Mama amka!! Mama amka!!!
Leo imetimia miezi 9 tangu yafanyike Mauaji ya halaiki yaliyofanywa kwa amri ya Samia.
Mpaka leo hakuna haki wala uwajibikaji dhidi ya MAUAJI ya RAIA.
TANZANIA’S BAN ON ALL POLITICAL RALLIES SPARKS BACKLASH
Tanzanian activists and opposition leaders have condemned the country's ban on political rallies, citing what they describe as growing repression just days before planned protests over last year's contested election. https://t.co/XAOoWVnfyE
YUPO WAPI NKINDIKWA - KIJANA MZALENDO⁉️
Kwenye picha ya pamoja, kushoto ni Bwana David Nkindikwa (Maarufu kama Kijana Mzalendo) ametekwa na hajulikani alipo, katika ni Mhe. Tundu Lissu ambaye mpaka sasa yupo gerezani akisubiri hatima ya kesi ya mchongo ya uhaini, na kulia ni Baba Askofu Mwanamapinduzi ambaye yupo uhamishoni kwa kutaka kuuwawa.
David Nkindikwa, maarufu kama Kijana Mzalendo, anaripotiwa kutoweka tangu katikati ya wiki iliyopita akiwa maeneo ya nyumbani kwake Kibaha mkoa wa Pwani. Kwa mujibu wa ndugu zake, jitihada za kumtafuta katika vituo mbalimbali vya polisi mkoani Pwani hadi sasa hazijatoa majibu kuhusu alipo.
Maswali yanazidi kuongezeka Yuko wapi David Nkindikwa? Nani atawapa familia yake majibu?
Bado tunakataa vitendo vya utekaji na uuwaji kwa Watanganyika. Tunataka uwajibikaji na kuheshimu haki za binadamu.
Tanzania bila utekaji, inawezekana!!
#YukoWapiNkindikwa #HakiKwaWote #UtawalaWaSheria
Politics is knowledge; it’s a science of managing society. …. How can you be a politician of something you don’t understand? …. If you fail to manage one branch, how can you think that managing a whole country is in your musayi (blood) - @KagutaMuseveni#BakozeBatya?
LHRC imemtaka "Waziri" Katambi AFUTE AGIZO LAKE LA KATAZO LA MIKUTANO YA HADHARA YA VYAMA VYA SIASA, kwasababu HALINA MSINGI WA KISHERIA NA LINAVUNJA KATIBA. Vinginevyo, Watafungua Kesi Mahakamani KUTAFUTA UFUMBUZI WA KISHERIA WA KIMAHAKAMA. https://t.co/USiBA0AT1G
This video is heartbreaking 💔
A woman in Tunduma at the CHADEMA rally recounts how her son was brutally shot and killed and the police left with his body! She is has not been able to bury him and is still grieving
Thousands have been killed and buried in secret mass graves! We need an international independent investigation and #SamiaMustGo
@UN_HRC@WorldBankAfrica@IMFAfrica@SenateForeign@SFRCdems@SenTedCruz@SenatorShaheen@Europarl_EN@EU_Commission@davidmcallister
Inaumiza sana sana 😭 msiba usioisha ndo maana 7/7 lazima kila mtu atoke hasa waliopatwa na msiba usioisha! Mnatakiwa wote kumlaani Samia Suluhu na kumwambia aondoke! Miili ya wapendwa waliouwawa irudishwe
Hakuna kuridhiana bila masharti haya!
TUNAENDELEA KUWADAI NDUGU ZETU HATUTOKI HAPA BILA WAO?
Musa alimwambia Mungu. KUTOKA 33:15:Kama wewe mwenyewe hutoenda pamoja nasi ,usituondoe hapa
Ninashauri watanganyika tusikubali kutoka hapa na kwenda kwenye agenda nyingine bila Ukweli,Haki na Uwajibikaji kuwekwa hadharani.
Ukiona mtu yeyote anakuita kwenye maridhiano bila Ukweli,Haki na Uwajibikaji jua anajiqndaa kukuuwa tena.
Tafsiri.
WE WILL NOT MOVE ON WITHOUT THEM.
Moses said to God:
"If Your Presence does not go with us, do not send us up from here." Exodus 33:15
In the same spirit, I urge my fellow Tanganyikans of sound mind and conscience.
Let us refuse to be diverted to other agendas before the truth is revealed, justice is served, and accountability is established.
If anyone invites you to reconciliation without truth, justice, and accountability, understand that they may simply be preparing the ground for the same abuses to be repeated.
Genuine reconciliation cannot exist where the truth is concealed, injustice is tolerated, and those responsible are shielded from accountability.
There can be no lasting peace without truth, no meaningful reconciliation without justice, and no sustainable future without accountability.
BAK MWABUKUSI.
You cannot be a Proverbs 31 woman if you don’t have a relationship with God first.
The heart of Proverbs 31 is not merely that she is productive, but that she fears God. Her wisdom, love, diligence, generosity, and strength all flow from her relationship with the Lord.
You cannot be a Proverbs 31 woman if you don’t have a relationship with God first.
The heart of Proverbs 31 is not merely that she is productive, but that she fears God. Her wisdom, love, diligence, generosity, and strength all flow from her relationship with the Lord.
Witness a miraculous spine healing during our meetings in Ghana.
There’s no distance in the Spirit.
What God did in Ghana, He can do wherever you are. Reach out in faith and believe Him for your miracle today.
What is the Gospel?
The Gospel is the greatest news ever given to mankind: Jesus Christ came, died for our sins, was buried, and rose again on the third day so that we could be forgiven, redeemed, and have eternal life.
FOR OUR NATION TO HEAL, FIVE FUNDAMENTAL MEASURES ARE NECESSARY:
1. The establishment of a Truth, Justice, and Accountability Commission to investigate and address incidents of killings, enforced disappearances, and the discovery of unidentified bodies occurring before, during, and after the elections.
2. The unconditional release of all detainees and political prisoners, including the immediate release of Advocate Tundu Antipas Lissu.
3. The revival of the Constitutional Review legal framework and the adoption of a clear roadmap for the constitution-making process, commencing from the stage reached by the Constitutional Review Commission.
4. The authorization of an independent international investigation into all alleged violations of human rights and civil liberties, with a view to establishing the truth and ensuring accountability in accordance with international legal standards.
5. A Collective national commitment by all citizens to reject corruption, fear, intimidation, and complacency, and to place the interests of the nation above personal, partisan, or sectional interests.
TRUTH, JUSTICE, AND ACCOUNTABILITY ARE THE FOUNDATIONS UPON WHICH OUR NATION CAN HEAL AND RECONCILE.
Boniface A. K. Mwabukusi
I am grateful that since the mass killings of October 29, not a single day has passed without people speaking about them. In this, Tanzanians have honored the memory of our brothers and sisters.