Kwenye hili la LEMA mimi nadhani limeisha kimasta.
Lema kajua watanzania sio wajinga tena.
CDM inafahamu ukubwa wa vita yetu iliyopo mbele inatuhitaji pamoja zaidi ili WAKOLONI WEUSI waendelee kupumilia MASHINE.
Kama umefuatilia hii ishu tangu last week ni kama wakoloni weusi wameenda LIKIZO ya stress.
Sasa TUNARUDI kuwapelekea MOTO BILA KUCHOKA. Na hili ni kama funzo tumetoa kuwa hata sisi wenyewe tunapikana tukiona vitu havijakaa sawa.
Kumbuka pia soon CHAMA kinarudi mtaani kuanza mikutano yake chini ya MAKAMU, tungeendelea kupasuana hivi sijui ingekuwaje huko mtaani ila kwasasa naona tupo vizuri.
LENGO KUU NI MASISIEMU HAYATAKIWI KUPEWA MUDA WA KUPUMUA, YALIUWA , YANATEKA, YANAFUNGA MAGEREZA NDUGU ZETU HAYA LAZIMA YAWAJIBIKE.
The EPP Group has nominated lawyer, human rights activist and politician Mr Tundu Lissu as a candidate for the Sakharov Prize.
After surviving a 2017 assassination attempt, Mr Lissu returned to Tanzania to continue advocating democratic reform, only to face arrest, treason charges and exclusion from the 2025 presidential election, while his party was barred from participating.
His case reflects the wider erosion of democratic pluralism and political competition in Tanzania.
For the EPP Group, Mr Lissu represents a powerful combination of personal courage, democratic conviction and geopolitical relevance. His nomination affirms that Europe stands with those defending constitutional democracy and political freedom in Africa and in other partner countries of the EU. Mr Lissu embodies the defence of democracy, political pluralism, the rule of law and fundamental freedoms at extraordinary personal cost.
The Sakharov Prize for Freedom of Thought is the highest tribute paid by the European Union to human rights work.
Wahenga waliwahi kusema aliyeng’atwa na nyoka akiguswa na jani lazima ashtuke.
Ipo hivi Lema, watu wana haki ya msingi kabisa ya kutilia mashaka mienendo ya viongozi, haswa pale wanapoona anomalies.
Mbowe alikaa gerezani zaidi ya siku 200 kwa kesi ya ugaidi. Kesho yake Mbowe huyo huyo akaanza kupanda kwenye majukwaa mara kumpa mtukufu tuzo mara kusifu na kuabudu juhudi.
Wenje alikuwa persecuted na mtawala kwa miaka mingi tu kama wewe. Keshokutwa Wenje huyo huyo akaanza kutembeza mabegi ya pesa kuhonga watu.
Alikataa yote lakini mwishone akajieleza mwenyewe kandarasi zake na Abdul.
Nataka kusema ni kweli umejitoa katika haya mapambano kwa muda mrefu na umelipa gharama.
Hata hivyo hii haizuii kwenda rogue na umma una haki ya msingi kabisa ya kukutumbulia macho.
Je, hii inamaanisha watu wazushe tu mambo na kufanya character assassination?
Hapana, haipaswi kuwa hivyo.
Lakini pia haimaanishi kila kinachosemwa ni uzushi.
Tuliona kwa Mbowe tukaona kwa Wenje. Yale yale yaliyoitwa uzushi ndio hayo hayo waliyokuja kuyaweka wazi.
Nadhani somo kubwa hapa ni kwamba viongozi hampaswi kuwaweka wananchi katika mazingira ya kuzusha na hata kuamini uzushi.
Watu sio wapumbavu. Mkianza kuonesha tabia fulani fulani, lazima watu waanze kuunganisha nukta.
Tundu Lissu aliwahi kukiri kuwa kuna wakati matendo ya viongozi wa CHADEMA yaliwachanganya sana wananchi.
Ni wajibu wenu kama viongozi wa CHADEMA kuepuka kuwachanganya wananchi.
Wananchi wameshang’atwa na nyoka. Ni juzi tu Wananchi wametoka kuzika maelfu ya ndugu zao waliouawa kikatili na Samia. Wengine mpaka leo hawajapata hata nafasi ya kuzika ndugu zao.
Hauwezi kuwaambia hawa watu wasihoji inconsistencies zinazojitikeza kwa viongozi wanaojipambanua kuwapambania.
Hauwezi kuwaambia wasiunganishe dots pale wanapolazimishwa na maneno au matendo ya viongozi hao.
Act responsibly kama kiongozi, huu ndio ujumbe kutoka kwenye haya yote.
Iwe ni kwa bahati mbaya au makusudi, barua na tweet za juzi hazikuwa na uwajibikaji ndani yake.
Unaweza kuniuliza “kwa hiyo sipaswi kutoa maoni yangu?”
Nitakwambia “una haki ya msingi kabisa.” Lakini nitakukumbusha pia kuwa “umma nao una haki ya kuwa na maoni kuhusu maoni yako.”
Na mara nyingi, maoni ya umma ni mahakama.
Integrity integrity integrity!!!!!!!
Samia ameuwa maelfu na inakaribia mwaka anaweweseka, hajui anajinasuaje!
Si vyama wala 'makundi yenye ushawishi' wameweza kumsaidia.
Mtu anayedhani atamsaidia kufuta historia hiyo chafu ikawa biz as usual anajidanganya.
Huyu muuwaji LAZIMA awajibike kwa UMMA wa Watanzania.
Tundu Lissu has been in detention for more than 500 days because he advocates for free and fair elections and a democratic future for his country. He continues to face the death penalty.
To Commonwealth member states meeting in New York this Sunday:
Do not accept Palamagamba Kabudi’s glossy report that “accountability has started,” commissions exist, and talks with parties and churches (including Catholics) mean everything is fine.
Tanzania was told to lift restrictions on assembly, expression, media and civic space; convene a real inter-party forum; and deliver transparent accountability plus compensation for the October 2025 violence. Those conditions have not been met.
Tundu Lissu remains detained. Rallies stay banned. Civic space is still shrinking.
You said you would consider further action, including the path toward suspension, if progress failed. Tanzanians are watching. Act on the facts, not the report.
@ABMinistryFA@MIR_BW@AnitaAnandMP@CanadaFP@MoFAGrenada@MalaysiaMFA@MFEAMalta@chrisfearne@RitishRamful@samoagovt@ZambiaMFAIC@SGCommonwealth@commonwealthsec@commonwealthsec @CMAG_Commonwealth @ShirleyBotchwey and relevant foreign ministers attending UNGA.