Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Seoul, Korea umeadhimisha miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kukutana na wadau mbalimbali tunaofanya nao kazi. Imekuwa fursa nzuri ya kutafakari tulikotoka, tulipo na tunakoelekea hasa katika kuliletea taifa maendeleo.
@tonytogolani I listened to the speech today. Yesterday looked like a wonderful celebration. As an English teacher, the speech was rich with great vocabulary!! I really enjoyed it and learned a thing or 2 myself!
@tonytogolani I listened to the speech today. Yesterday looked like a wonderful celebration. As an English teacher, the speech was rich with great vocabulary!! I really enjoyed it and learned a thing or 2 myself!
Jana tumesherehekea miaka 60 ya Muungano na kuzaliwa kwa Tanzania. Sherehe hizo ziliambatana na miaka 32 ya Uhusiano wa Kidiplomasia kati ya Tanzania na Jamhuri ya Korea. Sherehe hizo zilihudhuriwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea, Mheshimiwa Kweon Ki-hwan, Jumuiya ya Wanadiplomasia walioko Korea, Taasisi na Mashirika ya Serikali, Makampuni Binafsi na Watanzania waishio Korea.
Nilitumia jukwaa hilo kuelezea safari yetu ya miaka 60 na matumaini yetu kwa miaka ijayo.
Sixty years ago, the union between Tanganyika and Zanzibar was born.
Also sixty years ago, another union took place. Today would have been the 60th wedding anniversary for my parents...the first wedding after the Zanzibar Revolution.
Happy Anniversary to Dr. and Mrs. Salim.
A wonderful time at the Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu event this evening. Connected with familiar faces over our love of Literature and celebrated talented rising stars in Kiswahili Literature.
@tuzonyerere#tuzonyerere
The GoH for the Mwl Nyerere Creative Writers award, Prof Abdulrazak Gurnah, delivering the keynote speech. Gurnah was awarded the 2021 Nobel Prize in Literature for his uncompromising and compassionate penetration of the effects of colonialism and the fates of the refugee in the
Atending the prestigious Mwl Nyerere Creative Writers award evening in Masaki Dar with Prof Mwatawala DVC Academic SUA Univ, Prof Hulda Swai from Mandela Univ, Dr Fika, Director of training TZ institute of Education and ofcourse my brother, the genius J4 Mtambalike @Afruturist.
Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu ni muhimu kwa kuchochea ubunifu wa fasihi na kuenzi urithi wa Mwalimu Nyerere. I'm excited to hear the winners for 2024! @tuzonyerere@TIE_Tanzania@wizara_elimuTz
"Boo" to these power rationings! Saturdays used to be about being at home and doing creative things with the kids. Now we have to be on the streets consuming. Or we buy a generator? SMH
I'm excited to be sharing a little of my journey into the world of jewellery from the UK to Tanzania. Tonight on @ThamaniMadini If you're in Tanzania, tune in to @StarTimesTZ
DIAMONDS ARE FOREVER
Tanzanian business tycoon Rostam Aziz has bought a 31.5% stake in Williamson Diamonds Limited (WDL) from South Africa's Petra Diamonds for $15 million
The Tanzanian government, which currently owns 25% of the shares in the Shinyanga-based WDL, will hike it's stake to 37% under a framework agreement signed in 2021
Once the deal is approved, WDL will have the following shareholding structure:
* Tanzanian government 37%
* Petra Diamonds 31.5%
* Pink Diamonds 31.5%
💎 Pink Diamonds is affiliated to Rostam's Taifa Mining company