Ndio utapeli unaofanywa na wanasiasa wa Tanzania, kila kitu ujanja ujanja. Elimu ya juu imegeuzwa kuwa tissue paper, inapangusa upumbavu wa watawala tu.
Chukulia mfano Mwigulu Nchemba. Wakati anafanya PhD pale UDSM 2012 - 2017, alikuwa pia Mbunge anayehudhuria vikao vya Bunge Dodoma, Mjumbe wa Kamati za Bunge za Bajeti, Katibu wa NEC wa Uchumi na Fedha, Mhazini wa CCM, Naibu Waziri wa Fedha, Waziri wa Kilimo, na Waziri wa Mambo ya Ndani.
Chuo Kikuu cha Daresalaam @UDSTOFFICIAL kinatuaminisha kwamba wakati Mwigulu Nchemba anatekeleza majukumu yote haya aliweza pia kupata muda wa kujiandikisha kama mwanafunzi wa PhD full time.
Yani wakati anatekeleza majukumu yote haya, aliweza pia kuhudhuria vipindi vyote na kukamilisha coursework, akapata muda wa kufanya tafiti, kuchapisha makala, kuandika dissertation, halafu kama haitoshi, akamaliza yote haya ndani ya miaka mitano na kutunukiwa PhD.
Unless haufahamu what it takes kufanya PhD, huu ni muujiza wa hali ya juu.
Hata hivyo haishangazi kwa sababu ni UDSM hii hii ailiyompa Samia PhD ya heshima mara baada tu ya kuingia madarakani.
🗣️ Jamie Carragher’s comments spark debate:
“I would like to remind Mo Salah and his agent that before he came to Liverpool, he was a failure at Chelsea and without Liverpool, he hadn’t won any major trophies. He is the greatest player in his country, but he hasn’t won a continental title there. I repeat, Mohamed Salah is a great player, but he plays in a team, he doesn’t play alone!”
Bold words from Jamie Carragher about Mohamed Salah and his time at Liverpool and Chelsea.
Agree or disagree? 🤔
Let the debate begin…
#LFC
#Salah