SYKES: Are you aware the US was taking millions of barrels of oil from Iran?
WRIGHT: We are preventing the flow of Iranian oil
SYKES: That is not what I asked you. Can I play some audio?
*plays audio of Trump admitting the US is stealing Iranian oil*
WRIGHT: I think the president is talking casually
SYKES: Do you think that it's appropriate to 'talk casually' about war?
WRIGHT: I think you talk to all different audiences and you talk in all different styles
SYKES: There are 13 service members who are dead
WRIGHT: He treats this war deadly serious
SYKES: You just said he was speaking casually
WRIGHT: He speaks 20 hours a day
🇸🇴 Nunca vi algo así. En Somalia hoy se llenó un estadio para recibir como héroe nacional a Omar Artan, el árbitro al que Estados Unidos le negó la entrada al Mundial. Increíble.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amewataka vijana wa kizazi cha sasa (Gen Z) kuishi maisha yao kwa ujasiri na kuyafurahia kwa kuwajibika. Amesema ujana ni kipindi cha kujifunza, kufanya kazi kwa bidii, kutimiza ndoto na kufurahia kila fursa inayopatikana, badala ya kuishi kwa hofu ya mitazamo ya wengine.
"Gen Z, enjoy maisha. Ujana haujirudii; ishi kulingana na umri wako huku ukijenga kesho yako."
#SikuYaVijanaDuniani
#FreeTunduLissu
#KijananaKatiba
#Tukutane Dodoma
Remember how Russia shone during the 2018 FIFA World Cup?
Now the World Cup is defined by visa bans, ticket chaos, and political tension; while FIFA tells everyone to “chill and relax.”
The hypocrisy goes beyond politics and into sport.
Infantino claims he can't do anything about Referees, players, journalists and fans being banned from the World Cup because in every country there are Governments.
In 2023 Indonesia refused to let the Israeli U23 squad have visas
FIFA instantly moved the tournament to Argentina
KWAKUWA NI HALALI KWA WAZANZIBARI KULINDA HAKI ZA WAZANZIBARI HAIWEZI KUWA HARAMU KWA WATANGANYIKA KULINDA HAKI ZA WATANGANYIKA.
Kwa yanayoendelea kujitokeza katika Baraza la Wawakilishi Zanzibar kuhusu kujitanabaisha kwa misingi ya Uzanzibari na kulinda maslahi ya Zanzibar, je, si wakati sasa kwa Watanganyika nao kuzungumza kwa uwazi, kuhoji kwa uhalali na kujadili kwa kina masuala yanayohusu haki, hadhi na maslahi ya Tanganyika?
Je, Watanganyika hawana haki ya kuhoji na kulinda:
1. Bandari zilizopo ndani ya Tanganyika.
2. Misitu na rasilimali za mazingira za Tanganyika.
3. Rasilimali za asili zilizopo katika eneo la Tanganyika.
4. Hadhi, haki na umiliki wa ardhi ya Tanganyika.
5. Nafasi, haki na uwepo wa watu wasio Watanganyika katika idara na taasisi ambazo si za Muungano.
6. Uhalali wa viongozi wasio Watanganyika kuingia au kusaini mikataba inayohusu rasilimali za Tanganyika, hususan pale ambapo baadhi ya masuala hayo tayari yameondolewa katika eneo la Muungano kwa upande wa Zanzibar.
7.Kuhoji mchango wa Zanzibar katika kugharimia gharama za uendeshaji wa shughuli za Muungano na Ulipwaji wa Deni la Taifa.
Ikiwa ni halali kwa Wazanzibari kujadili, kuhoji na kulinda maslahi ya Zanzibar kwa misingi ya utambulisho wao wa kisiasa na kikatiba, kwa mantiki hiyo hiyo haipaswi kuwa kosa kwa Watanganyika kuhoji, kujadili na kutetea maslahi ya Tanganyika.
Katika mfumo wowote wa haki, usawa na kuheshimiana ndani ya Muungano, haki ya kulinda maslahi ya Zanzibar haiwezi kutenganishwa na haki ya Watanganyika kulinda maslahi ya Tanganyika.
Haki hizo zinapaswa kutambuliwa kwa usawa, bila upendeleo na bila kuonekana kuwa ni tishio kwa Muungano, bali kama sehemu ya kujenga Muungano wenye misingi ya haki, uwazi na kuheshimiana.
UKWELI,HAKI NA UWAJIBIKAJI ndiyo Msingi bora wa kuliongoza Taifa kutoka katika vitendo vya Ukatili dhidi ya ubinadamu,ukiukwaji wa Haki za Raia na,Mauwaji na Utekaji vilivyofanyika kanla,wakati na Baada ya Tarehe 29 Oktoba 2026.
BAK MWABUKUSI.
🗣️ Mario Balotelli: "Ben çocukken çok hastaydım, durumumuz kötüydü ve biyolojik ailem beni İtalyan bir aileye evlatlık verdi. Yıllarca beni arayıp sormadılar, tamamen yalnızdım.
Ne zaman ki ben futbolcu oldum, Inter'de oynamaya başladım ve milyonlar kazanıp ünlü oldum; işte o gün televizyonlara çıkıp 'Mario bizim oğlumuz, onu çok özledik' diye ağlamaya başladılar.
Bu hayattaki en büyük ikiyüzlülük. Ben sokaklarda ırkçılığa uğrarken, hastanede acı çekerken neredeydiniz? Eğer ünlü bir futbolcu olmasaydım, Brescia’da bir işçi olsaydım yine benim babam ve annem olmak isteyecek miydiniz?
Hayır. Benim tek bir ailem var, o da beni büyüten, bana bakan Balotelli ailesidir. Diğerleri sadece benim şöhretimin peşinde."
🇲🇽 | México es el único anfitrión que de verdad está haciendo sentir a las selecciones que están llegando a un Mundial.
Mientras tanto en EE.UU. y Canadá la mayoría ni siquiera sabe que el torneo arranca en unos días. 🙄
Netanyahu claims that Iran wanted to launch a Nuclear Strike.
"Overnight, Israel carried out a historic strikes to prevent a nuclear attack on Israel"
🤡🤡🤡🤡🤡