|Researcher|Regulatory Pharmacist|Lobbyists|
These are my personal views, except when my stomach is talking louder than my brain.
Email: [email protected]
Nimefikiri na kutafakari kwa muda mrefu baada ya matukio ya ukiukwaji wa haki, utu na dhuluma dhidi ya uhai wa binadamu yaliyotokea tarehe 29 Oktoba 2025. Siwezi kuendelea kuishi katika huzuni na ukimya tena.
Kwa dhamira yangu binafsi, leo nimejiondoa rasmi kutoka CCM na kurejea CHADEMA kwa kufuata taratibu zote za CHADEMA.
Kwa Watanzania wote, na wanachama wa CHADEMA wale walioumizwa au kukatishwa tamaa na msimamo wangu wa awali, naomba radhi kwa dhati pale nilipokuwa kinyume na matarajio yetu ya pamoja katika safari ya kutafuta haki, utu na demokrasia ya kweli.
Naam, binadamu hukosea, lakini dhamira inapozinduka ni wajibu kusimama upande unaouona kuwa wa kweli na wa haki.
Asanteni Sana.
You’ve trusted someone with your life based on looks and hoped they were HIV negative. Have you shown the same courage, risk, and belief in chasing your goals?
Unknown
Kupata uongozi ni kupata cheo; kuwa kiongozi ni kuwa na sifa na matendo ya kuongoza. Mara nyingi Afrika, kupata nafasi ya uongozi huonekana rahisi zaidi kuliko kuwa kiongozi wa kweli, kwa sababu cheo hupewa, lakini uongozi wa kweli hujengwa kupitia maono, uwajibikaji, uadilifu
BREAKING: Tanzania is set to begin the Liganga and Mchuchuma integrated iron ore, coal, and steel projects within three months after investor negotiations passed 90%.
The US$2 billion to US$3 billion projects in Njombe aim to produce 2.9 million tons of crude steel annually and create 6,500 formal jobs.
The projects are being developed and implemented by Tanzania China International Mineral Resources Limited (TCIMRL), a Joint Venture Company (JVC) between the Government through NDC (20% non-cash) and Sichuan Hongda Group from China (80%).
🇮🇳🩸👩🏽🌾Les travailleuses de la canne à sucre en Inde SE FONT RETIRER l’utérus pour ne plus manquer une journée de travail.
Dans le district de Beed (Maharashtra), des ouvrières de la canne à sucre subissent des hystérectomies pour ÉVITER LES ABSENCES liées aux règles, aux grossesses ou aux fausses couches. Dans le système de travail « jodi », les couples sont surendettés et TRAVAILLENT jusqu’à 14 HEURES PAR JOUR, sans congés ni protections, poussant certaines femmes à voir cette opération comme une solution pour continuer à travailler.
Malgré des enquêtes menées en 2019 révélant plus de 13 000 HYSTÉRECTOMIES dans le district de Beed et des promesses de réformes, les militants dénoncent un manque de changements concrets. Les conditions de travail extrêmes, le MANQUE D’HYGIÈNE et la pression de certains médecins FAVORISENT ces opérations.
Les autorités locales, sous pression médiatique, ont lancé de nouvelles enquêtes et PROMETTENT DES MESURES, mais les activistes estiment que le système reste inchangé.
(The Guardian)
Dar es Salaam’s real estate market is becoming increasingly disconnected from reality. Prices like we’re buying property in Texas, Palm Beach or downtown Miami.
And the problem isn’t just expensive houses and plots. It’s expensive houses in a place where..
You’ve probably heard many car owners, especially those in the transport sector, argue that the cost of paraffin should be close to that of diesel.
Their concern is that if the price gap becomes too big, some quacks may be tempted to mix paraffin with diesel to make extra profit.
The question is, what is the worst that can happen when the two are mixed?
We break it down in this video.
Also remember, when buying a diesel car, it is very important to check the condition of the DPF, EGR and fuel injection system as repairs can be very expensive.
For pre purchase inspections, reach us on 0729 686 646.