Now, ain't nobody tell us it was fair
No love from my daddy, 'cause the coward wasn't there
He passed away and I didn't cry, 'cause my anger
Wouldn't let me feel for a stranger
They say I'm wrong and I'm heartless, but all along
I was lookin' for a father, he was gone
With this lineup how many goals are we winning in this game? And I can't wait to see Andre Onana as he secures a clean sheet today.
Manchester United we are winning. 💪🏿
Kendrick Lamar ana uwezo mkubwa ni mkali kushinda J Cole na Drake
Nawakubali wote ila zaidi ni J Cole napenda life la jamaa peace sana, lakini hata hivyo nnaemsikiliza mara nyingi zaidi kati yao ni Drake.
@DullahTheking2@Malilo_One J Cole mkali sana anakupa madini, uandishi anazingatia Drizzy yeye Ghost writer wake hawazingatii sijui wakupe madini uandishi fulani wa kawaida tu ila bado ni burudani kuzisikiliza hivo hivo jamaa anaua sana😁