I have been dealing with alot of clients from Juba these past few days. Thank you for trusting our company with your monies my Sudanese brothers. I know you know I am one of you,I just happen to have a kikuyu name. Mwathani Arogocwo!
Another day another dollar,anyone living in the USA or EUROPE and is interested in making money online .This is the best accou for you
Like and DM please
Kenyans most of them,are very big classists subconsciously. Including those from the lower middle class,hawa wa kinoo,na Ruaka na Utawala. By just seeing how they are talking about these HeHa mover guys from kibera,you can tell they’re disgusted. Na hawa jamaa ujue ata hawajakosea mtu,lakini sasa juu sura zao zinakaa za watu ambao wameyaona mengi apa duniani,na sababu pia wametoka mazingira ambayo sio ya kufurahisha,they’re now being accused of promoting goonism. Surely!
Unajua tuseme for example hawa jamaa wangekua handsam kama mimi,ama wakue wametoka huko kilimani ama kileleshwa,hungeskia upuzi Kama iyo. They’re being hated on because of their background and looks,people are judging them even before they hear them. But these are very good men,in TikTok they have a very huge fanbase built on educating ghetto people on various matters because they’re elders
Please lets give these men a chance. Just because life has put us an inch above them,its not to mean we are any better than them,wewe wakikuja kukuhamisha just cooperate. Heha movers!
When your head hits the pillow tonight, remind yourself that you have done a good job. Be patient with yourself, and remember that big things are achieved not all at once, but one day at a time
Na wenye mlikua attachment (TP) juu ya education arts, gather here mtuambie your stories. Huko nilikua traumatized na everything. From being framed you are dating a regular teacher, mind you I'm just 21 year old chocolate nigga(walalo), nilikua napiga low taper naingia gwaride.
Nimewahi kua mjengo pale watamu, kilifi county, it was my first time bana. Foreman alikua Beshte sana, juu I was the only walalo kwa hio rende yake ya wakamba. I was treated well juu pia nilikua light skin slim nigga. Bora unajua kuishi na wasee, utalearn people are good not bad.
Life is a beautiful thing, ni juzi tu niliwaambia I slipped in to a DM of 10/10 baddie from Marsabit. Amenipenda within 2 days nisha bag hio mali. Ako na attitudes ajab, nimepigwa blue ticks kutoka jana usiku juu nilisema I'm sleepy I want to sleep early 10pm. I'll be impeached.