Sababu Zilizofanya Kampuni Iliyosajiliwa Falme za Kiarabu na Rostam Aziz Kuweza Kununua Kampuni ya Gesi Tanzania Kwa Shilingi 26,000 (Tsh. 26,000)
Mnamo Aprili 13, 2026, kampuni ya Orca Energy iliyoendesha vitalu vya gesi vya Songosongo kwa takribani miaka 25 ilitangaza kuwa imefikia uamuzi wa kuuza biashara yake ya gesi Tanzania kwa takribani dola kumi, ambayo ni sawa na Shilingi 26,000 za kitanzania.
Kampuni hiyo ilitangaza kuwa wanunuzi ni ushirika wa wawili yaani kwanza kampuni ya Amber Energy Investment kutoka Falme za Kiarabu, ambayo ndio itakuwa mmiliki mkubwa kwa asilimia 51 ya hisa; mmiliki hasa wa kampuni hii hajawekwa wazi.
Mshirika wa pili ni Taifa Gas, kampuni inayomilikiwa na mfanyabiashara Rostam Aziz, ambaye atachukua asilimia 49 ya hisa. Kampuni hii kupitia kampuni zake za Pan African Energy Corporation (Mauritius) na PanAfrican Energy Tanzania (PAET) ndio mzalishaji mkubwa wa gesi inayotumika kwenye viwanda na umeme Tanzania.
Kati ya mwaka 2021 mpaka mwaka 2025 pekee kampuni hii inayoendesha visima kadhaa vya gesi katika eneo la Songosongo iliweza kupata mapato ya takribani dola milioni 513 ambazo ni sawa na Trilioni 1.3 za Kitanzania.
Sasa imekuwaje ‘mmiliki asiyefahamika’ na Rostam Aziz kuweza kununua kampuni hii kwa shilingi 26,000 pekee?
Soma zaidi>>>https://t.co/qtMTDX2hwl
Hebu tuwaze nje ya BOX!!🤔
What if, ni mchezo wanautengeneza ili kumfanya VICEnt apate sympathy kwa wapiga kura….kisha ndio iwe next kete yao 2030!!🤔
Yes, coz sio mara yao ya kwanza kuyafanya hayo!! Wameshaitumia sana hii strategy huko nyuma na wakafanikiwa!!
Nikurudishe 2017
TAL alipopigwa pyuu pyuu 🔫
wengi walimchukia Banza kwa lile
tukio!!
Hisia zangu zinanambia #MasterMind aliitumia hii opportunity akamtuma Kizim-Job akampe pole TAL!!
sidhani kama ile move ya kwenda kumuona na kumpa pole TAL ilikuwa bahati mbaya ile, huwa always nahisi it was strategically planned na pengine mtoa pole hakujua kama ni mchoro anachorewa, yeye aliamini anatenda utu….but kuna watu behind the scene walipush ile move!!
Ili kumjengea sympathy,imani na upendo kwa raia, kwamba kati ya wanachama waandamizi wooote, ni huyu pekee kajitoa kwenda kumuona mgonjwa.
Basi huyu ana upendo sana!
Basi huyu atatufaa kutuongoza!
Huyu sio katili kama Banza!!
Kumbe MasterMind anasema huyu
Ni next kete yetu tutamtumia siku za mbeleni, tayari anauzika kwa wapiga kura!!
Haya miaka imepita….
vipi leo bado sio katili!!?🤔
Sasa nashangaa sana kuwaona baadhi ya wanafamilia wakiingia kwenye huu mtego tena mapema sana, bila hata kuwaza nje ya box!!
Tena wengine ni watu senior na very influential kwenye siasa na harakati!!
Wanaanza kumpongeza VICEnt kuona huruma, kumfanyia PR na kumu-endorse kwa raia….Pasi kujua kufanya hivyo ni kurudia makosa yaleyale ya kujikuna Nyashi kisha unakata kucha kwa meno!!
Ni kweli VICEnt anaonekana kuwa mtu poa currently, lakini shida ni familia ileile!!
Iko hivii…..hawa jamaa ni very smart na calculated!
Wanajua fika now wako kwenye nyakati ngumu sana kujiuza kwa wananchi kutokana na waliyoyafanya….Nyama ngumu kwelikweli!!
Wana changamoto kubwa
ya who is next? ambaye wata msimamisha na raia wakampokea na kumkubali bila makwasukwasu yoyote!!
Hapo sasa kwenye Who is next, ndiyo nahisi #The_Master_Mind huwa anakujaga na mchoro wa kutafuta exit!!
Kwamba watengeneze beef/vita/misunderstandings wao kwa wao ndani kwa ndani, then habari zitoke nje kwa raia….kuwa kuna mpasuko ndani ya chama!!
Then ile kete wanayoitaka wao ndio ionekane kwa raia kama ndiyo inaonewa ndani ya chama au kama ndiyo shujaa inasimama na raia!!
Na raia tulivyo na mtindio wa ubongo tunajaa kwenye huo mfumo!
Tena wakati mwingine #MasterMind anaweza akachezesha huu mchoro bila hata kuwashirikisha wahusika wakuu, yaani main characters wakawa wanapasuana kiukweli, kumbe kuna mtu behind the scene anawachezesha filamu!!
Anagusanisha nyaya, anapigisha cheche bila wao kujua….
KUWENI NA MISIMAMO
KUWENI NA KUMBUKUMBU
WAZENI NJE YA BOX
MSIJAE KIZEMBE
Nways labda niko wrong na hisia zangu!!
Tatizo naangalia sana movies za watu waBad wanavyoRemote Gavoo na Viongozi!!
zinaniharibu sana!!
I believe it is high time the Kenyan courts prohibited criminals like these Utumishi Girls from covering their faces during court sessions.
Every Kenyan deserves to see their real faces.
We want to look into the eyes of these individuals who so inhumanely took the lives of those 16 students.