1) Women don’t raise children , they don’t have the capacity to .
2) father figure is so important in the life of any child.
3) any man raised by a single mother, is a threat to the society.
Watch this video below and understand 👇
Jana nilipata wasaa wakukaa na MZEE wangu mmoja, akanipa shule ya maisha especially ya ndoa na namna ambavyo ni UTUME
Key take aways:
1. Tupo kwa ajili ya WAKE zetu na sio kwa ajili yetu
2. Law and order ya familia ni Mungu, Mke/Mume, Watoto then Kazi
3. Uhuru wako ni uhuru wake
4. Mavituzi si kwa ajili ya mume bali ya mke wako… ufanye sababu yake na si sababu yako
5. Watoto ni wajibu na ni lazima uwe na wajibu kwa watoto hao
Akakazia yafuatayo
1. Vijana wa sasa tumeflip law and order ya familia sasa ni Kazi, watoto, Mke/Mume then Mungu
2. Uhuru wetu sio wao na hivyo ni kasheshe
3. Lazima iwe furaha ya mke wako kabla ya yakwako, yani Happy wife happy life.
4. Tupange uzazi na hatuzai sababu yetu au tamaa zetu bali kwa matwaka na mapenzi yake Mungu
Hii ilikua ni post discussion ya Kikao cha wanaume na namna ambavyo mafundisho ya siku hizi yapo.
We move regardless. By the way nilmchapa rate 10/10 He is deep.
Nobody stole your girl, bro. Understand that.
She chose him over you accept that.
Forgive your ex.
Forgive the new guy he’s not your enemy.
Heal now, level up, and move on.
Grudges weigh you down. Remove hate from your life NOOOOOW.
Nawashangaa sana vijana wanashupaza shingo kwamba betting ni kazi, vijana acheni ujinga huo fanyeni kazi zinazoeleweka hata kama kipato ni kidogo acheni tamaa ya kuwaza vitu vikubwa matokeo yake ndio kama hayo unajikuta hata hicho kidogo ulichonacho unakipoteza.