Our small team has worked hard on refining the novel observer-based fundamental theory of Physics, OPH, over the past 3 months. Still way to go, but we already derive most of existing Physics and parts of the particle spectrum.
https://t.co/eTdYtRMTCK
I've been married 15 years. Still married because we treat these like law:
โข Bed is for sleep and sex only
โข No phones in bedroom
โข Kids asleep? We talk. 5 mins or 3 hours. Doesn't matter. We talk
โข Pray together before sleep
โข We eat every meal together
โข No screens when eating
โข And we never, and I mean NEVER criticize each other in public
Your marriage is your son's blueprint, and your daughter's standard.
Make sure you lead at the front and everyone will follow.
KWANINI BADO WATU WENGI WANASHINDWA KUANZA KUWEKEZA AU KUFANYA BIASHARA?
Kwanini wengi hawaanzi kuwekeza?
1. Unapoaambiwa โreturnsโ za 10% - 15% kwa mwaka unaona ndogo sana. Unasubiri returns za ku โdouble your moneyโ in 1 year. Utapigwa.
2. Unahisi fedha zako ni ndogo. Fahamu kuwa, โAhuhitaji utajiri kuanza, ila unahitaji kuanza ili uwe tajiriโ. Unaweza kuanza hata na elfu 10 kununua hisa, baadae ukaendelea kidogo kidogo. Kwenye App ya @shirkah_invest ,kima cha chini ni elfu 50 tu
3. Unalinganisha biashara na uwekezaji (Apple-Orange comparison syndrome), una compare biashara ya vifaa vya umeme kkoo na kuwekeza hisa. Kila kimoja kinajitegemea na kina nafasi yake, wazungu wanasema hii siyo โzero sum gameโ.
4. Unachambua sana (analysis paralysis) - muhimu kuchambua ili ujilizishe kama uwekezaji ni legit na sio ponzi scheme
5. Unataka โguaranteeโ ya pesa zako. Hamna uwekezaji wa guarantee, isipokuwa kuna unawekezaji wa โhigh and low riskโ.
Kwanini unashindwa kuanza biashara?
1. Una wazo unataka mwekezaji. Anza kwanza, mwekezaji anakuja bdae huko. Usipoteze muda na pitch deck.
2. Unataka uanze ukiwa una kila kitu - we anza na ulichonacho na unachoweza kufanya. Unaweza ukaanza hata kama broker/agent, baadae ukaanza kuuza mzigo wako.
3. โResearchโ zisizo isha. Fanya โbasic researchโ kupata taarifa muhimu, then anza
4. โFear of failureโ - unaogopa ku fail. Wewe take precautions, minimize your failure risks, anza mdogo mdogo.
5. Fursa ni nyingi hujui uanze na kipi - pick what you are good at, that has commercial value and sizeable market. Usiyumbishwe na story za biashara ya kupeleka nzi Japan.
Kumbuka
โAsiye anza hakuiโ - SA
Your child delays EVERYTHING.
Getting dressed.
Starting homework.
Coming to the table.
You askโฆ and nothing happens.
Itโs not laziness.
Many kids struggle with starting tasks.
Hereโs how to help them move faster:
Learning has never been so easy.
Today, you can learn more buy watching a documentary than a book.
Here are 7 Documentaries that teaches you about money.
Stop watching other people.
Your real competition is procrastination, self-doubt, and comfort.
Win that battle daily.
Write your goals for 2026.
https://t.co/xUyBesUhwh