connectivity). Tofauti na vizazi vilivyopita ambavyo vilikuwa vijijini na vilitawanyika
Gen Z siyo Taasisi iliyosajiliwa, ni wazo (Idea). Tofauti na vyama vya siasa ambavyo vina ofisi, viongozi wa kukamatwa, ruzuku za kuzuia, Gen Z ni kizazi chenye itikadi inayozungumza haki, ukweli, na teknolojia.
Gen Z Hawana “central command”. Wao wanakutana ‘online’ tu. Ukimkamata mmoja, wengine elfu kumi wanazaliwa mtandaoni. Huwezi kuua wazo lao ambalo halina ofisi wala msemaji mkuu mmoja. Never.
Gen Z hawana kiongozi mmoja (leaderless movement), hivyo hakuna mtu mmoja wa kumnyamazisha ili harakati zao zifariki. Decentralization haitawezekana kamwe katika Ulimwengu huu wa sasa wa kidijitali.
Habari inasafiri kwa sekunde. Ukijaribu kufunika ukweli mmoja, video 100 zinatokea TikTok au X (Twitter) au Instagram au Facebook. Information speed ni kubwa sana. Huwezi kutengeneza uongo na kuutea uongo.
Usiwaone Gen Z kama adui, waone kama mtaji katika uwekezaji wa baadaye; Wanaishi katika ulimwengu tofauti na vizazi vilivyotangulia. Wao wanafikiria digital, wanataka uwazi, haki, na fursa za kiuchumi.
Huwezi kufungia “spirit” ya watu wanaozungumza lugha moja kupitia mitandao. Washauri wa watawala wanatumia mbinu za karne ya 20 (mabavu, propaganda, na vitisho) kukabiliana na matatizo ya karne ya 21.
Mtawala anayewaona vijana kama maadui anajitenga na uhalisia. Badala ya kutumia nguvu (force), alipaswa kutumia ushawishi (influence). Vijana hawataki kupindua nchi; wanataka nchi ifanye kazi kwa ajili yao.
Kitabu hiki kimeweka msisitizo mkubwa kwamba, Viongozi wanaotaka kuendelea kubaki madarakani lazima waendelee na ukuaji wa kiuchumi wa kweli na kuunda ajira — si kupambana na raia wao wenyewe.
Fanyeni tafiti (research) halisi, si hizi tafiti zenu za uongo za kufurahisha genge; Washauri wa watawala huwaeleza watawala lugha ambayo wanadhani wanayotakiwa kusikia. Hawaelezi ukweli na uhalisia.
Mnatakiwa kutumia data halisi, surveys zisizopendelea upande, na mazungumzo ya moja kwa moja na vijana (bila kuwakamata au kuwatisha). Kuujificha nyuma ya “wanasiasa wana wachochea” ni kukimbia ukweli.
Kitabu kinakataa mifumo ya kufadhiliwa na rushwa (patronage) na kuendesha mambo tu bila mpango (muddling through). Kinasisitiza kuwa ongezeko hili la watu linafanya mifumo ya zamani isifanye kazi tena.
Kitabu hiki kimeandika kwamba, ulinzi wa kweli hautokani na silaha, bali unatokana na raia walioridhika. Kupambana na “Gen Z” ni sawa na kupambana na injini ya gari lako mwenyewe ukiwa barabarani.
Unapochagua mabavu dhidi ya raia wako, unajenga Deep-seated Resentment. Hiki ndicho kizazi chenye nguvu kazi, wabunifu, na walaji wa kesho. Ukiwavunja moyo, unaharibu uchumi wa nchi muda mrefu.
Ukiziba njia zote za kidemokrasia na mazungumzo, unawalazimisha kutafuta njia mbadala ambazo mara nyingi huwa ni za machafuko zaidi. Hapa ndipo inaibuka dhana ya ‘Radicalization’ ili wapate kupumua vizuri.
Kitabu kinaeleza huwezi kuwadhibiti watu ambao wanajua haki zao na wanaona maendeleo ya nchi zingine kwa kutumia mabavu. Gen Z hawawezi kufungwa macho kirahisi. Ulimwengu upo kiganjani.
Badala ya kupambana nao, waweke katika meza ya mazungumzo. Washirikishe katika maamuzi badala ya kuwafanyia maamuzi. Wana maoni makali kwa sababu wanaona matatizo moja kwa moja kupitia mitandao.
Kiongozi unatakiwa kujenga uaminifu mkubwa kupitia vitendo, si maneno; Punguza gharama za maisha kwa vitendo. Pambana na ufisadi bila kuchagua. Toa fursa za kiuchumi kwa vijana (ajira, mikopo, elimu bora).
Tumia mitandao kuwajibu moja kwa moja, si kuwazima ili sauti zao zisikike tena. Msiifungue hiyo mitandao. Msiifanye kama ni majukwaa haramu kuyatumia. Tumia lugha yao kupitia mitandao, memes, na uwazi.
Usiwaone Gen Z kama watu kutoka nje — ndiyo wapiga kura wengi wa baadaye. Miaka mitano ijayo, hawa walio na umri wa miaka 15 had 18 watakuwa na miaka 20 hadi 23 na ndiyo watakuwa wapiga kura wenu wengi.
Watawala mnatakiwa kuanza kufanya town halls za kidijitali na za kimwili (physical) bila kuwakamata. Wajenge uwezo — elimu bora, stadi za tech, na nafasi katika uongozi (youth quotas bunge na serikali).
Tumia Youth Councils na hizi Youth Development Forum ili kupata malalamiko ya vijana. Tumieni data halisi (si kutegemea taarifa za intelligence tu) kuelewa malalamiko halisi ya gharama ya maisha na ajira.
Kitabu kinatoa takwimu Afrika inahitaji kutengeneza mamilioni ya ajira kila mwaka ili kukidhi hitaji la vijana wanaoingia sokoni. Serikali lazima zifanye mageuzi makubwa sana ya kiuchumi (economic reforms).
Toeni mikopo ya vijana (kama SIDO au TIB) bila siasa, anzisheni digital hubs katika mikoa. Tengenezeni National Youth Dialogue Forum na hakikisheni isifanywe kuwa jukwaa la kisiasa la vijana wa mbogamboga.
Vijana si kikwazo, ni kipimo cha uongozi wako; Kiongozi mkubwa si yule anayeshindana na vijana, bali yule anayewaelewa na kuwaongoza kuelekea mustakabali bora. Gen Z wataendelea kukua na kuwa wengi zaidi.
Usipambane na kizazi chako. Kipambane na matatizo yanayowatesa. Kama utawaelewa na kuwahudumia, watakufanya uwe na urithi mkubwa. Kama utawapuuza au kuwapiga, watakuandika kama sehemu ya tatizo.
Kitabu kinathibitisha suluhisho la Afrika siyo bunduki, bali ni sera sahihi, utawala bora, na kutoa nafasi kwa Gen Z kuongoza mabadiliko ya kiuchumi. Mtawala anayewazuia, anazuia maendeleo ya nchi yake.
Watawala someni kitabu, mtaelewa Afrika iko njiapanda. Upande mmoja ni mafanikio makubwa kupitia nguvu ya vijana, na upande mwingine ni machafuko ya kudumu ikiwa mahitaji ya vijana ya kudumu yatapuuzwa.
Huwezi kushinda vita dhidi ya wakati. New generation (hawa ambao tunawaita Generation Z) ni wakati unaokuja, na kamwe, huwezi kuuzuia jua lisioneke kwa kutumia kiganja cha mkono. Msiwachukie Gen Z.
Mimi nimeshauri tu kama mwananchi wa kawaida, mkitaka chukueni ushauri, msipotaka acheni.
MMM, Martin Maranja Masese, Mtikila.
Saizi nikiongea kuna namna Mdomo unajivuta pembeni kwasababu ya MAPENGO niliyopata ukubwani.
Hii ni hali mpya inanikosesha raha, ila haitaweza kunizuia kuyaishi maisha yangu niliyozoea.
Naamini na nyie wanangu mtazoea kuniona kwenye hali hiyo. Hata mkinitainia kwa hilo pia mimi kwangu UNYAMA.
Hili kwangu ni dogo sana, wapo watu wamekatwa Miguu baada ya kukutana na wakoloni weusi kama mimi, leo mimi meno tuu mawili yamepotea niogope?
Maisha yataendelea kama KAWA. Hili jaribu Mungu alinipa akijua naliweza na kweli NITAISHI NALO mwanzo mwisho.🙏
Anaitwa fumau wengi mmemfahamu kupitia mashairi yake mazuri na challenge za Quran,kipaji chake cha usomaji wa Qurani ndio kimempeleka DUBAI hakika Allah hamtupi mja wake..!!🤲🏾
Unapojiandaa kwa wiki mpya ya kazi, kumbuka hili, Msongo wa Mawazo unaoendelea huongeza shinikizo la damu na kudhoofisha mfumo wako wa kinga, kwa hivyo pumzika Mwili unapouhitaji #DondooZaAfya
Maneno ambayo nayarudia kuyasoma KILA SIKU NIKIAMKA
“If a man invests all of his money, all of his time, and all of his intellect into giving the world what it needs...
the world will have no choice but to give him what he wants.” @naval
Kila Mtu anapaswa kukariri Aya 10 za kwanza za Sura Al Kahf na kuzisoma kila siku, pia tunapaswa kusoma Sura nzima kila Ijumaa kwa ajili ya kujikinga na Fitina ya Dajjal, Watoto wanapaswa kufundishwa hili pia, Fitina inayotuzunguka inatisha, Mwenyezi Mungu atulinde sote.
BEST TIME FOR TAHAJJUD AND 10 GUIDES. SAVE AND REPOST.
1: Wake up 40mins/1hr before fajr
2: Pray minimum of 2 raka'ahs
3: Recite the last 2 verses from surah Al baqra(amanar rasul)
4: Recite the 3 Quls(Ikhlas, Falaq, Nas)
5: Perform witr(1 raka'ah) after finishing your rounds of 2 or more raka'ahs.
6: Subhanallahi, Alhamdulillah, La'ilaha illallah, Allahu Akbar 33x
7: lahaula wala quwata illahbillah x100
8: Astagfirullah x100
9: Subhanallahi wabi handihi subhanallahil Azeem x100
10: Salatul Nabiy(as much as you can)
The best nights are Friday nights.
And ask Allah everything you want, mostly in your sujood. Because that's the closest you're to Allah.
With Ramadan now, the nights got even more special and scared.
Pray with calmness and focus. With the belief that Allah will answer your prayers.
May Allah answer all our prayers.
I share Islamic reminders every day. Follow me to not miss any update.