Thank you America, thank you for your support, thank you for this visit. Thank you @POTUS, Congress, and the American people.
Ukraine needs just and lasting peace, and we are working exactly for that.
Mapema leo jioni baada ya kikao changu na Maafisa waandamizi wa US State Department mjini Washington, DC.
NB: Nimewakabidhi nyaraka ya chama kuhusu #NoReformNoElection na kuwaomba watuunge mkono…
The President’s guidance (lawful orders) is clear: No more DEI at @DeptofDefense.
The Pentagon will comply, immediately.
No exceptions, name-changes, or delays.
Thank you for your confidence Mr. President.
Thank you for the tie-breaker Mr. Vice President.
Thank you Senators for 50 votes.
This is for the troops. For the warriors. For our country.
America First. Every day. We will never back down. 🇺🇸
Nimesoma neno la leo katika Kalenda ya KKKT kwenye Biblia kutoka Kitabu cha Yakobo 3 : 13 - 18. Limenirutubisha. Natamani nanyi mrutubishwe nalo.
"Je, ni nani mwenye hekima na akili miongoni mwenu? Basi, aoneshe jambo hilo kwa mwenendo wake mzuri na kwa matendo yake mema yanayofanyika kwa unyenyekevu na hekima. Lakini ikiwa mioyo yenu imejaa wivu, chuki na ubinafsi, basi, msijisifu na kusema uongo dhidi ya ukweli. Hekima ya namna hiyo haitoki juu mbinguni; hekima hiyo ni ya ulimwengu, na ya kidunia, tena ni ya kishetani. Maana popote palipo na wivu na ubinafsi, hapo pana fujo na kila aina ya uovu. Lakini hekima itokayo juu mbinguni, kwanza ni safi; inapenda amani, upole na huwajali watu; imejaa huruma na huzaa matunda ya matendo mema; haina ubaguzi wala unafiki. Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani."