Hongera @fistonmayele9 kwa kufunga bao lake la kwanza kwenye Fainali za Kombe la Dunia. Ameandika historia kwa kuwa mchezaji wa kwanza kuwahi kucheza Klabu yetu na Ligi Kuu Tanzania kufunga bao katika Fainali za Kombe la Dunia. 👏💛💚
#TimuYaWananchi#DaimaMbeleNyumaMwiko
Historical World Cup for African teams. 🌍✊🏿
✅🇿🇦 South Africa
✅🇨🇻 Cape Verde
✅🇨🇮 Ivory Coast
✅🇲🇦 Morocco
✅🇸🇳 Senegal
✅🇬🇭 Ghana
✅🇪🇬 Egypt
✅🇨🇩 RD Congo
✅🇩🇿 Algeria
❌🇹🇳 Tunisia
9️⃣/🔟 teams have qualified to World Cup Round of 32 👏🏾✨
Tanzania have reached the AFCON last 16 for the first time in their history despite not winning a single group game 😮
They are still yet to record their first-ever AFCON win, having now played 12 matches in the competition.
Mahakama ya Rufaa ya Tanzania leo imeagiza Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuta vifungu vinne vya sheria vilivyokuwa vikiweka vikwazo mashauri ya kikatiba yenye maslahi ya umma.
Mwaka 2020 bunge lilifanya merekebisho ya sheria mbalimbali pamoja na zile utekelezaji wa Haki za msingi na wajibu (sura ya 3) kwa kuongeza vifungu vya 4(2), 4(3), 4(4), na 4(5). Vifungu hivyo ni mwiba kwa mashauri yenye maslahi ya umma ambayo vilikuwa vilazimisha muambajio awe na muathirika wa moja kwa moja na jambo liliomfanya afungue shauri pia mashauri yote yanayowahusu viongozi wakuu kama vile Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mku, Spika, Naibu Spika wa Bunge na Jaji Mkuu, yafunguliwe dhidi ya Mwanasheria Mkuu na sio kuwahusisha viongozi hao.
Uamuzi huo umesomwa jana tarehe 13 Juni 2025, na Joseph Fovo, Naibu Msajili wa mahakama hiyo ambaye aliusoma kwa njia ya mtandao.
Uamuzi huo uliobatilisha vifungo vyote vinne vilivyolalamikiwa aliyefungua shauri hilo Wakili Onesmo Olengurumwa, mwanaharakati wa haki za binadamu dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Rufaa hiyo Na. 134 ya Mwaka 2022 iliyosikiliza mbele ya jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa: Jaji Rehema Levira, Jaji Wilfred Rumanyika na Jaji Gerald Ngwembe. Wakili Olengurumwa aliwakilishwa na jopo la mawakili maarufu likiongozwa na Prof. Issa Shivji pamoja na Dk. Rugemeleza Nshala, Mpale Mpoki na Wakili John Seka.
Uamuzi huo ulisema kuwa:- Kifungu cha 4(2) kinavunja dhana ya mashauri ya maslahi kwa umma kwa kuhitaji waathirika binafsi pekee, hali inayokinzana na Ibara ya 26(2) ya Katiba.
Kifungu cha 4(3) ni batili kwa kuwa kinachanganya masharti ya Ibara ya 30(3) (maslahi binafsi) na haki za maslahi kwa umma zinazolindwa chini ya Ibara ya 26(2).
Kifungu cha 4(4) ni batili kwa kuwa Mwanasheria Mkuu hana mamlaka ya kikatiba kuwakilisha mihimili mingine, hasa Mahakama au viongozi wa kisiasa walio huru kikatiba kama Jaji Mkuu.
Kifungu cha 4(5) pia ni batili kwa kuwa hakuna sheria nyingine zinazotoa nafuu ya moja kwa moja kwa mashauri ya maslahi ya umma.
KIlicholalamikiwa awali
Kifungu cha 4(2): Kilihitaji mtu anayetaka kufungua kesi ya kikatiba kuambatanisha kiapo kinachoeleza namna alivyoathirika binafsi na ukiukwaji huo.
Kifungu cha 4(3): Kiliongeza kizuizi kwa mashauri ya maslahi ya umma kwa kutaka mlalamikaji aonyeshe maslahi binafsi sawa na Ibara ya 30(3) ya Katiba.
Kifungu cha 4(4): Kiliweka sharti kuwa kesi dhidi ya viongozi waandamizi serikalini – Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika, Naibu Spika na Jaji Mkuu – zifunguliwe dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali badala ya wahusika hao moja kwa moja.
Kifungu cha 4(5): Kilimtaka mtu anayepanga kufungua kesi kutafuta kwanza nafuu kupitia sheria nyingine zilizopo kabla ya kufungua kesi chini ya Sheria ya Utekelezaji wa Haki za Msingi.
Awali, Mahakama Kuu ya Tanzania iliitupilia mbali kesi hiyo mnamo Februari 15, 2022, kwa maelezo kuwa vifungu hivyo havivunji Katiba wala mikataba ya kimataifa ya haki za binadamu. Mahakama Kuu ilisisitiza kuwa vifungu hivyo vinakamilisha Ibara ya 26(2) na 30(3) ya Katiba, na vinaakisi misingi ya utawala wa sheria, mgawanyo wa madaraka, na mfumo wa kimataifa wa haki.
Hata hivyo, Wakili Olengurumwa hakuridhika na uamuzi huo na kukata rufaa Mahakama ya Rufaa mwaka huo huo wa 2022.
Profes Issa Shivji Mwanazuoni mkongwe nchini Tanzania ambaye pia ni mmoja wa mawakili waliomwakilisha Olengurumwa kwenye shauri hilo amesema kuwa uamuzi huo ni umetoa faraja kwenye duru za haki “ni uamuzi wa kijasiri imepita takibani miaka 10 mahakama haijawahi kufanya uamuzi kama huu.”
Nikola Jokic this playoffs:
1st in points
1st in rebounds
1st in assists
1st in steals
1st in stocks
1st in double-doubles
1st in triple-doubles
1st in field goals
Insane run.
Martha Karua: The fact that they can deport East African citizens, they are confirming that they do not intend to have a fair trial for Tundu Lissu.
#NTVWeekendEdition@zeynabIsmail
Foleni ndefu nje ya Mahakama ya Kisutu, wananchi wakiingia kwenye viunga vya mahakama hiyo kwa ajili ya kusikiliza kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antiphas Mughwai Lissu.
OVERNIGHT: Tanzania deports 3 more Kenyan activists. Former CJ Willy Mutunga, Hanifa Adan and Hussein Khalid say they were denied entry when they landed at 2am.
They travelled to observe today's treason case against Tanzanian opposition leader Tundu Lissu, they say
Dear parents:
Are you noticing how difficult it is to find good, age-appropriate movies for your kids?
When I was growing up, there was such a vast selection of age-appropriate stuff:
Beethoven.
It takes two.
Dennis the menace.
Free Willy.
Look who's talking.
The list is full and rich.
Today, you have to wade through vulgar language, soft porn, spiritual symbolism, complete adult content in a kids movie - and that's all in the first 10mins of the film.
And the worst amongst these are the streaming platforms who assign non-age appropriate content within the kids category.
So, parents, how are you guys dealing with this?