Jumatatu ya baraka na shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa kuwasili Mwanza salama, tayari kwa mkutano na wananchi hapo kesho, ambapo tutahitimisha Kampeni za Uchaguzi Mkuu.
I am deeply saddened to learn of the passing of the former President of the Federal Republic of Nigeria, His Excellency Muhammadu Buhari.
On behalf of the Government and the people of the United Republic of Tanzania, I convey our heartfelt condolences to His Excellency, Bola Ahmed Tinubu, President of the Federal Republic of Nigeria, President Buhariβs family and the people of Nigeria.
May his soul Rest In Peace.
@fatma_karume Shida ya Pole Pole sio Haki ooh utawala wa sheria, ooh uwajibikaji, Never..Shida ya Polepole ni Samia Suluhu Hassan, na kila mtu mwenye akili analijua hilo, ni vizuri lakini ameamua kutoendelea kumnafikia Rais
@Eric__Bernard Posts kama hizi za kulinganisha thamani ya fedha za hapa East Africa huwa zinachekesha mnoo. Watu hawaelewi 500 ya Kenya ni buku 10 ya TZ ila purchasing power ya hiyo hela ni hiyo hiyo, utofauti upo kwenye digits tuu..elimu ya kawaida mnoo ya uchumi
Ninawashukuru sana Simiyu.
Mwenyezi Mungu awajaalie baraka na neema, mwendelee kuyaona na kunufaika na matunda ya kazi za uongozi wa nchi yenu.
Ahsanteni sana.
Nimehudhuria Ziara zote na mikutano yote ya Kanda ya Ziwa nimejiridhisha pasipo na shakaa. Hakunaa Mwanasiasa Mwenye Mvuto Tanzania zaidi ya Rais @SuluhuSamia Hakuna. Nimeona Maelfu ya Watu wakiwa wanajipanga njiani kumpokeaa haijapata Tokea. October Tuna tiki β
πΉπΏβ¨ OCTOBER WE VOTE β β β A WISE DECISION FOR THE FUTURE OF OUR NATION!
At every major turning point in a nationβs development, there comes a moment when the people stand united with one voice π£οΈβand that moment is NOW!
π October 2025 is not just a day for noise on social media β it is a day for rightful, democratic, and constitutional decisions for our country. According to Article 74(1) and the new Independent Electoral Commission Act (2024) π³οΈ, every Tanzanian has the freedom to vote fairly, without coercion, and without propaganda!
π₯ Reforms have been implemented, the system has been improved, the Commission is independent, the election is free!
π₯ OCTOBER WE VOTE!
πΉπΏ Under the leadership of President Dr. Samia Suluhu Hassan, we have witnessed:
π Growth in the National Economy
π° Student loans for higher education reaching Tsh 2.76 trillion
π₯ Construction of hospitals, dispensaries, and health centers across the country
π Development of the SGR railway, the Julius Nyerere Dam, and modern infrastructure
π An increase in international investors
ππ½ These are not just words β they are visible, tangible developments!
And now itβs our turn to sustain them with our votes!
βΈ»
π£οΈ A CALL TO YOUTH AND ALL TANZANIANS:
Let us not be misled by noise on social media π΅
Letβs stand together in true unity π€
Letβs keep building a new Tanzania through the right democratic choices β
@SamataJr_12 Hii biashara yenu ngumu Ndugu. Nipo kwenye ABC ya Iringa tupo abiria 14 tuu. Dar-Iringa mtu 14, hii biashara ya kidwanzi sana πππ