Desire Doué 🗣️🎙️: And I thank my Lord and Saviour Jesus Christ tonight because that was my prayer , that was my prayer to win the champions league again and we did it! I’m soo happy
The goal is simple, Jesus must be seen and heard everywhere!💫
Moja ya changamoto kubwa za mali zilizopo sasa ni mwendelezo wa mali hizo mwenye mali akifariki.
- Migogoro juu ya mirathi
- Kushindwa kuendeleza biashara iliyoachwa
- Kushindwa kulipa madeni yaliyoachwa
- Watu kutumia vibaya mali
@capitalssc, tume develop solution kwa ajili hiyo;
1. Kutengeneza “Family Trust” ili kulinda mali hizo
2. Kuweka mifumo ya kufanya biashara kuwa endelevu, na kusaidia warithi kusimamia biashara hizo
3. Kufanya uwekezaji wa fedha za mirathi
4. Kuandaa “succssion plan”
Child of God,
The GOOD HAND of the Lord is upon you.
Great and glorious things are coming to you because the hand of God is rested over you.
You have blessings and advantages beyond speed, strength, human wisdom and understanding and skill. You are a success and a wonder.
The hand of God in its FULLNESS is over your life. You shall experience and testify of the weight, power, might, urgency, direction and covering of that hand for the great things He has done.
You live a surrendered life; you have consecrated and yielded your life and traded all ambition for God’s agenda for you.
You will NOT be drawn away by the privileges and glory given to you. You walk in humility and honour of the great calling and that HAND upon your life.
God is for you. His GOOD HAND upon you is the testament of His covenant with you.
Hallelujah!
#ApostolicImpartation 🙌🏽
Job example of giving offerings and sacrifice for his children even for the things he didn't know they did or will do it was typology of Christ! - Masengi 2025
"Ukiona unapata tabu sana kutetea au kuhalalisha jambo kwa watu ujue kuwa jambo hilo hata wewe mwenyewe nafsi yako haijashawishika nalo. Litafakari upya au liache kabisa." ~Togolani Mavura.
Daladala Smart
Kuanza safari Dar es salaam hivi karibu ni utaweza kufanya booking na kutrack bus ipo wapi
Pakua App mapema usipitwe nauli ni kitonga tu root zote za mjini
Some Tanzania content creators, the 100m/year earners, would have you believe that "right mindset" is automatic agreement to unproven claims or mere statements of possibilities.
Basically suspend due diligence and blindly affirm. Otherwise you're small-minded.
The “mindset” accusation usually appears when the claim is bold, the proof is thin and the seller needs conversion.
It's not enough to be right, you have to be effective.
You're right to say it's possible to make 100 million TZS online per year. And I don't think the reasonable critics have said, “No one can make 100M online, ever.”
It's just that they're surgically discerning and you're terminally ineffective in your argument to a point of inviting ridicule.
At least acknowledge that there's contextual disconnect. Acknowledge that in an emerging market like Tanzania, people have seen enough online hype.
Acknowledge that you're talking to your equals as most of us are in the money searching trenches. Spare them the TED talk motivation and get granular.
Don't turn Carl Jung psychoanalyzing people's mindsets when they're being justifiably skeptical.
Kipindi naamua kuingia kwenye fani ya Digital Marketing, ilinibidi nijielimishe kwanza. Changamoto niliyokuwa nayo ni gharama za internet pamoja kupata mahali tulivu pa kujisomea.
Bahati nzuri, kulikuwa na facility inaitwa American Corner pale Maktaba Kuu. Ilikuwa inaendeshwa na Ubalozi wa Marekani. Mule kulikuwa na internet ya bure, viti na computer. Na kiyoyozi of course.
Basi nikawa naenda kushinda pale kuangalia video za online courses. Nilifululiza kuenda pale kwa miezi mitatu, nikahitimu mafunzo yangu binafsi ya kujiongezea maarifa mapya yenye uhitaji sokoni.
Sasa fikiria ningekuwa kule kwetu mkoani. Au tusiende mbali, tuseme ningekuwa nakaa Chanika au Chamazi. Ningemudu kweli kusafiri kwenda American Corner?
Shida kubwa ya vijana Tanzania ni kwamba wakihitimu na kuondoka vyuoni, wengi wanarudi makwao ambako wanakumbana na uhaba au ukosefu wa nyenzo za kujifunza na kujiendeleza. Mwishowe wanasahau hata kile walichokisomea.
Tuje kwenye point yangu.
Kuwapatia billion 2 digital creators ni sawa na kuwapa samaki badala ya kujenga madarasa yenye vifaa vya kujifunza uvuvi. Waandaa maudhi hawa tunaowaona na kutaka kuwapa fedha, kama yule aliyetajwa na Makonda, they have weathered untold challenges na kuna wengi wanashindwa kuanza.
Tujenge mazingira ya wengi kuibuka, not funding the output.
Mimi ni zao la zile Shule za Kata. Kama tumeamua kuingia na kufaidika kwenye uchumi wa digitali, basi tujenge tena Digital Workspaces za Kata.
@ShukuruAmos@barnabas_moya We must learn that the welfare of our nations is up on us, and we can’t delegate them to anyone! Leadership was there before ballot paper began, so what should be focusing point a ballot box victory or excellence Leadership!