Hongera sana @ProfJanabi kwa ushindi wa kishindo kuwa Mkurugenzi @WHOAFRO. Ni ushindi wa Rais @SuluhuSamia na Watanzania wote. Tunajivunia. Umetuheshimisha sana. Tunakuombea mafanikio mema katika kutimiza majukumu yako mapya. Ninavyokufahamu Profesa, sina wasiwasi kwamba utafanya vizuri sana. Afrika na Dunia watashangaa!
Pope Leo XIV meets privately with Ukrainian President Volodymyr Zelensky and his wife, Olena Zelenska, following the Mass of Inauguration of his pontificate on Sunday.
Pope Leo XIV receives the Ring of the Fisherman, or Piscatory Ring, from Cardinal Luis Antonio Tagle, Pro-Prefect of the Dicastery for Evangelization, during the Mass of Inauguration of his pontificate in St. Peter's Square on Sunday, May 18.
https://t.co/xecWpE8NXj
Today, @SLOTUS and I visited the tomb of the late Holy Father Pope Francis.
He was beloved by many Catholics around the world, and I hope you will join me in praying for the repose of his soul.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akionyesha kadi yake ya mpiga kura mara baada ya kushiriki zoezi la uboreshaji wa taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura leo tarehe 17 Mei, 2025 katika Ofisi ya Serikali ya Kijiji, Chamwino mkoani Dodoma.
Thank you Holy Father for this clarity. The plumb line of truth revealed by heaven and incarnate in Jesus Christ is the standard we must always seek. God bless you as you take on the enormous task of righting the Barque of Peter according to the Deposit of Faith.
Although the world and main stream media will soon turn to other things let us continue to pray for Pope Leo XIV. His burden is heavy, in Christ may his yoke be easy and his burden light. 🙏🙏🙏🙏🙏
Miundombinu yetu,
Treni yetu,
Fahari yetu.
Leo nimesafiri kwa treni ya SGR toka Dar es Salaam kwenda Dodoma. Hakika Watanzania tunayo kila sababu ya kujivunia hatua kubwa tunazoendelea kupiga kama Taifa.
Nikiwa Dodoma pamoja na kazi nyingine, nitaboresha taarifa zangu katika Daftari la Kudumu la Mpigakura katika Ofisi ya Kijiji, Chamwino. Ninawasihi wananchi wenzangu tuendelee kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zetu, ili tutumie haki yetu ya kikatiba ya kushiriki Uchaguzi Mkuu, Oktoba mwaka huu.
There is so much violence and so many wars in our world! Amid this horror that should provoke outrage—as people die in the name of military conquest—stands the call of Christ, who repeats: ‘Peace be with you!’
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwaongoza Wajumbe wa Tume ya Mipango kusimama kwa dakika moja kutoa heshima kufuatia kifo cha aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Ndugu Lawrence Mafuru aliyefariki nchini India Novemba 9, 2024 alipokuwa akipatiwa matibabu, kabla ya kuanza kikao leo tarehe 11 Novemba, 2024 Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Dkt. Tewodros Beleke Mkurugenzi wa Programu za Dunia na Mwakilishi wa Susan Buffet Foundation leo tarehe 11 Novemba, 2024 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bi. Veronika Mueni Nduva, alipofika Ikulu, Jijini Dar es Salaam leo tarehe 11 Novemba, 2024 ikiwa ni mara ya kwanza kukutana nae tangu Katibu Mkuu huyo aliposhika nafasi hiyo mwezi Juni, 2024.