Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, John Heche amekamatwa na Askari wa Jeshi la Polisi muda mfupi baada ya kuwasili Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam.
Camera za @ayotv_ zimenasa tukio hilo ambaapo Askari Polisi waliingia katika gari ambalo ndani yake alikuwepo Heche na kisha kuondoka naye.
Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika amesema hawajafahashwa sababu za kukamatwa kwa Heche, @ayotv_ inaendelea kufuatilia taarifa zaidi kutoka Jeshi la Polisi ili kufahamu sababu za kukamatwa kwake. #MillardAyoUPDATES
Our new episode on Reproductive and sexual health is out now🔥.Join us as we dig deep into what really encompasses sexual health within our societies.
#reproductivehealth#sexualhealthawareness#juaukweliboreshaafya
Feel free to comment, like and share you views on the topic.
Happy #InternationalWomensDay!
We call for a world where every woman and girl has access to affordable, quality health services, and all women and girls are treated and respected as equals.
Our team from Dodoma wishes everyone #HappyInternationalWomensDay
Here are 6⃣ tips for a healthy life:
🥘 Eat healthy food
🏃♀️ Be physically active
🍺 Avoid harmful use of alcohol
👨⚕️Attend your regular health screenings
🧠Pay attention to your mental health
#MondayMotivation
Part 2 of our Men vs Women mental health episode.
Kipande cha pili cha episode yetu ya afya ya akili kati ya wanaume na wanawake.
Are you emotionally weak or strong?.
#MentalHealthAwareness#juaukweliboreshaafya
Full episode on our youtube channel. Link on bio!!
Here is a glimpse of Part 1 of the first episode were we are talking about Mental health. Full video in our youtube channel. Feel free to share your views.
Hiki ni kipande kidogo cha sehemu ya kwanza ya episode yetu no. 1 inayoongelea maswala ya Afya ya akili.
Tupe maoni yako.
After a long hiatus we have come with a series of episodes of mental health.
Join us as we talk about the general overview of mental health within our setting.
Stay tune!!. Subscribe on our Youtube channell. Link on bio
#MentalHealthMatters#Juaukweliboreshaafya#healthpodcast
Season's Greetings from all of us @WHO_Tanzania!
Indeed, it has been an amazing year & we wish you & your loved ones a joyous festive season and a prosperous 2024!
October is breast cancer awareness month. Here are some few facts. Remeber “Early detection saves lives” lets take care of our loved ones.
For more info visit our website.
#BreastCancerAwareness#SarataniyaMatiti
NGO’s play a crucial role in ensuring #HealthforAll.
In a bid to mobilize & ensure these NGO’s reach more vulnerable population groups in 🇹🇿, @WHO_Tanzania with funding @CanadaDev, is supporting Gov🇹🇿 in a National NGO digital mapping Initiative to support health programs.
The backbone of health emergency response is the operational capability.
Thanks to the training provided for health workers in #Zanzibar 🇹🇿 by @WHO_Tanzania on Integrated Disease & Surveillance response, cases are now reported timely unto the electronic #IDSR system for support.
So these are some of the topics the hosts are eager to talk about. Any suggestions of other topics that you would like them to talk about?
Je ni maswala gani ya afya ungependa madaktari wayajadili kwa kina ukiachana na hayo yaliyotajwa??
#juaukweliboreshaafya#prelaunchepisode
Watoto wanaozaliwa na wamama wenye VVU wanweza kuwanyonyesha watoto wao mpaka mwezi wa 12. Tafiti zinaonyesha wamama wanaotumia dawa za kufubaza VVU wanauwezekano mdogo wa kumuambukiza mtoto.
As we wind up World breastfeeding week. Here are some of the important facts we would like to highlight on.
Tunapomalizia wiki ya unyonyeshaji duniani. Hizi ni baadhi ya taarifa muhimu za kukumbushana.