Cc @FIFAcom ππΎ before this post gets deleted
@ccm_tanzania also made public announcement that they received 100 million from @YoungAfricansSC
If here is the link even if they delete you can find the link archive but I also have saved a screenshof
Thank you ππ½
Hello @CAF_Online Football in Tanzania is no longer safe. A major club like @Yanga1935 has abandoned sportsmanship and aligned itself with the ruling party (CCM) linked to killings, abductions and persecution of citizens and opposition members. This destroys the image of football
Katibu Mkuu @ChademaTz sitakuwepo kwenye kikao cha tarehe 12 Aprili 2025 cha kushauriana na kusaini maadili ya uchaguzi ya 2025.
Ifahamike kuwa mwenye mamlaka ya kusaini maadili ya uchaguzi kwa niaba ya chama cha siasa ni Katibu Mkuu.
Katibu Mkuu sijateua kiongozi au afisa yoyote kwenda kushiriki kwa niaba yangu katika kikao hicho kitakachofanyika katika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi @TumeUchaguziTZ Mkoani Dodoma. #NoReformsNoElection