Lissu inspires us always! Never back down! Samia Suluhu and her murderous cabal tried to break him - he has stood firm and refused to be a victim!
Mungu aendelee kumtia nguvu 🙏🏽
Tundu Lissu ni kiongozi wa kuigwa! 🔥
Walijaribu kumdhalilisha akagoma kuonewa LIVE! Ila uonevu unaofanywa dhidi yake imevuka viwango vyote
#FreeTunduLissu
Katika siasa za ndani ya na nje ya chama chetu, FAM sitomsamehe kwa namna yeyote, alituuza sana.
Ilikuwaje siku hii akampa tuzo Samia?
FAM ndiyo Chanzo cha Lissu kusota Gerezani
FAM ndiyo chanzo cha Chadema kushitakiwa na kusumbuliwa na msajili.
👇👇👇
Ila nyie bana mna mambo ya kiwaki !
Kumbe mlipanga kumfutia Lissu uhaini alafu nje kumkamata kwa kosa lingine na kumweka house arrest! 😁
Kila uovu mnaopanga Mungu 🙏🏽anatufunulia!
Nasema #TutaelewanaTu
Kwanini kesi ya Mwenyekiti wetu isogezwe mbele kwa mda mrefu kiasi hiki mara tu baada ya chama kueleza mpango mbovu wa polisi hapo kesho.
Chama kimeeleza nia ovu ya polisi dhidi ya chama chetu alafu kesi inasogezwa mbele!!!
Mahakama ya Tanzania inaondoa imani ya wananchi na kuchochea chuki kwa matendo kama haya.
Nyie wazanzibari akina Simai tulieni! Huyu kimama mwaka 2019 alisema wazi hawezi kuachia kiti cha namba mbili kwenda kuwa rais Zanzibar! Na Magufuli hakumtoa sababu alimgomea na angemfukuza angefungua pandora box na ye atimuliwe
Sasa ni hivi Nchimbi mkimpigia kura ya kutokuwa na imani bungeni mnatusaidia kama Taifa maana tutataka waondoke WOTE na Samia😁✊🏽
Wamepigiwa kura wote wawili kwa pamoja! Waondoke wote kisha na nyie ondokeni hapo bungeni! Na we Simai utakuwa wa mwisho hakikisha unazima taa zote 🤣
Makatili wauaji wakubwa
#TutaelewanaTu #SamiaMustGo
Huyu si Abdul?
Abdul huko Urusi unatafuta nini ? Huna cheo serikalini umeenda kubeba pochi la mama yako?
Huu upumbavu tukomeshe wapendwa
Hii si serikali ya kifamilia
#SamiaMustGo
Hii video ndio sababu sitokaa kurudi tena kwenye umbea mpaka haki ipatikane Tz. I feel like nina deni kubwa la kuhakikisha hivi vifo vinapata haki na vinaleta haki kwenye nchi. This video ndio sababu I will never abandon the movement.
Kwa mara ya kwanza leo naposti full clip.
Video ya kwanza ndio original video. Video ya pili ndio video niliowapostia Watanzania, nilikata jina langu. I did this to a number of videos za Arusha. For some reason vijana wengi wa Arusha walikuwa wanasema “Dada Mange ona wanatuua” au “Mtumie Mange Kimambi aone”. Nitaachia na video zingine nilizokata jina langu.
The reason I’m posting this today ni sababu wauwaji wanalipa watu kusema kuwa hawa vijana walilipwa.
@SuluhuSamia kwanini hawa vijana hawakuita jina la waliowalipa waandamane? Instead wanaita jina la dada yao aliewapa elimu ya umuhimu wa kuandamana ili kudai haki kwenye nchi yao?????? Au niliwalipa mimi???
Vijana wa Tanzania naomba mjue, I’m in this fight mpaka haki ipatikane Tz au mpaka siku nakufa…… Hakuna kitu kingine nitafanya kwenye mitandao zaidi ya kudai haki juu ya vifo hivi….
Keep resting in peace, Clara. Uliuwawa kikatili sana Samia Suluhu akijilazimisha kuwa rais.
Hope she smiles akiona picha yako na za maelfu aliokatisha ndoto zao; an evil of woman.
Mitaa ya X inakulilia.
Rest in peace, mdogo wetu.
#TanzaniaMassacre#MO29
Leo 29 Mei 2026, ni siku 212 zimepita tangu damu ya watanzania wasio na hatia imwagike kwa risasi za moto 29 Oktoba 2025. Serikali ya CCM inaweza kudhani labda muda umefuta machozi yetu, na ndio maana wanacheka na kupongezana badala ya kuwajibishana. Lakini wamefeli. Jeraha hili liko hai, na mioyo ya wananchi haitasahau kamwe. Hatupigani kwa nguvu zetu wenyewe; tunasimama na haki thabiti ya Mungu ambayo haijawahi kushindwa. Jasho na damu ya raia wenzetu inaililia dunia, na amini nawaambia, dhoruba ya haki inakuja. Kila mkono uliomwaga damu utawajibika. Dunia imesimama nasi, na sauti ya wanyonge haitanyamazishwa tena! #MO29
#BreakingNews
Kesi ya Mgawanyo wa mali za CHADEMA imefutwa leo naona Said Issa na waliomtuma wameweka mpira kwapani.
Na bado hata kesi ya Mhe. Lissu watafuta tu
Kumbe VISA mnataka.😁
REPOST 200
Kesi ya uongo ya mgogoro fake wa mali, ni kesi ya Msajili wa vyama..
Marehemu mama Komu alituelezea namna ambavyo Sisty Nyahoza, Msajili msaidizi akiwa na mtu anaitwa Salehe Bohora, walivyomfuata nyumbani kwake na kuomba aweke jina kwenye kesi..
Marehemu Mama Komu alituambia hata malipo ya mawakili yalilipwa na Salehe Bohora na bwana Sisty, kwa mujibu wa mama Komu huyu bwana Salehe alitumwa na Rais.
Mtakumbuka pia kuna mtu alijiita Mwenyekiti wa Chadema Mwanga.. huyu nae alikua analipiwa mpaka mahali pakukaa na ofisi ya msajili, kupitia ofisi hiyo hiyo ya msajili walidai kutotambua uongozi halali wa Chama, katibu mkuu, manaibu katibu wakuu na wajumbe wa kamati kuu ya Chama.
Hii kesi ilifunguliwa siku hiyo hiyo ambayo Mwenyekiti wetu alikamatwa na kupewa kesi ya uhaini.
Kesi hii ilipangwa kwa Jaji mwingine awali lakini katika mazingira tata ikapelekwa kwa jaji Mwanga.
Jaji Mwanga tangu awali alionekna wazi kutofuata sheria, kuendesha Kesi kibabe na kudharau kila hoja iliyotaka upande wetu… alikua na maelekezo ya wazi na alionesha upendeleo uliovuka mipaka..
Kupitia kesi hii shughuli za Chama zilizuiliwa kinyume cha sheria kwa siku 309, Mpaka mahakama ya rufani ilipofuta zuio fake..
Kupitia Hilo zuio watu wetu walipigwa mara nyingi na polisi kila walipojaribu kufanya shughuli za chama.
Tutakumbuka siku ya wanawake duniani namna wanawake wa Bawacha walivyopigwa mpaka kanisani kwasababu ya zuio hili haramu..
Mali za Chama zimeharibika, Mimi pamoja na Katibu mkuu tulifunguliwa kesi ya contempt of the court. Kutokana na Amri hizi hizi.
Jaji Mwanga alipuuza hukumu ya mahakama ya rufani ambayo ilikua inamlazimisha kutokifungia Chama chetu..
Nani atalipia maumivu, usumbufu, matatizo ya makusudi, nani atalipia hasara zisizolipika za kuzuia chama mda wote huu kufanya kazi zake..
Tunafurahia leo, lakini Fikiria damage zote hizi hazikutakiwa kuwepo, zilifanywa kwa makusudi kwa manufaa ya Samia na Ccm.
Bado msajili anatufuata fuata na kutuandikia barua baaada ha maumivu yote haya aliyotusababishia..
Kama ilivyo kesi ya uongo ya kumtesa Mwenyekiti wetu ndivyo zilivyo zote hizi ni kwa manufaa ya Samia wala sio Nchi..
Tuacheni tufanye wajibu wetu wa kisiasa. Hatutapiga magoti wala kununuliwa.
Hii KESI YA MCHONGO kufutwa anaeumia ni YERIKO NJEGERE.
Sijui ataandika nini tena apate contentvza kuweza kulipwa na meta huko faacebook. Maana VITABU VYA OFA SIKU 360 watu hawavitaki.
Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa inafanya kazi ya kuchochea machafuko.
Sisty Nyahoza aliekwenda kwa marehemu mama Komu na kumshawishi kusaini karatasi ya kufungua kesi ambayo ilifungia chama chetu kufanya kazi siku 309..
Madhara mengine walitaka kukifuta chama kupitia kesi hiyo ya Said Issa.. kwa uwezo wa Mungu tumeshinda..
Sasa Sisty huyo huyo na ofisi hiyo hiyo ambayo inafanya kazi ya kuhujumu chadema usiku na mchana tena wazi kabisa. Inatuandikia barua kila baada ya mkutano na kila neno tunalosema… Maneno pekee tunayoweza kusema tusiandikiwe barua na Sisty ni kumsifia Samia na serikali yake dhalimu ambayo haikuchaguliwa.
Kwa kifupi ofisi ya msajili itaingiza Nchi hii kwenye machafuko ya kisiasa..
Chadema ni taasisi ya Watanzania na Watanzania watailinda dhidi ya hujuma zote.
@Roma_Mkatoliki Binafsi siamini kama kuna malipo yenye thamani ya kumfanya mtu timamu aweke uhai wake rehani ili tu kufanya harakati za kudai haki na ustawi wa watu wengine. HAKUNA📌 Zaidi ni upendo tu wa ASILI waliozaliwa nao watu wa namna hii.
Hatutasahau kuwa October 2025 Samia Suluhu ali terrorise nchi nzima akauwa watu zaidi ya elfu 10 akijilazimisha kuwa rais.
RIP to our fallen heroes.
Tutadai uwajibikaji hadi tone la mwisho.
#MO29#TanzaniaMassacre