Huyu Saada Mkuya Salum amekua mbunge na waziri wa fedha huku bara..
Maneno muhimu kutoka kwako:
Unaelekeza mtu akienda hospital akitoa kitambulisho cha Taifa asitibiwe mpaka atoe cha Mzanzibari!!!! Ni mtu gani anaweza kuwa na kitambulisho cha Mtanzania lakini hana cha Mzanzibari?
Bila shaka ni mtu kutoka Tanganyika.
Umesema hatuna uwezo wa kutibu watu milioni 60 ambayo hiyo ni idadi ya Watanzania ambao wengi ni Watanganyika.
Je kuna siku wote wamevuka kuja kutafuta matibabu huko?
1. Saada unaweza kuwambia watu deni la Taifa ambalo kila mwezi tunalipa karibia trilioni moja na kadhaa ni kiasi gani kinatoka kwenye makusanyo ya Zanzibar?
2. Serikali za mitaa sio suala la muungano kwa katiba yetu,
Je unajua kuna wakurugenzi wa halmashauri za miji na majiji wameteueliwa kutoka Zanzibar huku Tanganyika?
Unajua kuna MADC wengi tu wameteueliwa kutoka Zanzibar wako huku bara?
Umefuatilia kwenye idara za madini, utaliii na wizara nyingi ambazo sio za Muungano kuna wakuu wa idara wangapi, wakurugenzi wa idara na maafisa wangapi kutoka Zanzibar?
Unataka Watanganyika wanaoishi huko wabaguliwe na wasipewe matibabu kwasababu ya kukosa kitambulisho cha Mzanzibari hata kama ana matibabu kadi ambayo ni sawa na bima ya afya….
Je Wazanzibari wanaoishi huku Tanganyika na wana bima za afya za NHIF nao wanyimwe matibabu?
Huyu ni waziri wa pili ndani ya mda mfupi kutoa kauli za kibaguzi dhidi ya Watanzania wengine na hakuna kauli yet kutoka kwa aliewateua… Kwahiyo huu ndio msimamo wa ccm na ndio msimamo wa wateuzi wao.
Nani anaewatuma hawa kusema haya? Maana sio bahati mbaya… nani anaewatuma kuwabagua Watanganyika?
‼️🚨HUYU NDO AWADHI JUMA HAJI AMBAE ALITOA ORDER YA ‘SHOOT TO KILL’ OKTOBA 29.‼️
Kwa msiomfahamu Awadhi Juma Haji yeye ni Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Tanzania, yani Operesheni zote ambazo zinafanywa na Jeshi ya Polisi huyu ndo incharge Mkuu bila yeye kuidhinisha hakuna Operation inafanyika, huyu ndo Idd Amin Mama anamuandaa kuwa IGP baada ya Wambura.
Kama mtakumbuka kabla ya Oktoba 29, niliwahi kupost kuhusu uwepo wa Wanajeshi 500 wa Uganda ambao Idd Amin Mama aliwakodi kwa Mseven ili waje kutuuwa Oktoba 29, nikaweka na list ya majina feki ambayo walipewa, vyeo feki pamoja na Mikoa/Miji ambayo walipangiwa kwenda kuuwa Watanganyika siku ya Oktoba 29, 2025.
Sasa huyu Awadhi ndo ambae alikuwa anaratibu safari ya hao Wanajeshi wa Uganda tangu Wanatoka Uganda, wanapita border ya Mutukula huko Kagera mpaka wanafika Dar es salaam, yeye ndo aliwapangia hao Wanajeshi wa Uganda maeneo ya kwenda na walienda huko kabla ya Oktoba 29 so Watanganyika ambao mlikutana na Wauaji ambao walikuwa hawajui kiswahili ndo hao Waganda na aliyewapangia waje huko kwenu ni huyu Awadhi Juma.
Sasa turudi kwenye hoja ya msingi Oktoba 29, baada ya Maandamano kushika kasi kila kona ya Nchi, Serikali haram ya Nduli Idd Amin Mama ilizima mtandao, ikakata umeme sehemu kubwa ya Tanzania then IGP Wambura akatangaza hali ya hatari na kusema kwamba kufikia saa 12 jioni watu wote wawe majumbani kwao kwasababu kuanzia muda huo Jeshi la Polisi na Vyombo vya Ulinzi na Usalama watakuwa barabarani kwa ‘KAZI MAALUM’
Kabla IGP Wambura hajatoa Tangazo lake tayari yeye na Awadhi Juma, Idd Amin Mama alikuwa keshawapa maelekezo ya kuuwa watu na Awadhi alikuwa ameshaweka standby vikosi vyote ambavyo walikuwa wameviandaa kwa ajili ya kuuwa Watu Oktoba 29.
Baada ya IGP Wambura kutoa hilo Tangazo lake haram, Awadhi Juma ndo akatoa order ya SHOOT TO KILL ambapo aliambia vikosi vyao vyote kwamba, kuanzia saa 12 jioni mtu yeyote ambae watamkuta barabani wapigeni risasi, ndipo vikosi vyao viliingia barabarani na kuanza kuuwa kwa risasi kila mtu ambae walimkuta barabarani bila kujali ni nan au anafanya nini, walipomaliza kuuwa watu barabarani wakaingia mpaka kwenye majumba ya watu na kuanza kuwafyatulia risasi.
Kuna Askari wanasema kwamba siku ya Oktoba 29, baada ya kufanya Operation ya kuuwa Watanganyika wenzetu, kuna baadhi ya Polisi waliogopa kuuwa so muda ulivofika wakurudi kwenye “MAKUTANO YAO” kwa ajili ya kujipanga na mashambulizi ya siku ya pili yani Oktoba 30, Awadhi na wasaidizi wake walikuwa wanakagua silaha, Askari ambao ilionekana wametumia risasi chache walipewa adhabu na ambao hawakutumia risasi hata moja wao waliwekwa lockup, walikuja kuachiwa baada ya Nduli Idd Amin Mama kujiapisha
Awadhi na vikosi alivokuwa anaviongoza, walifanya operation ya kuuwa Watanganyika kwa siku tano mfululizo, waliuwa Watanganyika zaidi ya elfu kumi, waliuwa asubuhi, waliuwa mchana, waliuwa usiku bila huruma, walifanya yote hayo kumlinda Nduli Idd Amin Mama ili aendelee kubaki madarakan bila kupigiwa kura na Wananchi.
Ile siku ya Oktoba 29, baada ya vikosi vyao kuuwa Watanganyika wenzetu, walipoona miili ya ndugu zetu imefurika kwenye Hospital zote, waliagiza wahudumu wa afya waliokuwepo zamu siku hiyo wasitoke kazini mpaka siku watakapomaliza operesheni yao na baada ya tangazo hilo kuna wahudumu wa afya walipokonywa simu zao lengo lilikuwa ni kudhibiti taarifa kuhusu majeruhi na idadi ya waliouwawa.
Baada ya miili kufurika kwenye Hospitals mpaka mingine wakakosa pakuiweka, usiku magari ya JWTZ yalikuwa yanapita kwenye Hospital za Serikali na kusomba miili ya ndugu zetu, waliiba maelfu ya miili ya Watanganyika na miili mingi ambayo walikuwa wanaiiba ni ile ambayo waliipiga risasi kichwani na tumboni kisha wakaenda kuizika kwenye Makaburi ya Halaiki kama mizoga.
Machi 2026, Awadhi Juma alifanya ziara ya kutembelea Mikoa yote ya Tanganyika na kuwapongeza maRPC kwa kazi waliyofanya Oktoba 29, yani aliwapongeza kwa kuuwa kwa risasi Watanganyika zaid ya elfu 10.
Naibu Katibu Mkuu Bara wa @ChademaTZ2 Amani Golugwa ameeleza alivyoshangazwa na kauli ya ZCO, Afande Faustin Mafwele mara baada ya kuongea nae na simu juu ya ukamatwaji wa msaidizi wa Tundu Lissu.
The Tanzania 🇹🇿 government is doing everything in its powers to try and launder their image after the October 2025 Massacre after elections.
After paying millions to bring Didier Drogba they are now on former Manchester United star Rio Ferdinand.
African governments frequently use high-profile football stars for sportswashing to divert global attention from human rights abuses, election-related violence, and corruption.
By associating their administrations with beloved sports figures, regimes attempt to launder their reputations using the positive emotions and prestige surrounding the beautiful game.
Rio should not be talking about justice for the hundreds of families that lost their loved one but have never been given their bodies for burial.
Let him make his millions but don't dupe people talking about peace.
There is no peace without justice period.
@soka25east
Hatuwezi kuwa na jeshi la polisi ambalo kazi yake ni pamoja na kufira na kulawiti watu kwa maelekezo ya Mafwele. Huu sio upolisi. Ni usenge! Lazima tuukomeshe!
‼️UKWELI KUHUSU BUYOBE, KWENYE SAKATA LA KUTEKWA MSHABAHA.‼️
Shuka na Thread hadi mwisho👇
Nakumbuka January 15, 2026 Buyobe alinitumia namba yake DM akasema nimchek WhatsApp kuna issue tuongee, nilimchek tukaongea.
Alinielezea jinsi alivotekwa na kikosi cha Mafwele, walimvotesa n.k pia alishukuru kwa jinsi tulivompazia sauti.
Katika maongezi hayo aliniambia kwamba pamoja na kwamba ameachiwa kwa dhamana bado watekaji wa Mafwele wanaendelea kumfuatilia hivyo maisha yake yapo hatarini , nilimwambia achukue tahadhari maana hao watu hawana masihara, akasema anafikiria kuondoka nchini, nikamwambia ni wazo zuri, akaniambia kama kuna Taasisi yoyote ambayo naijua inasaidia watu ambao wanachangamoto kama yake nimuunganishe nayo, nikamwambia hakuna Taasisi yoyote ambayo naijua so tukaishia hapo.
Baada ya siku kadhaa alinipigia simu akaniambia, kwamba yupo mahali nilipo anaomba tuonane, tusalmiane na kufahamiana maana hatujawai kuonana zaidi ya humu mitandaoni, nikamwambia kwasasa siwezi kuonana nae kwasababu za kiusalama, nikamwambia kukiwa shwari nitamtafuta mimi mwenyewe, tukaishia hapo.
Baada ya hapo alimpigia simu @Twaha_Mwaipaya akamuomba waonane, Twaha alinipigia simu kuniuliza kama namfahamu, nilimjibu Mwaipaya kwamba simfahamu zaidi ya kumuona online hivyo Mwaipaya na yeye akamkwepa badae akampigia simu @Sativa255 kumuomba waonane.
Baada ya issue ya Mshabaha kutekwa ndo nikajua kwamba kumbe wakati anawasiliana na mimi kuniambia habari za yeye kuondoka nchini kuna mtu mwingine ambae alimshirikisha huyo mtu ndo alimuunganisha na @lifeofmshaba ili amsaidie kutoka nchini kwasababu alisema vijana wa Mafwele walikuwa bado wanamuwinda.
Alifika Nairobi akapokelewa na @lifeofmshaba na kupelekwa mahali pa kuishi, muda wote alikuwa akidai kwamba anaumwa shingo, kichwa na miguu lakini pia alimwambia Mshabaha vitisho vya Mafwele kusema kwamba atamfira + kuonana na watekaji live ni vitu vilimuumiza sana kisaikolojia hivyo alitafutiwa Mwanasaikolojia lakin alipoambiwa aende Hospital kufanya checkup ili wajue Polisi wamemuumiza kwa kiwango gani ili apatiwe matibabu alikataa.
Muda wote wakati Buyobe yupo Nairobi. Mshabaha alikuwa anakwenda kwake kumjulia hali kutokana na madai ya changamoto yake ya afya alokuwa nayo.
Siku ya tatu, Buyobe alimpigia simu Mshabaha akamjulisha kwamba, nyumban kwake kuna mgeni ambae na yeye kalazimika kukimbia Tanzania kwasababu Mafwele anataka kumuua akaenda mbali zaidi akamdanganya kuwa mgeni huyo ni Mwanachama wa CHADEMA wakati si Mwanachama wa Chadema.
Mshabaha alifika mahali alipokuwa anaishi Buyobe akamkutana huyo mgeni ambae Buyobe alimtambulisha kuwa anaitwa Aidan Msuya ni rafiki ake wa miaka mingi.
Buyobe alimdanganya Mshabaha kwamba Msuya alikuwa Diwani wa Chadema wa Ubungo huku akijua fika kwamba Msuya hajawai kuwa Diwani.
Mshabaha alimuliza ndani ya CHADEMA anamfahamu nani Buyobe akasema @ExMayorUbungo na Hilda Newton japo kwasasa Msuya hana mahusiano mazuri na Bony.
Ili Mshabaha amuamini zaidi Msuya, Buyobe akamdanganya Mshabaha kwamba Msuya ni boyfriend wa Hilda Newton wakati huo anajua fika kwamba mimi na Msuya hatufahamiani kabisa.
Mshabaha alimwambia kama anamahusiano na Hilda mpigie simu, Msuya akasema hapana itamletea shida, maana amekuja hajajipanga Mafwele amefunga account zake zote za Bank na kama girlfriend wake, akijua yupo Nairobi na akashindwa kumuhudumia itakuwa aibu sana kwake, haya ni maswali walikuwa wanajibu Buyobe na Msuya kwa pamoja na kwasababu walijua wanasema uwongo, wakamuomba Mshabaha asiniambie chochote so Mshabaha akakausha.
Huo ndo ukawa mwanzo wa Mshabaha kumfahamu Msuya ikawa kila akienda kumuona Buyobe anamkuta Msuya kuna wakati walikuwa wanaenda kula pamoja, Mshabaha hakuwa na wasiwasi na Msuya kwasababu ya Utambulisho ambao alipewa na Buyobe, aliamini ni mtu Genuine.
Buyobe akatoa wazo wapate gari maana na hali yake ya kiafya na usalama ni muhimu wakawa na gari, mara wazo likawa linafanyiwa kazi na Msuya.
Part 2 inaendelea hapa 👇
‼️IKITOKEA NIMETEKWA/KUPOTEZWA AU KUUWAWA, KINGAI NDO ATAKUWA MUHUSIKA NO. 1‼️
Nimepewa taarifa kwamba Mkurugenzi wa Upepelezi wa Makosa ya jinai nchini (DCI) Ramadhan Kingai ametuma Team ya maofisa wa Polisi wanitafute popote nilipo, wanifikishe kwake nikiwa hai au maiti,
Kingai anadai nimedharau na kukejeli wito wa Jeshi la Polisi ambao waliutoa siku kadhaa zilizopita.
Team hiyo aliyoituma inaongozwa na ofisa wa Polisi Kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Dodoma jina lake ni Edward Pius Soteli wengine ni
1. Detective Juma Sadick Bahat, huyu Katolewa ofisi ya RPC wa Mtwara,
2. Detective David Edward Mabula huyu katolewa ofisi ya RPC wa Ruvuma.
3. Detective Eliud Peter Kivuyo, huyu katolewa ofisi ya RPC wa Iringa
4. Detective Ally Jamal Mganzo huyu katolewa ofisi ya RPC wa Kigoma
5. Detective David Sailevo Lukumay, huyu Katolewa ofisi ya RPC wa Tabora.
Serikali haram iko na mambo ya hovyo sana yani pesa kwa ajili ya kufanya maendeleo hakuna lakin pesa za kulipa watu ili watutafute na kututeka zipo za kutosha.🚮
Sio haya tu, Chadema imefanyiwa maovu mengi mno..
Watu wetu wameuwawa, wametekwa na kupotezwa, tumeporwa ushindi wetu halali na mengine mengi.
Mpaka Sasa Mwenyekiti wetu yuko gerezani sio kwasababu ana kosa, bali uonevu.
Mauaji ya makusudi, yaliyofanywa kwa Watanzania na watu wanaopaswa kuwalinda…
Baadae wanatumia tume ya Chande kama dekio la kuwasafisha, kuficha uchafu na uozo huu hautakubalika…
Dunia inajua na inafuatilia, lazima haki itendeke.
Tume huru ya kuchunguza na kubaini ukweli.