YANGA SC YAANGUKIA PUA CAS
Mahakama ya usuluhishi michezoni imesema haina mamlaka ya kuzuia kupangwa kwa tarehe ya DABI kama ilivyombwa na Yanga SC huku pia ikiitaka mahakama hiyo iipe alama 3 na mabao 3, CAS pia wameitaka Yanga kupeleka kesi ya msingi TFF pia. DABI IPO PALE PALE