@nypost Mange Kimambi is not a patriot. She is a Los Angeles mouthpiece paid to smear an African government and manufacture unrest. Foreign sponsors love chaos in Africa. Tanzania does not need imported agitation dressed up as “activism.”
Kama una ndugu, rafiki mwanajeshi, please muulize kuhusu recruitment ya wanajeshi kutoka ZNZ iliyofanyika na ambayo bado inaendelea.
Hii issue ni very serious.
Jeshi la JWTZ linakuwa taken over na Zanzibar kimya kimya.
Usalama wa taifa ndio hapafai ni Wazanzibary tupu na ndio wenye nguvu ya kutoa maelekezo and everything, wabara hawana power yoyote. Mombo ndo kabisaaaaaa, mkuu wa Usalama wa taifa ni Abdul.
Watanganyika tuko busy na Chadema VS CCM huku Zanzibar wanatutake over bila kujali CCM wala Chadema…….
Mnaambiwa mpaka vijana wa barabarani wa Zanzibar wanasombwa wanapelekaa JWTZ…..
Nkunda kauza nchi!!!!!!
Na kimama anafanya hivi maana kaona JWTZ waligoma kuua October 29, so anajaza jeshi na Wanzibary ambao hawatosita kuua wabara.
Hii document ilitumwa na mtumishi ardhi huko Arusha ambae alikuwa anaumia kuona viongozi wa Umma wananunua viwanja binafsi kwa kodi za Watanzania…
DEO NDEJEBI HUYO HAPO KWENYE LIST SAMBAMBA NA KINA BASHITE…
And this is nothing, DEO ana viwanja majumba Masaki. Acha huko London… DEO ni fisadi wa level za Angel Kizigha!!! It’s bad!!
Na niwape tu, DEO ana uraia wa UK… British government should help us kuachia documentation za uraia wa Deo UK….
Lile Bunge la machawa lita ignore information zote hizi za red flag na watampitisha huku wanajua kabisa Deo anaienda kuichomesha Tanganyika kwa ZNZ!!!!!!
Nitawaletea ushahidi zaidi wa UFISADI WA DEO NDEJEBI…..
Watanzania tunakupenda na tunakushuru kwa hii sacrifice.
Nchi yako iko nyuma yako siku ya leo.
Nimekusomea dua usiku wa kuamkia leo na usiku huu napoingia kulala nitakusomea tena dua.
The LION OF TANZANIA 🇹🇿
🥇 Last night in Atlanta, our groundbreaking Tanzania investigation won a @NABJ Salute to Excellence Award.
🇹🇿 Thanks to all the brave Tanzanians who trusted us with their stories
Watanzania tuko vizuri kwenye kudai haki, Tafadhali tusikubali kutolewa kwenye focus ya kubadilisha maisha yetu na nchi yetu kwa ku trendisha upuuzi wa wasanii.
Watu maarufu ndio wamekuwa kikwazo cha Watanzania ku focus kudai haki sababu ya ujinga wetu Watanzania, tena Watanzania maskini ndio tunao trendisha huu upuuzi
Watanzania tusimwangushe huyu baba………..
Angalau akitoka ndani akute tumepiga hatua kubwa kwenye maendeleo.
KUCHANGIA TUMA PESA:
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba ya Akaunti: 22606600140
Jina la Akaunti: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Habari niliyopewa usiku huu ni nzito sana.
Watanzania naomba mnisikilize, Heche is a DEAD MAN WALKING….
Huu mpango wa kumuondoa kama kiongozi wa Chadema kupitia kumchafua kuwa kaiba pesa za tone tone ukishindwa kumuondoa CCM watamuua ili waweze kuweka mtu ambae ataipeleka Chadema kwenye maridhiano na kimama.
Yani ni hivi, kimama anataka maridhiano na Chadema at any cost . Yani lazma yafanyike, wamemwaga pesa ndani ya Chadema kama zote ili Heche aondolewe Chadema waweze kuweka mtu wao. Unaambiwa kampeni ya kumchafua Heche ni kubwa na ndo kwanza imeanza, mnaambiwa mpaka kwenye kamati kuu ya chama wanamwaga hela ili aondolewe.
Sasa ikishindikana hiyo plan ya kumuondoa kwa kumchafua kimama yuko tayari kwenda kwenye plan B, to kill him…..
ile ticket and info alioposti Yericko sio Ai au edit it’s real. Kapewa na usalama wa taifa, although Heche hakusafiri. Ila hali ni mbaya kiasi hiko. Mombo anamstalk Heche kila anapoenda anasubiri go head ya kimama then amuue Heche.
Watanzania Heche na Lissu ndio watu wamwisho tulionao wenye msimamo mkali, tumlinde Heche kwa njia yoyote, yani hata ikibidi tupeane zamu kulala nje ya geti lake, au hata tuchange tulipie international security group waje kumlinda other wise HE IS DEAD…
Watanzania @HecheJohn na @TunduALissu wanatuhitaji kupita kiasi.
Heche anapigwa vita sababu kuna viongozi ndani ya Chadema wamefika bei ya maridhiano na CCM so wanajaribu kumuondoa Heche ili waweke mtu ambae atafanya maridhiano..
. @jmkikwete@SuluhuSamia Mnawanyima Watanzania haki ya kuunga mkono chama chao wanachokiamini kwa kuzuia mikutano ya hadhara.
Mnataka wananchi wapambane kwa njia zipi kama njia zote halali zinazuiliwa?
Ni mpaka mzalishe rebel groups Tanzania ndio mtaona raha?
. @tedcruz@SenatorShaheen@SenateForeign
While you are sanctioning the killers of Tanzania, please follow the money trail to Dubai.
Mos of the money Samia Suluhu, her son Abdul and their associates have stolen in Tanzania goes to the UAE through this bank ,CRDB.
Please INVESTIGATE CRDB bank and you will find all the BLOOD MONEY!!!!!! THIS BANK ITSELF NEEDS TO BE SANCTIONED. Please FREEZE ALL THEIR ASSETS AND THOSE OF THEIR RICH BUSINESS ASSOCIATES.
Samia Suluhu’ son, Abdul was gifted a UAE citizenship. Please follow the money through CRDB bank!!!!
I want to emphasize this. ALL ROADS LEAD TO DUBAI.
A man spends 50 years teaching at MIT.
He knows his time is running out.
So he records one last lecture — everything he knows, distilled into a single hour.
He died 5 months later.
This is that lecture.
The most important hour you'll watch this week. 👇
Bookmark it for later
I can’t help but think out loud, you mean my mom went through this hell SEVEN TIMES? 😳 Childbirth is no joke at all. Respect to every woman that goes through it. Mothers deserve way more credit than they get.
Big shoutout to @bodyminddaily for putting this out there.
Mauaji ya October 29 yakifanyika kitaifa, mpaka wana CCM waliandamana na kuuliwa. Kulikuwa hakuna chama wala dini wala ukabila. Tulipambana woote na tukauliwa wote so I think it’s important Chadema ikabeba hili kitaifa na sio kichama. Suggestion ndogo kwa chama cha Chadema…….
Pyeeee, unazungumza na nani? Na utamshawishi nani? Hutambuliki kama rais wa Tanzania, nani akusikilize muuaji, ulieua raia ili uwe rais? Utasikilizwa na kina Mwiguli ila sio nje ya Tz.
Ila huyu mtu anajua kujitoa akili,yani ana-act kama vile bado kuna mataifa yenye akili yanayomtambua, yani ana act kama vile she is still welcome at the table baada ya mauaji ya Oktoba 29.
Wewe ni rais batili na huna muda…..