Artist Development Strategy
Week 1: Brand identity
Week 2: Vocal/performance training
Week 3: Songwriting and sound direction
Week 4: Studio recording
Week 5: Photoshoot and styling
Week 6: EPK creation
Week 7: Social media strategy
Week 8: Live rehearsal
Week 9: Content creation
Week 10: Release planning
Week 11: Media/radio/blog pitching
Week 12: Live showcase
Bloating, stomach gas, noisy stomach and itchy anus. Nobody talks about these together. But they are all telling you the exact same thing about what is happening inside your gut .
Mwandishi wa habari na mwandishi wa vitabu kutoka Nigeria, @DavidHundeyin amesema documentary yake mpya inayoitwa What Happened on October 29 imelenga kuonesha namna maslahi na ushawishi wa mataifa ya nje yanavyoweza kuathiri mchakato wa kisiasa katika nchi za Afrika.
Hundeyin alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam baada ya uzinduzi wa documentary hiyo uliofanyika Juni 4, 2026.
Alisema kazi hiyo haikulenga Watanzania pekee, bali hadhira pana ya Waafrika na jamii ya kimataifa inayofuatilia masuala ya kisiasa barani humo.
“Lengo la documentary hii ni kueleza hadithi ambayo naamini ilihitaji kusimuliwa. Mara nyingi tunapoona matukio ya kisiasa yakitokea katika nchi zetu, tunadhani yanasababishwa na sababu za ndani pekee. Lakini mara nyingi kuna nguvu za nje ambazo hazionekani wazi, lakini zina ushawishi mkubwa katika matukio hayo,” alisema Hundeyin.
Kwa mujibu wake, documentary hiyo inalenga kuwasaidia Waafrika kutambua dalili za ushawishi wa nje katika siasa za nchi zao ili waweze kuelewa vizuri matukio yanayotokea sasa na yatakayojitokeza baadaye.
Hundeyin alisema alichokiona Tanzania kinafanana na kile alichokiita “wakati wa Oktoba 29” ambao Nigeria ilipitia mwaka 2015.
“Nilitoka Nigeria, na sisi tulikuwa na tukio letu la Oktoba 29 mwaka 2015. Wakati huo hatukuelewa tulichokuwa tunakabiliana nacho, na hadi leo Nigeria haijawahi kurejea ilivyokuwa kabla ya kipindi hicho,” alisema.
Alifafanua kuwa documentary hiyo haikujikita zaidi katika matukio yaliyotokea siku ya Oktoba 29 yenyewe, bali ilichunguza mazingira na matukio yaliyotangulia na kuchangia kufikia siku hiyo.
Kwa mujibu wake, simulizi nyingi zilizotolewa na vyombo vya habari vya kimataifa zilieleza tukio hilo kwa mtazamo rahisi wa mgongano kati ya serikali na upinzani, huku zikiacha maelezo muhimu ya muktadha wa kisiasa.
“Vyombo vya habari vya kimataifa vilitoa simulizi la upande mmoja ambalo liliacha taarifa muhimu. Tulitaka kuonyesha kwamba hadithi hiyo ilikuwa na vipengele vingi zaidi kuliko ilivyoelezwa kwa umma wa kimataifa,” alisema.
Hundeyin alisema documentary hiyo pia ilichunguza kile alichodai kuwa ni ushiriki wa taasisi na wafadhili wa kimataifa katika mazingira yaliyopelekea matukio ya Oktoba 29.
Alitaja baadhi ya watu na mashirika ambayo, kwa mujibu wa utafiti wa timu yake, yalihusishwa na ufadhili au shughuli mbalimbali kabla ya matukio hayo kutokea.
Hata hivyo, alisisitiza kuwa documentary hiyo haikusudiwi kuwa kumbukumbu kamili ya kila jambo lililotokea Tanzania mwaka jana, bali ni uchambuzi unaolenga kuibua mjadala kuhusu nafasi ya ushawishi wa nje katika siasa za Afrika.
“Sisi tunaipenda Tanzania lakini si Watanzania. Hatuwezi kuisimulia hadithi ya Tanzania vizuri zaidi kuliko Watanzania wenyewe. Tunachofanya ni kutumia yaliyotokea Tanzania kama mfano wa kuonyesha jinsi maslahi ya nje yanavyoweza kuathiri siasa za nchi za Afrika,” alisema.
Aliongeza kuwa Afrika ni eneo lenye umuhimu mkubwa wa kijiografia na kisiasa duniani, jambo ambalo limeifanya bara hilo kuwa kitovu cha maslahi ya mataifa mbalimbali ya nje.
“Ukweli ambao documentary hii inajaribu kuonyesha ni kwamba mara nyingi nyuma ya vichwa vya habari vinavyoonekana kuna simulizi kubwa zaidi kuhusu nani anashawishi matukio hayo na kwa maslahi gani,” alisema.
Documentary ya What Happened on October 29 imezua mjadala mpana tangu kuzinduliwa kwake, huku wadau mbalimbali wa siasa na vyombo vya habari wakitarajiwa kuendelea kuijadili katika siku zijazo.
The Vikings were known for invading and conquering kingdoms, taking their gold, jewels, lands, and even their women. Yet today, Norwegians proudly celebrate their Viking heritage.
Meanwhile, some of you are so eager to throw your own traditions and cultural identity under the bus because women are not allowed to break kola nuts.
Ndị ala😂
There Was Nothing Democratic About The Colonial System – Chinua Achebe
In this interview with American journalist Bill Moyers (1934 – 2025), aired on September 29, 1988, renowned Nigerian author Chinua Achebe (1930 – 2013) aptly exposes a clear contradiction between the West’s criticisms of the state of democracy in Africa, and the notably undemocratic colonial system with which it ruled over the continent with an iron fist for over 400 years.
Achebe’s words remain relevant today, as the West continues to endlessly lecture Africans about “democracy” and “human rights”, while trampling on the human rights of its own citizens, and funding g*nocidal regimes across the globe.
The Empire That Divided Africa Is Still Drawing Lines
America has once again shown us that democracy is only sacred when it protects white power.
Republicans in Louisiana have redrawn the state’s congressional map, reducing Black-majority districts from two to one and effectively weakening Black voting power. They call the old map gerrymandering, but the new one is, too. The only difference is that this version benefits white voters, so suddenly, it becomes acceptable.
This is not new. This is the same playbook the empire used in Africa. Draw artificial borders. Break people apart. Turn majorities into minorities. Fracture unity. Make movement and trade difficult for Africans, while the same people who drew those borders move freely across the continent. Whether in Louisiana or in Africa, the empire understands the power of a united people. That is why it works so hard to divide us.
Africa Is One Market, But Not for Africans
Africa has been treated as one big market for foreign goods, but Africans have been discouraged from treating Africa as one market for ourselves. The same people who tell us continental trade is too complicated have no problem moving their own products across our borders.
They want access to Africa’s market, but they do not want Africa to trade freely with itself. Because an Africa that trades with itself is an Africa that becomes stronger, more independent, and less dependent on foreign imports.
So when you see foreign products everywhere across the continent, while African products remain trapped inside their own countries, understand what you are looking at. Dependency by design.
As linked as Israel is to USA, IDF still banned their top military from using Android phones.
Their top military use phones without cameras built in, others block the cameras to prevent social engineering attacks, malware infections, and espionage.
But Nigerian security rely on Western tech like WhatsApp n Gmail for supposedly "secure communication" lol
Same regular phones they use for everyday activities, same phones they use for command n for classified info
Their Walkie Talkie is made in USA.
(Hard to not suspect they have backdoors)
Woo, Palantir is here to "help"
Our survival instinct sucks😭😭
After the helicopter crash that killed some of his cabinet members, 🇬🇭 Ghana's president became 110% obedient to the imperial core
He now signs anything presented to him by the West.
The only significant change he's made so far was replacing the old flat 5% royalty with market price-linked system of up to 12% when gold price exceed $4500.
On the surface you'll think this is a good thing but in reality, nothing changed. Just U.S (BlackRock) using him to target China. Since China now has more gold than USA, they want to make sure China doesn't raise the price of Gold beyond $4500.
As long as there's no overhauling of the system that services n maintains the imperial engine, no significant change will be achieved.
Best Obi will do is negotiate with U.S to reduce insecurity in his tenure (which will take giving up a lot of resources btw), touch a few projects here n there but we still remain subdued n resources extraction ground for Western Capitalists.
No! I am not giving him the benefit of doubt cos his wealth is stashed abroad.
Earlier today in Oyster Bay, Dar es Salaam, Joshua Maponga and I addressed a press conference concerning yesterday's Tanzania premiere of 'What Happened On October 29'.
Our message to the African press was simple - learn to be unapologetic about pursuing your African interests like everyone else is about theirs so, and stop eating out of the hands of CNN, BBC, DW, Al-Jazeera and their many friends across the western media landscape.
They are not your friends, their interests do not match with yours, they are not better journalists than you are, and they can never be better at telling your own story than you are!
If you're in Nairobi on Saturday June 6 and you'd like to receive an invitation to attend the Nairobi premiere of 'What Happened On October 29' which is the final premiere before the film's general release, you can register here:
https://t.co/hOgDnpiNfo
For some people, freedom means doing whatever they want.
For others, it means having enough money to stop worrying.
Still for others, freedom means waking up without fear... speaking without pretending... having control over your time, your mind, and your direction.
Many people are free on paper but trapped by doubt, debt, addiction, approval, or circumstances.
Our definition of freedom is different because freedom is not just the absence of chains.
It is the presence of peace.
So...
At the end of the day, we are all searching for the same thing… a mind that rests, a heart that is settled, and a life that feels accomplished.
#Freedom.