As an Emirati Muslim, because of the diversity in the UAE, I’ve celebrated Christmas with my Christian friends when I was younger and I’m still Muslim.
Those same Christian friends have celebrated Ramadan and Eid with me and they’re still Christian.
Being present socially does not mean you agree with the theology behind it.
Respect is not belief. Confidence in faith doesn’t disappear because you shared a moment with someone different
Mimi napendezesha wadada kwenye siku na matukio yao Muhimu🥰🙏🏽Naombeni RT kazi ionekana na mie nipate Rizq🙏🏽
https://t.co/9uhVDzcpBc
For makeup appointments
Call/ Whatsapp 📲 0676335537
📍Sinza Mori, Ahadi St
#glammedbyqueeenminah
Hawa wanaotukanwa kila siku kwasababu wanaPush Hashtag zisizo rafiki kwa Watanzania wengi wanaona ni sawa kwasababu ndio tunaocheka nao, tunaoMeet, tunakula na kunywa nao, tuko kwenye biashara zao.
Na wanajua kabisa watatukanwa na watavumilia kutukanwa na siku wakiona inatosha wataacha na watarudi kwetu wakisema “Nisameheni, yale mambo siendelei nayo tena, najua niliwakera ila nimeacha”. Na sisi kama kawaida tutawapokea vizuri tukisema“Angalau umejitambua, hayo ndio maneno, safi umefanya jambo zuri” na maneno mengine mengi. Pasipo kutambua waliyoyafanya tayari yalishasababisha damage/madhara mengi.
Ninachojaribu kusema chochote kibaya kwa sasa kinapaswa kukataliwa sio kwa maneno tuu bali hadi vitendo vihusike, kama utakataa hashtag kwa maneno ila mtu huyohuyo ni mshirika wako kwenye mambo mengine ina maana ataona ni sahihi yeye kuendelea kufanya yale yasiyo sahihi. (Mfano, ukikemea uuaji alafu marafiki zako ni wauaji ina maana na wewe unachangia wauaji wale wawe comfortable kufanya yale mauaji kwasababu hakuna repercussions, (wanaona hutowafanya chochote mwisho wa siku).
Tunapokataa hashtag zao alafu haohao ndio tunawaita marafiki, wapenzi, washkaji, dada/kaka, shangazi, Mwana, shoga yangu, Shemeji, ni kama tunawapa urahisi wa wao kufanya yale wanayoyafanya.
Tukikataa Hashtag tukatae na wanaozisambaza, na hata siku wakiona wameshajikusanyia mitonyo ya kutosha hivyo wanataka kuacha na kujirudi kundini pia muendelee kuwakataa, itakuwa ni funzo kwao na funzo kwa wale wanaofikiria kufanya yale yanayoumiza Wananchi.
Kama tutapuuzia na kuona ni ujinga au hatuwezi basi pia tusilalamikie habari za Hashtag Kandamizi. Maana malalamiko ya bure bila vitendo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa. Mabadiliko huanza na wewe, Kesho Bora umeibeba wewe.
Watching those horrific videos of innocent people killed just to silence dissent has left me shattered. The regime's brutality is unacceptable. Fuck this regime, takataka kabisa.
Jeshi la polisi jana walituambia HAWA ni bodaboda Kutoka nchi jirani.
Hawa ndio wameua watanzania zaidi ya ELFU 3 nchi nzima.
REPOST 500
————————
Yesterday, the police told us that THESE are motorcycle riders from a neighboring country.
These are the ones who have killed more than 3,000 Tanzanians across the country.