#TajiriLaKihaya@TaasisiMoyoJKCI kuna maswali muhimu hamjayapatia Majibu kwenye hili andiko langu!
Mmetoa taarifa ya juuu juu saana!
Kwa nini mlimuHAMISHA CHUMBA??
Kwa nn chumba mlichomhamishia mapigo ya moyo na pressure hayakua yanasoma kiusahihi…??
Hadi yule daktari wa kihindi alipokuja kupima na kipimo chake ndio tukagundua hilo na bado hamkubadilisha??
Mgonjwa wetu alikuja akiwa mzima… ila mlipomlaza tu hali kila siku ikazidi kuwa mbaya???
Kwa nn manesi kuna dawa walikuwa wanaambiwa wampe mgonjwa… ila hawampi kwa wakati hadi tena madaktari watakapopita waulizie kama kapewa ndio wampe???
Maswali ni mengi saaana…
🚨🎙️| Zlatan Ibrahimović:
🗣️“After watching this tournament and today’s 2-2 draw, I have to say I was impressed. I don’t think African football gets the recognition it deserves. The quality, intensity, and confidence these teams play with is incredible.”
“People always talk about Europe and South America, but Africa belongs in that conversation too. If you’re still underestimating African football, you’re simply not watching the games.”
#TajiriLaKihaya
KUNA MASWALI MAKUBWA YANAYOPASWA KUJIBIWA MUHIMBILI NA JKCI.
Leo familia yetu imepoteza mdogo wetu. Moyo wangu umejaa huzuni, uchungu na maswali mengi ambayo hadi sasa hayajajibiwa.
Siku ya kwanza nilipofanikiwa kumpeleka mdogo wangu JKCI na kupata chumba cha VIP, nilifurahi sana. Niliona kama tumepata mwanga wa matumaini. Baada ya vipimo, tuliambiwa tatizo lake la moyo lilihitaji upasuaji mdogo tu na angeweza kuendelea na maisha yake kawaida.
Tukaahidiwa upasuaji ungefanyika ndani ya siku mbili au tatu.
Lakini siku zikageuka wiki.
Kabla hata ya kulazwa, tulikuwa tumepambana kwa zaidi ya mwezi mzima tukizungushwa kutoka leo hadi kesho. Mara daktari hayupo, mara jopo la wataalamu halijakaa, mara kipimo kirudiwe, mara tusubiri dawa zifanye kazi kwanza. Kila siku ilikuwa ni ahadi mpya na tarehe mpya.
Baada ya kulazwa tuliamini safari ngumu imekwisha. Lakini ndipo mateso makubwa zaidi yalipoanza.
Mdogo wangu aliingia hospitalini akiwa bado anaweza kutembea, kuongea, kula na kujitambua. Kila siku tulisubiri upasuaji ulioahidiwa, lakini haukufanyika. Badala yake hali yake ilianza kuzorota mbele ya macho yetu.
Wiki moja ikapita.
Wiki mbili zikapita hadi wiki tatu
Hakukuwa na upasuaji.
Kulikuwa na sababu mpya kila siku.
Kisha tukahamishwa kutoka chumba tulichokuwa tumepewa kwa madai kuwa kingefanyiwa fumigation. Lakini usiku huo huo mgonjwa mwingine akawekwa kwenye chumba hicho. Hadi leo hatujui ukweli ulikuwa nini- lazima UFISADI ULITUMIKA HAPA!
Tulihamishiwa chumba kingine JAPO kilikua VIP… ila hakikua kwenye standard sawa!
Hata nakumbuka kuna Daktari wa Kihindi alikuja kusoma vipimo akasema ile MONITOR haipo sawa! Mapigo ya moyo na oxygen haisomeki kwa usahihi…
Sasa kwa nn tulihamishwa chumba? Kutoka chumba kizuri kuja hiki?? Kwa nn kile tulichokuwepo alipewa mwingine usiku huo tumehamishwa? CORRUPTION!
Baada ya hapo hali ya mdogo wangu ilizidi kuwa mbaya zaidi. Akapoteza nguvu, akashindwa kuzungumza, akashindwa hata kuwatambua watu waliomzunguka.
Tulikuwa tunauliza maswali. Tulikuwa tunaomba msaada. Tulikuwa tunaomba hatua zichukuliwe haraka.
Lakini muda uliendelea kwenda.
Leo asubuhi mdogo wangu amefariki dunia.
Siandiki haya kwa hasira pekee. Naandika kwa maumivu ya familia iliyokuwa na matumaini makubwa ya kumuona mpendwa wao akirudi nyumbani akiwa mzima.
Kama kweli kulikuwa na uzembe, kucheleweshwa kwa huduma, ukosefu wa uwajibikaji au mifumo mibovu ya utoaji huduma, basi kuna haja ya uchunguzi wa kina na hatua kuchukuliwa. Maisha ya Watanzania yana thamani. Wagonjwa hawapaswi kupoteza maisha wakisubiri tarehe nyingine, kikao kingine au ahadi nyingine.
Tunataka majibu.
Tunataka uwajibikaji.
Na zaidi ya yote, tunataka familia nyingine isipitie maumivu tuliyoyapitia sisi.
Kama hapa ni VIP… je wagonjwa wa kawaida wanapata huduma gani???
Pumzika kwa amani mdogo wangu. Tulipambana kwa kila tulichoweza. Mungu akupokee katika makao ya milele. 💔🕊️
@StoneSaphia Yani kijana alikuwa na kanzu "nyeupe", Yule mama umemuuliza kama amemuona mtu upo naye kavaa kanzu "nyeusi", au sio mwanetu unatuona sisi kina Shakira humu sio
🚨🗣️ Pep Guardiola: "I don't have to take a look at the table because I have the table in my head."
"With the points, and the goal difference, and all that."
🚨 Álvaro Arbeloa: “I'll say it again, because maybe I wasn't very clear: leaking things that happened in the locker room seems like a BETRAYAL of Real Madrid. Of this badge”.
#TajiriLaKihaya
Wewe Kijana ulieajiriwa;
Achana na kufanya fadhila kwa kampuni yako, fanya kile unacholipwa na uende nyumbani.
Unapofanya kazi kwa kampuni kwa masaa 8, usiende nyumbani uangalie TV au Kucheza Game au kushinda mtandaoni…
fikiria kuanzisha biashara ili familia yako iweze kurithi,
Hawawezi Rithi kazi yako.
Kujifunza hakuishi…
Kitendo cha Magereza na Mahakama kumpeleka Mwenyekiti wetu mahakamani bila taarifa ya mawakili wa chama na chama ni aibu na kutia mashaka sana .
Tumezuiliwa kumuona kiongozi wetu kwa miezi Karibia sita kinyume cha sheria..
Sasa anapelekwa mahakamani kwa siri na kificho nia yenu ni ipi?
Lissu ni kiongozi wa umma haiwezekani kumfanyia mambo ya ajabu kama haya.
🚨 Xavi: “As Barça manager I brought back Dani Alves… and tried to bring Neymar, Pedro and Messi back as well”.
“Pedro and Neymar couldn't be signed
because of the economic situation”.
“For Leo Messi, the president Laporta didn't want him back”, told @RomarioOnze.
🚨 Lamine Yamal statement.
“This injury leaves me off the pitch at the moment I wanted to be there the most, and it hurts more than I can explain. It hurts not being able to fight alongside my teammates, not being able to help when the team needs me. But I believe in them and I know they’re going to give their all in every match”.
“I’ll be there, even if it’s from the outside, supporting, cheering and pushing like one more. This isn’t the end, it’s just a pause. I’ll come back stronger, with more desire than ever, and next season will be better.
Thank you for the messages and Visca el Barça”.