Msikilize vizuri BONGO ZOZO na haya ndio maswali ambayo tulitaka majibu yake.
Sasa walichofanya wakina KYANDE ni kuongeza maswali mengine magumu yanayoumiza mioyo yetu afu wanataka "Mardhiano".
KYANDE alichofanya ni kumsafisha DIKTETA jike kimataifa mikopo iendelee kuingia ila deep down wao ndio waliuwa na hatuna cha kuwafanya.
Inaumiza sana na hili wakoloni weusi wakae wakijua HAIWEZEKANI nchi ikarudi kama zamani bila kutibu majeraha tuliyonayo hilo HALIWEZEKANI.
TUTAKUWEPO🫵🏾😎