Sometimes March 2013
Wakili Fatuma Karume alisafiri kutoka Dar kwenda mkoani Kilimanjaro.
Wakili huyu alikuwa amesafiri akiwa amebeba nyaraka furani ya muhimu.
Nyaraka ile alikuwa anaenda kumsomea na kumkabidhi mzee fulani aliyefahamika kwa jina la Juma