Hakuna mchakato wowote wa Barbra Gonzalez kurejea Simba kama CEO wala Mwenyekiti wa Bodi, ni kitu ambacho hakifikirii kwasasa na hakipo kwenye akili yake, taarifa kutoka kwenye vyanzo vyangu ni kuwa ukurasa wake ndani ya mpira wa Tanzania ameshaufunga.
Nachokifahamu mpaka sasa ni kamchezo kanaendelea cha kubadili upepo tena katika wakati ambao ni muhimu sana wa klabu kujiunda na kuanza upya, bahati mbaya sana propaganda zimetawala sana kuliko uhalisia, kwa ground vitu viko hovyo tu na mambo hayaendi, bahati mbaya Mashabiki washahamishiwa mjadala na wanajadili kitu kipya ambacho hakipo.
Hii klabu inatakiwa kurejesha ufalme wake ila mpaka sasa Simba kuna vitu havipo sawa halafu ni kama tunazidi kujivuruga tu, kuna Mtu ametulia sehemu anapiga mziki na anafurahi kuona Watu wanacheza, ila huu ni msiba tena unafana sana kwakuwa hakuna Mtu anayelia nje ya key, this is a very calculated move.
Wakati mchakato wa Mabadiliko umekwama na hatujui lini utaendelea inatangazwa nafasi ya Mkurugenzi wa Mashabiki na Wanachama, kwa muundo gani ndani ya Simba ambayo haidahili Wanachama wapya? Anaenda kufanya kazi gani? Anakusanya Wanachama gani? Hapo tujiulize sote kisha majibu bakini nayo.
VISIT MOROGORO🇹🇿
Simba’s goalkeeper coach, Dani Cadena in a recent interview said:
“Clean everything not just me.”
“The Club needs new people. New elections.”
“Some people have much power and when people have too much power and time at a job, they relax.”
“This is Simba and this big club needs professionals and people with experience to work and not family and friends.”
Thoughts on this statement from Dani? 😮
#nguvumoja
#africanfootball
On behalf of the government and the People of Tanzania, I extend my warmest wishes to all Chinese as you celebrate your Chinese New Year (The Year of Rabbit). Tanzania is dedicated to fostering a strong and genuine friendship and cooperation for the betterment of both our nations
Here is the link to watch the Confederation Cup draw today! 📺
Link: https://t.co/KWMTmIpBBT
⏰ 11:00 GMT! Exactly 3 hours to go! 🙌🏻
Share for others to go watch too. Thank you!
#CAFCCwithMicky I #TotalEnergiesCAFCC
Ingawa wengi tunatumia maji ila nikufahamishe tu coolant ndio liquid sahihi katika kupoza engine na inashauriwa kubadilishe Kila baada ya miaka 2..
.
Coolant inahakikisha ina maintain locomotive [movement za engine parts] ziwe efficiency huku ikongeza life span ya engine..