Top Tweets for #NotASuperhero
Quantas histórias já acompanhamos de freaks construírem cenas para no final tudo ficar com a mulher? Meu lema é um casal minimamente equilibrado financeiramente e participação activa dos dois mas finanças. #NotASuperHero
@sheilachipupaa Pelo menos abre espaço para não ter sanguessuga na relação, esforço compartilhado👌
letting yk now twin when y’all into it she running to that other nigga
Aisee Hii Nchi kuna Watu Makatili,kwa kosa gani haswa.
Imagine hii sio Movie 🥺
#NotASuperHero hii inatisha, ila naimani MUNGU kamponya @Sativa255 na kifo kutoka kwa hawa wahaini ili atuamshe kutoka huu usingizi mzito ambao vijana wa Tz tumelala.✊🏾
#JusticeForSativa
KUTEKWA, KUPOTEA, KUTESWA, KUPATIKANA KWA SATIVA. 💔
Maelezo yote yametoka katika kinywa cha Edgar Edson Mwakabela, @Sativa255 ambaye alitekwa jumapili 23.06.2024 Darces Salaam na kupatikana 27.06.2024 Katavi.
Shughuli inaanza siku ya Jumapili, 23.06.2024, maeneo ya Ubungo. Edgar Edson Mwakabela aliagana na kaka yake Patrick, na akaanza safari ya kurudi Kimara.
Walitoka wote Coco Beach. Baada ya muda, Patrick alimuuliza kama amefika salama, hakujibiwa ujumbe wake, na simu za SATIVA baada ya hapo hazikupatikana tena.
SATIVA alikuwa anatafuta chumba, wakakubaliana na dalali kwamba hiyo sehemu ambayo anataka kuhamia, mpangaji katika nyumba hiyo anatoka mwezi wa (10) Oktoba.
Baada ya muda mfupi, dalali akarudi kumpigia simu SATIVA akimueleza kwamba jamaa katika nyumba ile ametoka hivyo anaweza kufanya malipo yake muda huo.
Wakati huo, SATIVA alikuwa amewaaga rafiki zake aliokuwa nao, akawa amechukua usafiri wa bodaboda, alipopigiwa simu na dalali, akabadilisha bodaboda yule.
Wakati akishuka na kutafuta bodaboda nyingine kueleka alipo huyo dalali, akawekwa mtu kati na watu watatu. Wakamfunga pingu na kumtupa katika gari waliyokuja nayo.
Watekaji hao walimpokonya simu zake zote tatu. Simu mbili walizima. Simu moja ikabaki hewani kwa muda mfupi, baadae simu zote za SATIVA zikawa hazipatikani.
Wakaondoka naye hadi kituo cha Polisi Oysterbay, Mkoa wa Kipolisi - Kinondoni. Hapo wakamfikisha nyuma ya kituo cha Polisi Oysterbay, wanapaita 'karakana"
SATIVA akiwa karakana hapo majira ya saa 2 usiku, waliendelea kumuuliza, kosa lako ni lipi? Umewakosea jambo gani wakubwa hadi kuagiza ukamatwe na kuteswa?
Inavyoonekana, watekaji hao walikuwa na maelekezo ya kumteka SATIVA tu lakini hawakujua kwanini wametumwa kumteka. SATIVA aliwaambia hajui kitu yoyote.
Lakini katika maswali yao ya msingi waliendelea kumuuliza, rafiki zako ni akina Martin Maranja Masese na Boniface Jacob? Mnakutana wapi kupanga mambo yenu?
Akiwa hapo karakana ya magari ya kituo cha polisi Oysterbay, alifika mtu mmoja akiwa ndani ya gari aina ya VX V8 akashuka akiwa amevaa jezi ya timu ya Simba SC.
Mtu huyo chini alivaa pensi ya rangi ya kaki. Kwa muonekano wa nje alikuwa ni mtu wa mazoezi, mrefu wa wastani na siyo mweupe sana. Huo ni wajihi wake wa nje.
Mtu huyo aliposhuka kwenye gari akiwa pekee yake, wale waliokuwa pale walimpigia saluti, akamfuata moja kwa moja SATIVA pahali alipokuwa amefungwa pingu mikononi.
Akamuuliza, unaitwa nani? Katika mitandao ya kijamii unatumia jina gani? SATIVA akampa majibu. Baada ya hapo akawavuta pembeni wale watu waliokuwa na SATIVA pale.
Akatoa maelekezo kuwa kuna watu watakuja kumchukua SATIVA, afungwe katika Karakana ya Oysterbay. Akarudi katika gari aliyokuja nayo, ikawashwa, akasepa.
Usiku huo, SATIVA akafungwa pingu katika moja ya nguzo zilizopo katika hiyo karakana ya Polisi - Oysterbay. Wakiendelea kumuuliza SATIVA amekosa nini kikubwa hicho?
Wao walishangaa kiongozi mkubwa kufika hadi hapo Karakana ya Polisi - Oysterbay na kumuhoji SATIVA, jambo ambalo kwao siyo kawaida. Wakajiuliza, kosa lake nini?
Kwamba kiongozi mkubwa ameacha shughuli zake usiku hadi kumfuata hapo, kosa lake ni nini? SATIVA akawaambia kwa kweli hata mimi sijui gani nimefanya hadi sasa.
Kwa maelezo ya SATIVA anasema watu hao watatu waliomkamata awali, hawamkupiga isipokuwa waliendelea kumuuliza makosa yake hadi kuagizwa kuletwa hapo.
Tangu alipofikishwa Kituo cha Polisi Oysterbay saa mbili na dakika 25 usiku, akafungwa pingu katika hizo bomba za karakana, amefuatwa alfajiri ya kesho yake.
Ilipofika saa 12 alfajiri ilimfuata gari ambayo haina 'playe number' za Tanzania. SATIVA akachukuliwa na kuwekwa katika gari hiyo, na huko ndani akakutana na sura mpya.
Hapo, wale waliomkamata tangu siku ya 23.06.2024 wakawa wamemaliza wajibu wao, akakutana na watu watu waliopewa kazi maalum ya kumtesa na kumuua.
Kitu cha kushangaza zaidi, ndugu na rafiki zake SATIVA walifika hadi kituo cha polisi Oysterbay, wakaelezwa mtu wa aina hiyo hajawahi kufikishwa kituo hicho cha polisi.
Polisi walipewa taarifa ya kupotea kwa SATIVA, na ikafunguliwa jalada katika kituo cha polisi Gogoni - Kimara, na polisi wakatoa Report Book (RB) Na.
Bado ndugu na rafiki zake waliendelea kumtafuta vituo vya Polisi vyote vikubwa na hospitali hadi mochwari, bado SATIVA hakuonekana na polisi walisema hawajui.
SATIVA anasema wakaanza safari ndefu sana, gari ikiwa mwendo, akiwa amefungwa kitambaa usoni. Lakini katika maongezi yao walisema uelekeo wao ni Arusha.
Tangu amekamatwa jana yake, hiyo ni siku nyingine, SATIVA hakuwa amekula au kunywa kitu chochote. Walipofika Mkoa wa Arusha, SATIVA akaomba apewe maji.
Lakini, wakiwa ndani ya gari kabla ya kumshusha walibadilisha aina ya matamshi yao ili SATIVA asiwasome. Mfano ugali wao waliisema ugaliwa. Wali walisema waliwa.
Wakiwa Arusha, walimshusha, akapelekwa katika moja ya mahabusu katika Mkoa wa Arusha lakini hakufanikiwa kufahamu ni mahabusu ya kituo gani cha Polisi.
SATIVA anasema katika hiyo mahabusu amewekwa kwa siku mbili. Kwa mantiki hiyo ni 25/06/2024 na 26/06/2024. Siku hiyo pili wakamtoa ndani ya mahabusu hiyo.
Wakaondoka naye kama wanampeleka katika moja ya mipaka ya Tanzania na kenya. Wakaendelea kumuhoji huko, saa saba mchana wakarudi naye Arusha Mjini.
Wakaanza safari ndefu, anasema walipofika katika moja ya mapori ambayo hajui ni wapi, gari ile ilisimama, wakatoa panga kubwa na kuanza kumpiga bapa za panga nyingi.
Katika mazungumzo yao yote wakati wakimpiga SATIVA mabapa ya panga, walikuwa wakimuuliza kama anatumwa na Boniface Jacob na Martin Maranja Masese.
SATIVA aliendele kusema hawajui watu hao na hajawahi kukutana nao pahali popote. Wao waliendelea kumtesa wakisisitiza kwamba awataje hao watu wanaomtuma.
Mgongo wa SATIVA umevia damu nyingi sana. Mabapa ya panga pia alipigwa sana kwenye kichwa, mapaja na miguu. Akapata maumivu makali sana kwenye miguu na kichwa.
Walimpiga mabapa ya panga zao mengi kwa muda mrefu wakiendelea kumuhoji SATIVA nani ambaye anamtuma kukosoa serikali ya CCM na kutukana viongozi wa nchi.
Mahojiano yao na SATIVA yalijikita katika kufahamu kama Martin maranja Masese na Boniface Jacob ndiyo wanaomtuma kufanya shughuli za kukosoa serikali yao?
Baada ya mateso makali sana, kiongozi wa msafara akaamuru waende wakamalizane naye haraka muda huo. Hapo imefika majira ya nne usiku wakiwa porini sana.
Wakamfunga kitambaa, wakamrudisha kwenye gari na safari ikaanza. Wakijadiliana kwamba, Katavi kuna wanayama wakali na misitu minene, waelekee huko.
Wakafika Katavi saa 10 kuelekea saa 11 alfajiri. Wakaingia ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Katavi, pembezoni ya mto Ikuu ambao unatajwa kuwa na viboko na mamba wengi.
Wakaegesha gari na kuanza kuingia naye msituni. Kuelekea ulipo huo mto Ikuu. Huko mahojiano yakendelea wakati huo akipigwa mabapa ya panga kila pahali. Noma.
Kwa maelezo yake SATIVA anasema alipigwa pingu na kitambaa usoni. Na wakamueleza kwamba biashara yake itakuwa imeishia katika msitu wa hifadhi ya Taifa ya Katavi.
Kiongozi wa wauaji hao akatoa maelekezo kwa mmoja kati ya wauaji hao kwamba " mpige risasi huyo kibaka tumalizane naye twende zetu". Ikachapwa risasi kutoka kwa nyuma.
Risasi imepita kutoka kwenye upande wa kushoto wa kichwa, ikapita hadi kwenye shavu na kupasua taya mara mbili na kusaga taya. Damu zikamwagika nyingi akiwa chini.
Wakiwa hapo akasikia wakisema hapa kuna fisi wakali sana, ataliwa na fisi au mamba wakali kutoka katika mto huo au viboko wengi waliopo katika mto huo pembeni.0
Baada ya kama dakika mbili wakiwa hapo, akasikia wakiondoka, wakawasha gari. Akapoteza fahamu. Baadae akahisi mwili umepigwa baridi, akaanza kujivuta.
Akajivuta kwenda hadi ilipo barabara, na hapo ndipo akakutana na askari wa doria wa wanayamapori (TANAPA) na wakaanza kumuuliza maswali mengi ya ufahamu.
Sativa alipookotwa na hao watu wakiwepo askari wanyama pori Hifadhi ya Katavi, baada ya kumuhoji kidogo, akapelekwa kituo cha Afya Kibaoni njia ya kwenda Majimoto.
Na kuanzia hapo, hadithi nyingine yote mnaifahamu. Hivyo ndivyo rafiki yetu, Edgar Edson Mwakabela, SATIVA alivyotekwa na maharamia na kuteswa na kunusurika kifo.
NB; Kumbuka, hifadhi ya Taifa ya Katavi katika kundi la wanyama wakali kuna viboko 5,400. Simba 190. Fisi 750. Mbwa mwitu na Mamba sensa haijafanyika. Noma.
Martin Maranja Masese, MMM.

I can imagine the captions now: "Hot fire selfie! #burningup #buildingonfire #lit" or "When you thought you were just going to have a normal day at work but end up on the 6 o'clock news! #fireescapefail #notasuperhero" 🤣
@RNSuperHero Some of us went through the same pandemic you did and are still going every day while you take your “break”. #excuses #notasuperhero
All @LynwoodSchools educators are heroes! We don't need superpowers to do the best for our students. Thanks for all you do for our students today and every day! #notasuperhero #TeacherAppreciationWeek
"Our real heroes are our teachers." ❤️ Join #AbbottElementary in celebrating #TeacherAppreciationWeek all week long!

A thousand times this.
Heartfelt thanks to @Natasha_Sholl for articulating so brilliantly the damage that platitudes do to those of us who are grieving.
💔💔💔
#NotASuperhero
#JustTryingToSurvive
#AnticipatoryGrief
#TerminalCancer

Being a supermom is overrated! I am not perfect! I am happy to be an average mom!
The Average Mom!!
#mom #notasuperhero #justanothermom #imperfect
“Before my climbing accident, I’d had a threshold. I was a reasonable person who could see her distress approaching in the distance like a warning light. But now my warning light had failed.” – @eedeemorin
https://t.co/EdYlXngkBd
#shehulk #notasuperhero #concussion

People with disabilities make up 15% of the world’s population.
Let’s break down the barriers that keep us apart.
#WeThe15
A4: Reminding everyone, including myself, to practice self care. We must put on our own oxygen mask first and care for ourselves before we are able to care for others. #CoreChat
#teachersarehuman #notasuperhero
Half of the duo is fully vaccinated!
First dose was super easy, I had a sore arm and light swelling the day after and felt a little crummy the next few days, but not too bad! Got the booster today 😎 #notasuperhero


It's OK, I promise❤️
#TakeYourTime #NotARace #notasuperhero #Breathe #MentalHealthAwareness #YouAreYou
Img Suicide Prevention UK

Reminds me of a lunch date I had with a colleague earlier in the week. She asked me how I manage to do so much. I was completely blunt and said that I “neglect” lots of things she doesn’t necessarily see... cooking, cleaning, time with kids, sleep, daily showers... #notasuperhero
I cannot tolerate messages about resilience or toughness right now. I don’t need mindfulness tips. I’m not fine, as none of us are, and I’m not short on gratitude either. I feel deeply normal right now. Not a superhero, not virtuous, not exceptional. Just a normal human ...
Hello Everyone join me as I go live with my dear friend @tazstereonation on 20th June a father’s day celebration #NotASuperHero 🙌🏻 brought to you by @letsgonuts & @FernsNPetals only on #Facebook✨
⠀
#ShibaniKashyap #QueenOfPop #FathersDay #TazStereoNation #Gonuts #FernsNPetals

An evening full of great music with the diva singer @shibanikashyap with her guest singer @tazstereonation Catch her LIVE this Father's Day talking about breaking the stereotypical image of fathers with FNP's campaign #NotASuperHero
👉20th June,1830 Hrs on Shibani Kashyap FB LIVE
Trends for you
Most Popular Users

Elon Musk 
@elonmusk
241.2M followers

Barack Obama 
@barackobama
119.1M followers

Cristiano Ronaldo 
@cristiano
112.9M followers

Donald J. Trump 
@realdonaldtrump
111.8M followers

Narendra Modi 
@narendramodi
107.1M followers

Rihanna 
@rihanna
98.3M followers

NASA 
@nasa
92.3M followers

Justin Bieber 
@justinbieber
91.5M followers

KATY PERRY 
@katyperry
89.1M followers

Taylor Swift 
@taylorswift13
83M followers

Lady Gaga 
@ladygaga
74.5M followers

Virat Kohli 
@imvkohli
72M followers

Kim Kardashian 
@kimkardashian
70.5M followers

YouTube 
@youtube
68.8M followers

Neymar Jr 
@neymarjr
64.9M followers

Bill Gates 
@billgates
64.6M followers

The Ellen Show
@theellenshow
62.4M followers

Selena Gomez 
@selenagomez
62.1M followers

CNN 
@cnn
61.8M followers

X 
@x
60.8M followers




























