INSECURITY TANZANIA
This young man James Temba from Tabata Dar es Salaam disappeared in suspicious circumstances
His body was discovered headless in a river - and we don’t expect any meaningful investigation!
Police have remained unhelpful while abductions continue under.
#EnforcedDisappearance #Tanzania @SuluhuSamia
Cc @WGEID@volker_turk@UN_HRC
Mwenyekiti wetu alisema haya miaka 12 iliyopita, kama kawaida ya watawala dhalimu wakapuuza ushauri wa mtu mwema huyu.
Ccm wanakwenda kuingiza Nchi yetu shimoni, Watanzania tunapaswa kuungana kuokoa Nchi hii.
Hakuna maridhiano baada ya uchaguzi
Maridhiano ni kabla ya uchaguzi, baada ya uchaguzi ni uwajibikaji
-Humphrey Polepole alitoa huu ujumbe wa mwisho masaa machache kabla ya kutekwa!
Na sisi tunashikilia hapohapo!
#FreePolepole#SamiaMustGo
Huyu jamaa alipigwa risasi ya shingo Oktoba 29 ila Mungu alimsaidia akapona.
Ukimskiliza vizuri utagundua kwamba alipopelekwa Hospital ya awali hakupatiwa huduma mpaka yeye mwenyewe alipoomba kupelekwa Mount Meru.
Huu ni ushaidi mwingine kwamba kuna ndugu zetu wengi sana walikufa kwa kukosa huduma baada ya kupigwa risasi Oktoba 29.
#TanzaniaMassacre #SamiaMustGo