#TajiriLaKihaya
TUENDELEE KUCHANGIA.
Lengo ni kufikisha Milioni 334.
M-Pesa
Namba: 0744446969
Jina: CHADEMA HQ
NMB Bank
Namba: 22606600140
Jina: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Hivi mpaka siku hizi bado KABILA la mtu linaakisi tabia ya mtu ? Kwamba mtu fulani tabia yake ni kwasababu ya kabila lake ?
Au tabia ni tabia tu regardless na kabila ? 🤔
Lazima uwe juu ya mke wako na vitu 3
1. UMRI
2. MAARIFA &
3. PESA
Mkeo pia lazima awe juu yako na vitu 5.
1. UVUMILIVU
2. USAFI
3. UPENDO
4. KUPANGA &
5. MAOMBI
Na mnapaswa kuwa sawa kwenye vitu 3
1. MAELEWANO
2. UVUMILIVU &
3. HESHIMA
Hapa Mnaishi Hadi Kufa na Kuzikana !