Umelelewa na wazazi wako vizuri.Wamekusomesha kwa gharama.Wamehakikisha unapata kile ambacho kitakusaidia katika maisha yako alafu wewe unakuja uku twitter una tweet na kahashtag chako cha #mitaaimetulea
mitaa ipi?? Tuwe waungwana jamani
@Eric__Bernard@Maestrowafact mtu unamuelewesha kwa upole hiyo ni executive anakwambia hapana kiongozi ya kwake ina mwenge..sasa uliwaambia kuwa anapanda umo kwenye E3 huyo kiongozi?🤣🤣
@RevocatusMagum1 kimahesabu umeambiwa hii mechi ni either ushinde au udraw ndio matokeo mazuri kwako..sasa mechi imeisha umedraw tena kwa comeback usishukuru? wewe mwenyew ulikuja na makala kabla ya mechi kuwa umempa simba asilimia za kushinda mbona ni sare sasa.timu mbovu inaweza fanya comeback?
@Sisimizi3 kateuliwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ambaye ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupeperusha bendera ya chama kwa tiketi ya udiwani
@ndulele_nyeusi@EduTalkTz v8 inakaaje apo tope ilo ata nusu tairi haijazama na tope...waliotengeneza v8 wakiona clip hii wanajua unawahujumu kuichafua brand yao
@mshambuliaji katika kipindi hiki cha taharuki nyingi kumshika bega mnyama ni kumkosea heshima yake...yani tunatafsiri ulikuwa unataka kumtoa makali kabisa katika mbio za ubingwa
@1960Remija mohamed hussein hamalizi game lakin leo imebidi kwasabab boka hayupo..tumekosa mbunifu mbele tukiwa na mpira pengo la pacome limeonekana..simba walitakiwa washinde kikosi kilivyotoka tu ukiangalia na sub zilizopo
@SimbaSCTanzania@DewjiFoundation mpo eneo la ndani na hamjavua viatu si sawa...sehemu inaonekana nadhifu kabisa wamewaekea adi mkeka lakini mmeingia na viatu wakati wao wamevua