Kulinganisha bei ya bidhaa kama mafuta (petroli/dizeli/mafuta ya taa) kati ya nchi iliyoendelea na nchi inayokua bila kuangalia uwezo wa kununua (Purchasing Power) ni kujaribu kupotosha ukweli halisi wa hali ya maisha.
Tofauti ya Kipato cha Wastani (GDP per Capita) ndiyo kigezo kikubwa zaidi kinatumika hapa. Hata kama lita ya mafuta Norway ni ghali mara mbili ya Tanzania, kipato cha raia wa Norway ni kikubwa mara hamsini zaidi.
Uwezo wa Kununua Mafuta (Fuel Affordability); hapa utapaswa kuangalia asilimia ya kipato cha kila siku kinachohitajika kununua lita moja ya mafuta kwa nchi hizo ulizotaja (Mfano Netherlands) na Tanzania.
Mtu wa kawaida Norway au Netherlands ana mapato mara 50 au 70 zaidi ya mtu wa Tanzania. Hii inamaanisha kuwa gharama yoyote (hata ndogo) inachukua sehemu kubwa zaidi ya bajeti ya familia ya Kitanzania.
Tanzania (data 2018–2022, bado inatumika kama kiashiria) na inaonyesha 51.3% ya watu wanaishi chini ya $2.15 kwa siku (umaskini mkali wa kimataifa). Karibu 70% wanaishi kwa kipato cha chini ya $3.65 kwa siku.
Katika nchi za Norway, Sweden au Netherlands raia wa kawaida katika nchi hizo anatumia chini ya 1% ya kipato chake cha siku kununua lita moja ya mafuta. Kwao, mafuta ni gharama ndogo sana (pocket change).
Mtanzania wa kawaida anayepata kipato cha wastani wa Tsh 15,000 kwa siku, akitakiwa kununua lita moja ya mafuta kwa Tsh 3,800, anatumia zaidi ya 20% ya kipato chake cha siku kwa ajili ya kununua lita moja tu.
Kwa akili ya kawaida tu, maumivu anayoyasikia Mtanzania wa kawaida kwa kununua lita moja ya mafuta ya petrolo na dizeli ni makubwa mara 20 zaidi ya anayoyasikia raia wa Netherlands au Norway.
Katika nchi kama Sweden, Norway na Netherlands, mfumo wa kodi unarudisha huduma bora za kijamii (shule bure, bima ya afya ya uhakika, usafiri wa umma wa kisasa). Hii kitaalam inaitwa ‘disposable income’
Tanzania, raia wa kawaida anapaswa kutoa fedha mfukoni kwa ajili ya kugharamia ada ya shule, matibabu (ambayo ni gharama kubwa), na usafiri binafsi kwa sababu usafiri wa umma haujitoshelezi.
Wakati raia wa Norway akimaliza kununua mafuta, anabakiwa na pesa nyingi ya ziada (disposable income). Mtanzania wa kawaida akimaliza kununua mafuta na chakula, mara nyingi anabaki na deni au sifuri
Ulaya, mifumo ya hifadhi ya jamii inawalinda masikini. Tanzania, mfumuko wa bei wa bidhaa za chakula una athari ya moja kwa moja, zaidi ya 50% ya kipato cha kaya Tanzania huishia kwenye chakula pekee.
Kujaribu kulinganisha bei ya bidhaa za mafuta ya Tanzania (Tsh 3,900) na ya Netherlands (Tsh 6,000) bila kuhusisha GDP per Capita ni sawa na kulinganisha uzito wa chungwa na uzito wa basi la abiria.
Pamoja na kwamba mnafanya kazi ya kuitetea Serikali katili ya mbogamboga, jitahidini kuwaonea watanzania huruma. Mafuta yakipanda bei katika pampu, athari za kiuchumi katika maisha ya kawaida ni kubwa.
@Thommunkondya Sasa kama mlikuja na kauli mbiu ya Mama hatumdai ...na ukisema bado kuna tatizo unaonekana mchawi si bora uzungumzie mambo private uwaachie mambo yao
Maboss Acheni Kuwafanyia Vitendo Vya Kikatili Wafanyakazi Wenu Wa Kike (Hasa Kuwataka Kimapenzi) Mkumbuke Wameolewa Na Wanafamilia Wengine Wapo Hapo Kwa Ajili Yakutafuta Pesa Za Kuuguzia Wazazi Wao.
Na Wakiwanyima Mnatishia Kuwafukuza Kazi Msifanye Hivyo Wakuu Mnakosea Sana💔🙏🏿
I guess this is the best time to tell the story.
I was in my final year, and I had just completed my project, on this day I took it to my supervisor for her to approve so I can go print hard copy and submit the following week or next so I can return to Lagos, I was also prepping for the final too with my boys so we get to the viewing center early cause it was going to be jam packed. That was how my supervisor said my chapter 2-5 was trash after checking. “Everywhere first blurrrr” I wan crazy. Project topic that you gave me that I have been on for almost 6months, spent a lot with production, sensory evaluation done, gotten data, interpreted and analyzed my results, make go start all over again, at that point I was just sad instantly with the school I was tired of sef. I just said okay and I packed my stuff and left her office. Meet up with my boys and I told them “what happened and if she made me sad at least Chelsea won’t” na so we enter viewing center, boom Chelsea Won 1-0. My joy came back. I went back home so happy and fulfilled, I knew I still had a problem to solve but I was in content. Fast forward to Monday, I went back to my supervisor to ask her what I can do so I don’t end up spending up to what I spent initially for the first work, on getting to her office, she was telling her colleagues that her husband has been gifting her since on Saturday night up until this morning and they are going for a dinner date this evening all because Chelsea won the champions league for the second time.
Her: Then she said why are you here to me?
Me: I said I brought my project
Her: let me see, hope you added image of your production and you referenced properly
Me: yes I did ma
she collected my project work, checked it all and said you are good to go. Go and do your hard cover and burn your soft copy into a disk when coming to submit, then I asked her, “like do you mean I am cleared she said yes”
Tears rolled out of my eyes and I said Chelsea you do this one.
And to my supervisor husband may God continue to bless you, and for choosing this club.
🚨 𝗜𝗡𝗖𝗥𝗘𝗗𝗜𝗕𝗟𝗘: Despite a shove from Moroccan player Adam Masina, Tanzania were not awarded a penalty in the final seconds against Morocco. 🇲🇦😱❌️
The referee refused to go to the VAR monitor and instead handed out yellow cards to the Tanzanian players for protesting. 😳
The result? Tanzania were denied a penalty, lost 1–0 to Morocco, and have been ELIMINATED from AFCON. 🥶