I really send my warm appreciation to KTC & MTC for their kindness tender care during my stay & facilitation to the Women & Youth Rice Farmers Groups at Mlimba - Morogoro and Mbarali- Mbeya. @cdftz@RealAWiM@SAfAIDS@FemnetProg@richland
Every 6th of August is a day for the farmers to celebrate on the strategy of reserve and use of the natural types of seeds from vegetables to other crops. In Tanzania all these have been made by Swissaid Tanzania & other stakeholders @ Ngongo -Lindi Region. Bravo @SWISSAID_Tz
@crisisresolvin1 CRC joined WiLDAF to celebrate AFRICAN WOMEN'S DAY on 31 July, 2023 at the New Main Library - UDSM event officiated by the Retired Speaker of the National Assembly p Hon. Anna S. Makinda. Among the presentations including Law of Marriage of 1971.@cdftz@SAfAIDS
JKCI wametangaza Kambi ya matibabu, wengi wetu tukajua nchi yetu pendwa na serekali sikivu inatambua thamani ya Wananchi na wapiga kura wake. Nilipokwenda Kwa initial checkup nikajuzwa niandae TZS M.2.SIJAJUA MAANA YA CAMP,mnisaidie. @ummymwalimu@WizaraYaAfya@tgnptz@cwhrdstz
UNWomen, MoCDWGSG together with Women Peace & Security Pillar under AWLN & other like minded organisation today hold a one day session of consultation to review the final TNAP at Four Points by Sheraton.(New Afric).
@SAfAIDS@crisisresolvin1@cwhrdstz@Refugees@unwomentanzania
Leo nimesikitishwa mno na Taasisi ya magonjwa ya moyo Muhimbili JKCI. Dr.Kisenge ametangazia Umma huduma ambayo hawajui wapi waanze wapi wamalize...matokeo yake hakukuwa na huduma. @ummymwalimu@muhimbiliuniver@Ministryofhealh@ikulumawasliano
Sasa tuzungumze kama familia🦁
UTO kakosa kombe tumefurahi na ukweli hatuwezi kujificha tumefurahi sana
Lakini hii sio aina ya furaha tunayoitaka wana Lunyasi
Sisi tunataka furaha yetu ya kutwaa wa Ubingwa wa Afrika
Ni fedheha kubwa sisi kukaa macho usiku kuangalia UTO anacheza fainali
Pamoja na ukweli kwamba njia yao ilikua nyepesi lakini ukweli mwingine ni kwamba wamejua kuitumia iyo njia ya nyepesi
Sisi hua tunapita njia ngumu ni wakati wa kutafuta namna ya kupita kwenye iyo njia ngumu haiwezi kuwa excuse tena eti tumepita njia ngumu
Tumeshamfunga Al Ahly, tushamfunga Wydad nani mwingine mkubwa kabaki jibu ni hakuna kama hakuna kwanini tusichukue huu ubingwa
Imewachukua UTO miaka 30 kufikia rekodi yetu ya kucheza Fainali ya CAF, Sasa tunapaswa kuweka rekodi mpya Afrika
Tunapaswa kuamka ili tuwe wa kwanza kuweka rekodi mpya ambayo UTO atahangaika kuifikia
Kazi kubwa inatakiwa kufanyika ndani na nje ya Uwanja tena ianze sasa
Tunahitaji wachezaji wenye hadhi ya kutupa ubingwa wa Afrika, hadhi ni pamoja na ubora na kujitoa kwa ajili ya timu yetu
𝐓𝐮𝐧𝐚𝐰𝐚𝐜𝐡𝐞𝐤𝐚 𝐡𝐮𝐤𝐮 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐣𝐢𝐩𝐚𝐧𝐠𝐚
Today is Executive Director Phumzile Mlambo-Ngcuka’s last day at UN Women after joining as our leader in 2013 💙
Let’s take a look back at the last eight years of her tenure with our organization: https://t.co/16448u3XSk