GHETTO QURAN
THIS WAS PLAYED AT THE END OF
THE SEASON FINALE OF RAISING KANAN
THIS IS A SONG 50 CENT MADE
WHILE STILL A UNDERGROUND ARTIST
WHERE HE PAYS HOMAGE TO HUSTLERS
FROM HIS COMMUNITY ON THE SOUTHSIDE AND SPEAKS ON RUBBING SHOULDERS WITH KINGPINS
THIS SONG WOULD ALLEGEDLY GET HIM SHOT 9 TIMES BECAUSE SOME FELT THE SONG MENTIONED TOO MANY NAMES
THAT WERE ALREADY FIGHTING CASES AGAINST THE FEDS
Utawala usiofuata sheria unafundisha watu kudai haki kwa nguvu…
Huyu mwalimu anafundisha Course ya PS 123: Government and Politics in Tanzania
Dola dhalimu wanamtishia, asitimize wajibu wake wa kufundisha kwa kutoa mifano halisi ya nchini kwetu. Sasa wanaingia mpaka madarasani wanapangia walimu nini wafundishe.
Sheria za Nchi yetu ziko wazi, huwezi kumshikilia mtu kituo cha polisi kwa zaidi ya masaa 24, kama itakua zaidi ya masaa 24 basi isiwe zaidi ya masaa 48 bila mkuu wa kituo kuomba ruhusa ya mahakama.
Leo ni jambo la kawaida watu wanashikiliwa kwenye vituo vya polisi na mahabusu za polisi kwa miezi 6, 3 nawengine hata 8.
Kuna watu wanapigwa na wanakua walemavu na wanaendelea kushikiliwa.
Hivi tunavyozungumza kuna vijana wa Chaso Mbeya walikamatwa na wanashikiliwa tangu tarehe 4/7 wengine wamepigwa vibaya na kuumizwa.
Mimi nilishikiliwa kwa zaidi ya siku 21 kwenye mahabusu ya polisi nikiwa nalala kwenye sakafu.
Huu utawala dhalimu unafundisha Wananchi kwamba Nchi hii hakuna sheria ni kila mtu kujitetea.
Kwa njia kama hizi nani ataheshimu mahakama za Tanzania, wanatumia Mahakama pale tu wanapoona inaweza kuwapa kile wanachokitaka… Huyu ni mhadhili wa chuo anafanyiwa hivi, mahakama inaona jambo kama hili ambalo polisi tangia mwanzo hawakufuata sheria.
Watanzania tuungane wote, tuchangie na tujenge taasisi itakayoondoa uhuni huu kwenye Nchi yetu.
@SuluhuSamia Mhe Rais naendelea kushauri kwa dhati Tundu Lissu aachiwe huru kwani kesi haikamiliki. Hekima na busara iliyokufanya kutangaza sera ya 4Rs mara ulipoingia madarakani ikuongoze tena katika jambo hili. Simulizi hizi za kutisha za vyombo vya habari vya kimataifa, zinaibua hisia kali hasa kwa vijana, hata wazee tumekumbushwa kadhia ya operation Sogeza iliyounda vijiji vya ujamaa 1974 -1976. Taarifa hizi zinaathiri kikubwa taswira ya taifa letu na maslahi yake. Athari ni kubwa. Tutafute muafaka kupitia uwajibikaji na maridhiano. Tuwe na hofu ya Mungu na kutambua miujiza yake mfano wa risasi 16 kushindwa kukomesha uhai ingawa maumivu ni makubwa. Tutubu na kusali kuliombea taifa letu kila mtu kwa imani yake.
"He didn't fear anybody. He had those people so scared they had to kill him. They couldn't buy him, they couldn't frighten him, they couldn't reach him."
—Malcolm X on Patrice Lumumba
BREAKING: Two people have climbed to the top of the Empire State Building in New York City, holding a banner from the skyscraper's antenna reading, "When the power of love beats the love of power, the world knows peace."
As of now it's unclear how the pair reached the top of the building as police work to get them down from the spire, 1,454 feet above the ground.
CONGRATS AGAIN to "FARINA & THE PERPETUAL SHINE MACHINE" by Ralphie Wilson Third Place winner of the Internet Archive’s 2026 Public Domain Film Remix Contest 🥉
Allen “Farina” Hoskins leads an interrogative look at 1930 depictions of Black life. Archival sourcing, intercutting of uplifting & uneasy imagery, and the Hall-Johnson Choir’s spiritual score evoke reflection: “Unease follows.”
A thoughtful exploration of our fraught history.
Full film ➡️ https://t.co/Z2OReTqdpJ
#PublicDomain #PublicDomainDay