@angelocane69@Jefffjons@Lemawakwanza@MarekaMalili Mwishoni kabisa nimetaja, changamoto haipaswi kurudia (uwajibikaji). Uhalisia ni kwamba niliumia sana umeme kukata sababu kuna watu waliuhitaji zaidi yangu, mfano nilikuwa na wagonjwa wawili wenye uhitaji wa oxygen and ilikuwa direct from power plant ambayo ilizima na hamna namna