March 31, 2025
MUHAS @muhimbiliuniver hosted a delegation from Mie University, Japan, led by their President Prof Masaki Ito.The meeting reinforced our strong partnership and explored:
โ Graduate & Postdoc Opportunities
โ Faculty Exchange Programs
โ Joint Research
Eid Mubarak
Tafiti iliyofanyika wilaya ya Ilala na Kinondoni ikihusisha watoto 1,083 (2-5 years), imeonesha uwepo mkubwa wa watoto wenye presha ya juu. Miongoni mwa kisababishi kikubwa cha presha kwa watoto hao ni unene uliopitiliza.
Wazazi na jamii tuchukue hatua.
Prof. Mohamed Janabi is a visionary leader with a proven track record in advancing healthcare systems.
His expertise in healthcare , innovation, and policy makes him the ideal candidate for WHO AFRO DG. Letโs champion a healthier Africa with strong leadership! #Janabi4WHOAFRO
Shirika la Afya Duniani @WHO limetangaza kupokea majina ya wagombea watano (5) wa nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo kwa Kanda ya Afrika akiwemo pia Prof. Mohamed Janabi @moddyyakubu ambaye anaiwakilisha Tanzania.
Katika taarifa iliyochapishwa kwenye tovuti ya WHO Machi 14, 2025 inaeleza kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo Duniani @DrTedros amepokea majina ya wagombea hao kutoka nchi wanachama wa WHO Kanda ya Afrika.
Prof. @moddyyakubu atachuana na Dkt N'da Konan Michel Yao kutoka Cรดte d'Ivoire, Dkt. Dramรฉ Mohammed Lamine kutoka Guinea, Dkt. Boureima Hama Sambo kutoka Niger pamoja na Prof. Mijiyawa Moustafa kutoka Togo.
@WHO itaendesha tena uchaguzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Kanda ya Afrika hivi karibuni, kufuatia kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi Mteule wa Shirika hilo Dkt. Faustine Ndungulile kilichotokea Novemba 27, 2024.
Fuatilia kurasa zetu kwa habari zaidi za uchaguzi huu.
I endorse Prof Janabi @moddyyakubu in his pursuit as a our WHO Africa candidate, having worked closely with him I have confidence in him that he is ideal for the post.
His public health engagement skills and approaches will help to achieve goals.
I am proudly endorsing an excellent candidate for the WHO Regional Director - Africa.
His commitment, dedication and priorities will make Afica healthier.
Vote for Healthier Africa.
It is with great honor and confidence that I endorse Professor Janabi for the position of WHO Africa Regional Director. Professor Janabi has demonstrated exceptional leadership, vision, and dedication to advancing healthcare in Africa and beyond.#janabi4whoafro@WHOAFRO@Jaku
Today, I with Prof. Mohamed Janabi had the privilege of visiting the The Global Fund Headquarters in Geneva, Switzerland, to discuss a range of issues including their ongoing support for health system strengthening in East Central and Southern Africa Health Community.
Last week, we had a farewell event for elective students from Dartmouth, USA, who had completed their time. It was a great opportunity to have fun together.
@RashidGosse@DavidMuhunzi@amour_maryam@MUHAS_Alumni