Director maarufu wa video mbalimbali ikiwemo za Wasanii wa Bongofleva ambaye pia ni Mtoto wa kwanza wa Muhubiri maarufu wa Arusha wa Kanisa la Ngurumo ya Upako Dr. GeorDavie, Nic Davie maarufu Nisher amefariki saa nane na dakika tisa usiku wa kuamkia leo December 12,2023.
Familia ya Dr. GeorDavie imethibitisha kutokea kwa msiba huo wa Kijana wao Nisher na kusema msiba unafanyika katika nyumba ya matamko Kisongo Jijini Arusha na kwamba taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
#MillardAyoUPDATES #RIPNisher
@SuttonBeauvais@NnekaIhim She didn't make no one proud,she is an educated women yet she believed in superstition!calling wendy's mother a witch that was very low on her
@imalover444@NnekaIhim We want to see her own story line so far she bring nothing other than using wendy for a story line,I hope we won't see her in season 9