Saizi nikiongea kuna namna Mdomo unajivuta pembeni kwasababu ya MAPENGO niliyopata ukubwani.
Hii ni hali mpya inanikosesha raha, ila haitaweza kunizuia kuyaishi maisha yangu niliyozoea.
Naamini na nyie wanangu mtazoea kuniona kwenye hali hiyo. Hata mkinitainia kwa hilo pia mimi kwangu UNYAMA.
Hili kwangu ni dogo sana, wapo watu wamekatwa Miguu baada ya kukutana na wakoloni weusi kama mimi, leo mimi meno tuu mawili yamepotea niogope?
Maisha yataendelea kama KAWA. Hili jaribu Mungu alinipa akijua naliweza na kweli NITAISHI NALO mwanzo mwisho.🙏
I’ve finally cracked it 😭🔴⚪
How to copy a video link on X:
• Open… or don’t
• Tap the thingy… maybe the share icon?
• Hit “Copy link” or just scream at your screen
• Paste it somewhere… or anywhere… or nowhere
AND… THERE YOU GOOOO? 😭🔥