MWANAUME SOMA HAPA KWANZA
1. Starehe ya dakika 3 isikuharibie mfumo wa maisha yako mazima
> acha kufanya mapenzi bila kondomu n watu hamjapima bado
> acha kunyonya uchi
> acha kuwagonga wake za watu
> acha kubaka watoto
2. Achana kabisa michezo ya kufilana
>Usimfanye mtu awe mwanaume au mwanamke kinyume na maumbile
>Usikubali kuingiliwa nyuma
3. Punguza kujipiga nyeto na kuangalia video za ngono
Hapa wengi najua mnapenda sana ila hii kitu si nzuri kwa afya ya akili yako na dudu yako
4. Kama hujajipata bado punguza starehe zisizo za lazima ....akili yako ifocus kutengeneza pesa maendeleo tu ...
5. Dont let mwanamke akusumbue akili
Hapa namaanisha kumpenda sana kisi kwamba anajua halafu anakuwa juu yako chochote anachofanya makusudi huna cha kumfanya unaishia kulia lia hapo unabembeleza ๐ kumamake be a man bana
6. Mwanaume hupaswi kuwa na wivu au chuki kwa mwanaume mwenzio anayefanya vizuri
Trust me hutakaa uendelee maisha yako yote chuki ikijaa moyoni inakudestroy unaharibu kila kitu chako bila kujua baraka zinapotea
7. Usije kumdhalilisha mtu kupitia utani ili uchekeshe watu wakati mwenzio anaumia
Hii ipo sana hasa kwa washkaji anjifanya nakutania kumbe ndo anatoa madhaifu yako kwa watu
8. Tabia za ubahili kutokumuhudumia mke wako ndani acha bana ....tunza familia yako
9. Kama huna kazi au umefukuzwa kazi my dia usije ukakaa unalala ndani tu huku mkeo anapambana ....kama huamini fanya hivo uone
Ni bora utoke ukazunguke tu upige vibarua ukakae kwa washkaji jioni urudi lakini sio kulala ndani unasubir uletewe ...mwanamke hana uvumilivu wa hivo ni wachache sana ukibahatika
10. Watoto wako ndio kila kitu chako waweke karibu aiseee kupita maelezo
#QUIZ Baada Haji Manara kuondoka Simba SC, nani alikaimu nafasi ya msemaji wa klabu hiyo?
Dondosha comment yako hapo chini, majibu utapata kwenye #5SELEKT kila siku Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 11:00 jioni EATV.
#QUIZ#DONDOO#EastAfricaTV
Kwani Huyu Mels Daalder Cheif Scout wa Simba aliishia wapi?
Ni miezi 7 imepita toka amepewa kazi na sijaona chochote kilichobadilika kwenye namna Simba inavyosajili.