@StoneSaphia Alikua amevaa kanzu nyeupe na ana kama kifimbo
Ume muona yule kijana niliyeongozana nae amevaa kanzu Nyeusi
Hii nyimbo umechanganya beti na nyimbo ya msanii mwingine
Goal of the season? This one is right up there. 🎯
A pure Puskás contender from Clatous Chama.
The technique, vision, confidence and the finish all in one moment.
Take a bow! 🇿🇲👑
#NguvuMoja#AfricanFootball
Kwamba Jeshi la Polisi mnataka mie nifike kwa DCI?
Mnataka nijilete kwenu nyie ambao April 24, 2025 mliniteka pale Mahakama ya Kisutu mkakaa na Mimi Central Police kisha mkanijazisha na kunisainisha fomu ili nijidhamini halafu nimetoka tu nje mkanigeuka, Mkanikamata tena na kuniweka lockup. Nijilete tena?
Nijilete kwenu nyie ambao Oktoba 29 mmeuwa kwa risasi Watanganyika wenzangu zaidi ya elfu kumi na wengine mmewapa vilema vya maisha na wengine mpaka leo wanauguza majeraha ya risasi?
Nijilete kwenu nyie ambao mpaka leo mmeshindwa kuwakamata watu waliofanya jaribio la kumuua Mhe. Lissu kwa risasi 37 September 7, 2017 kule Dodoma.?
Yani mimi na akili zangu nijilete machinjioni si hata mtoto angu atanishangaa?😂😂😂
Labda niwambie tu kwasasa nna kazi kubwa ya kupigania ukombozi wa Taifa letu, tupate Katiba Mpya, Tume huru ya Uchaguzi tuwe na mifumo Imara ya utoaji Haki ili wote tuishi kwa usawa kila Mwananchi aifurahie nchi yake na ahisi kuwa salama.
Baada ya hapo ndio tunaweza kuombana ushahidi wa andiko langu au mimi kujileta kwenu kwasasa acha niwasaidieni kwanza kupambania mifumo ibadilike na kazi yenu itakuwa rahisi. Hata mimi nitawapa ushirikiano huo muda ukifika. Tofauti na hapo sijileti machinjioni ng'o.
Bimsumi alijua itakua siri sasa mipango yake anayopanga akiwa kwenye chumba cha siri leo iko hewani
Sasa ajiandae maana Jasusi sio Mtu wa kawaida kabisa
@jgwajima@free_da_truth#Tutakuwepo
Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crowne.
Fikiria kijana ambae ameanza maisha hapa Dar, kutokana na adha ya usafiri anajibana ananunua kagari ka usd 6,000 ambazo ni sawa na 14 m.
Hiyo gari ikifika inatozwa ushuru mwingine wa 14 m, yaani fikiria ushuru unalingana na ununuzi wa gari!!!
Yaani gari Machuma yote, engineering iliyopo pale kwenye gari unanunua bei sawa na ushuru wa mtu ambae amekaa ofisini tu na anakuchaji hela yote hiyo!!!!
Wakati mwingine kodi zinakua bei juu kuliko manunuzi!!!!
Huyu kijana awe mkulima au mfanyakazi, anafanya kazi ngumu sana kupata hiyo fedha, then inachukuliwa hivi…
Alafu baada ya mda CAG anasoma ripoti kwamba uwanja ulitakiwa kujengwa kwa bilioni 187 baadae ukajengwa kwa bilioni 337..
Mara umekaa unaambiwa kuna eti Waziri anatumia gari binafsi ya bilioni 2, unajiuliza mtumishi wa umma ametoa wapi bilioni 2 kununua gari na mshahara wake unafahamika, au anamiliki nyumba tano za thamani ya bilioni tatu, nne au tano… aniliki mashamba ya mabilioni, amempa mama mkwe wake nyumba ya bilioni tano na gari la kutembelea la milioni 500.
Pesa zote hizi za mlipa kodi anaeumizwa kiasi hiki na mzigo wa kodi…
Hapa nimesema magari tu, Ukienda kwenye kila kitu kinachoingizwa na kutoka Nchini ni mzigo wa kodi na maumivu kwa Mwananchi..
Na mwisho wa siku badala hizi fedha zitumike kwaajili ya maendeleo yetu zinaishia kwenye mifuko ya vibaka.
Hakuna barabara, hakuna maji, hakuna umeme.. Maisha magumu , mishahara duni hasa kwa walimu na manesi.
Hatuwezi kukubali kuwa watumishi wa vibaka wanaopora mali za umma.
Kila nikitazama hizi video za Oktoba 29, huwa najiuliza hawa Polisi ni binadamu kama sisi?
Unawezaje kumfanyia binadamu mwenzako Ukatili wa kiwango hiki?
Kamwe hatuwezi kusahau huu Ukatili wa Nduli Idd Amin Mama pamoja na washirika wake maana pamoja na mateso yote haya bado wakauwa Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu kumi.