Message à l’attention du Président National @moise_katumbi et au Secrétaire Général Dieudonné BOLENGETENGE BALEA du Parti politique @Ensemble_MK , https://t.co/91hSgDKsHN , https://t.co/eOkJuQpXwW
Donc cette histoire de chercher l'argent pour le fonctionnement du pays et paye des fonctionnaires était donc vraie ??? Si on vous dit que ce pays est maudit sous ce régime de @fatshi13, ne cherchez même pas à poser une deuxième question, oui le pays est sous malédiction satanique. 🤔🤔🤔🤔
Rais Samia Suluhu ametoa onyo kwa wale wote waliochochea uvunjifu wa amani nchini Tanzania.
Amesema hayo kwenye Hotuba yake ya kwanza baada ya kuapishwa Mjini Dodoma.
#KitengeUpdates
Le grand gagnant en ce moment, c’est la BCC : elle détient 145 milliards CDF, soit 76,3 millions USD aujourd’hui, alors qu’elle les avait achetés 50 millions USD.
Sa marge bénéficiaire actuelle s’élève donc à 26,3 millions USD.
Bravo !
Mamlaka ya Afya ya Burundi imetangaza kugunduliwa kwa virusi viwili vipya ndani ya nchi aina isiyofahamika ya Malaria inayojulikana kama Plasmodium vivax na virusi vya Zika, ugonjwa unaoenezwa na Mbu ambao unahatarisha afya mbaya, haswa kwa Wajawazito na Watoto ambao hawajazaliwa.
Ufichuzi huo uliwekwa wazi wakati wa Mkutano na Waandishi wa habari katika Mji Mkuu wa kiuchumi Bujumbura na Joseph Nyandwi, Mkurugenzi wa Taasisi ya Kitaifa ya Afya ya Umma (INSP) akisema kuwa matokeo hayo ni matokeo ya utafiti Shirikishi unaoendelea kati ya wataalam wa afya na mifugo, unaolenga kuimarisha mifumo ya ufuatiliaji wa magonjwa nchini.
Ugunduzi wa virusi vya Zika umeibua wasiwasi kwa afya ya umma. Ingawa Zika inajulikana kuwa asili yake ilitokana na Wanyama, inaweza kuenea kwa wanadamu kwa kuumwa na Mbu na kusababisha kasoro wakati wa mtoto kuzaliwa.
Maafisa wa afya wanasema ugunduzi huo unaweza kufungua njia ya uchunguzi unaolengwa miongoni mwa wanawake wajawazito na ufuatiliaji wa karibu wa afya ya uzazi, hasa katika mikoa ambayo magonjwa yanayoenezwa na Mbu yamekithiri.
#KitengeUpdates
#RDC_65_ANS_INDEPENDANCE#ma_pensé
La première révolution agricole a eu lieu il y a environ 12 000 ans, marquant la transition des sociétés de chasseurs-cueilleurs à l'agriculture.
En #RDC sommes nous à quelle étape ?
La vraie indépendance doit se sentir dans l'auto suffisance de la production agricole pour palier au problème lié à la sécurité alimentaire par exemple. Le secteur agricole étant un pilier non négligeable dans le développement devrait être une priorité !